Chama
Manula
Baleke
Inonga
biashara ilishia hapa
Wakati mnakula mkono mkavu 2012 kelele zilikuwa nyingi kina nsajigwa wameuza mechi hawamtaki kocha au ulikuwa bado bwamdogo?
Camara lazima awe shujaa wetu hawezi fungwa magoli ya kijinga na kina sele bwenzi kati kati ya uwanja halafu tukae kimya
Huyo manula acha ale matunda ya usaliti wake mpaka mkataba wake na simba uishe tutamuachia azam walimtaka condition wanazijua manula mezani na wao wamuweke faisal mezani tuongee chap
Mwisho sisi sio wajinga haiwezekani msemaji wa timu yenu atoke hadharani aseme dube alikuwa anazimiwa taa akikaribia langoni mwa timu pinzani kufunga kwenye uwanja wa chamazi baada ya kula vipigo viwili mfululizo tukaona wehu na ile idadi aliosema zungu huko kwenu wenye akili ni wawili tu na wewe pia haumo mkifungwa mnakuja kwenye media simba wanacheza mechi zenu viande kweli nyie
View attachment 3237235View attachment 3237236