INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
Huku ni kufanyana watoto wadogo sasa!!!
2010 kombe la Dunia alichukua Spain, lakini bado Messi akachukua Ballon d'or, kigezo kipi kilitumika?
2014 kombe la Dunia alichukua Germany, Ronaldo alichukua Ballon d'Or kwa kigezo kipi kama UEFA si kitu mbele ya World Cup!?
Vipi kuhusu 2018, bingwa wa World Cup alikuwa France, kigezo gani kilitumika kumpa Ballon d'Or Modric!?
Ukitoa magoli Ronaldo anamzidi nini Messi!?Ukitoa magoli Halaand anamzidi nini KDB?
In 2010 Iniesta won the World Cup, who won Ballon d'Or in 2010?On top of all, Messi won World Cup, Hallaand anaachwa mbali sana na Messi kwa kila kitu in football, mbona kama wewe kipofu wa mpira
Statistics gani unataka kwenye hoja yako ya UEFA sio kitu ya ku-compare na World Cup!?Unavyoleta mjadala kama huu uje na Statistics hapa.
Hata Ronaldo anaachwa mbali sana na Messi kwa kila kitu in football. Ina maana waliompa Ronaldo Ballon d'Or kadhaa mbele ya Messi walikuwa vipofu!?Hallaand anaachwa mbali sana na Messi kwa kila kitu in football, mbona kama wewe kipofu wa mpira
Nisaidie kujibu hili swali mkuu.Huku ni kufanyana watoto wadogo sasa!!!
2010 kombe la Dunia alichukua Spain, lakini bado Messi akachukua Ballon d'or, kigezo kipi kilitumika?
2014 kombe la Dunia alichukua Germany, Ronaldo alichukua Ballon d'Or kwa kigezo kipi kama UEFA si kitu mbele ya World Cup!?
Vipi kuhusu 2018, bingwa wa World Cup alikuwa France, kigezo gani kilitumika kumpa Ballon d'Or Modric!?
Maswali yangu haujajibu, unataka nijibu swali lako. Jibu maswali niliyouliza, then nitajibu swali lako.Nisaidie kujibu hili swali mkuu.
Kwa mfano, France ndio wangeshinda world cup mwaka jana, nani angestahili balon d'Or kati ya Mbappe na Halaand?
Hizi ni takwimu za Lionel Messi na Haaland kwa msimu uliopita ambapo mmoja wao ataibuka mshindi wa tuzo za Ballon D’or hapo October 30 mwaka huu.
View attachment 2742095
Ungekuwa unapiga kura, kwa takwimu hizo hapo juu ungempa nani kura yako?
Hilo swali hukuniuliza mimi, ila acha nikujibu.Maswali yangu haujajibu, unataka nijibu swali lako. Jibu maswali niliyouliza, then nitajibu swali lako.
2010 kombe la Dunia alichukua Spain, lakini bado Messi akachukua Ballon d'or, kigezo kipi kilitumika?
2014 kombe la Dunia alichukua Germany, Ronaldo alichukua Ballon d'Or kwa kigezo kipi kama UEFA si kitu mbele ya World Cup!?
Vipi kuhusu 2018, bingwa wa World Cup alikuwa France, kigezo gani kilitumika kumpa Ballon d'Or Modric!?
Hili gazeti lako linamuhusu nani?Wewe unadhani mtu akiibuka tu mchezaji aliyepata mafanikio kwa msimu mmoja tu basi huyo tayari ni wa kutwaa ballon D’or! Soma vigezo na masharti ya Ballon D’or!
Porojo, kama Sergio, Xavi na Iniesta wote walikuwa kwenye peak, pia wote wameisaidia Spain kushinda World cup, pia wameisaidia Barcelona kushinda taji, kwanini umpe Messi Ballon d'Or wakati huo, ilishindikana nini kuchagua mmoja kati ya Iniesta ama Xavi!? Kwa uelewa wako, Iniesta angepewa Ballon d'Or wakati ule angekuwa amebebwa!? Pia kwanini alipewa Messi!?2010, Spain walikua imara sana. Team nzima iliperform vizuri bila kutegemea maajabu ya mtu mmoja. Kilikua kipindi ambacho Sergio Busquets, Xavi Hernandez na Andres Iniesta walikua kwenye peak, na kila mtu anajua walichofanya. So it wasa collective performance, hatuwezi kusema fulani aliibeba team!
Hakuna ubingwa wa mashindano ya mpira wa miguu unaopatikana kwa mchezaji mmoja kuperform peke yake uwanjani. Kuchukua ubingwa wa kombe la Dunia ni mchakato unaoanzia kwenye hatua ya makundi mpaka fainali. Acha porojo.2014 pia, Germany waliperform team nzima. Hata goli lililowapa ubingwa lilifungwa na mtu alietokea sub. Huwezi kumpa credit mtu mmoja.
Porojo nyingine, hiki kigezo kilichotumika kumpa tuzo Modric kwanini kisitumike kumpa tuzo Iniesta, alisaidia timu yake kuchukua ubingwa wa La Liga, pia akaisaidia Spain kubeba kombe la Dunia!? Messi alifanya nini msimu huu, mbona haikua kituko alipobeba Ballon d'Or?Luca Modric aliibeba Croatia mpaka fainali, japo hakushinda kombe. Msimu huo huo, Modric alishinda UEFA pia akiwa na Madrid akiwa na mchango mkubwa pia. Ingekua kituko cha karne kumnyima Balon d'Or Luca Modric, mtu alieziwesha team zake kufika fainali UEFA champions League na Kombe la dunia!
Kama Iniesta hakufaa kupewa Ballon d'Or licha ya kushinda kombe la Dunia na La liga, kwanini Mbappe afae kupewa kwa kigezo cha kushinda kombe la dunia!?Baada ya kujibu swali lako, naomba sasa na wewe ujibu swali langu. Kama Mbappe angeshinda World cup, nani angefaa kupewa balon d'Or kati yake yeye na Halaand?
Hili halipingwi!Mess GOAT 🐐
Unajua wapiga kura na watoa tuzo ni kina nani na wanatoaje Tuzo ? Ndio maana hii Tuzo sio umahili wako per se bali pia ni vipi una mahusiano mazuri na wenzako na you don't rub people the wrong way, sio necessarily unafanya nini ; Ukiwa na ngozi ya kunguni au mtu wa kuwapa Dry waandishi tegemea kipigo ila ukiwa happy go lucky na waandishi upo nao close usishangae ndio maana hata kina Owen walishinda hii Tuzo
The Ballon d'Or victor is decided by 100 journalists from FIFA's 100 top-ranked member nations. Each journalist makes their top five picks from the 30-man shortlist, with each ranking earning a different points value/number of votes.
- First: Six points
- Second: Four points
- Third: Three points
- Fourth: Two points
- Fifth: One point
Hivi unaweza kunielewesha hapa unapinga nini na unaongelea nini ? Ebu soma majibu yako na maswali yangu mpaka hapa alafu uone hata kama wewe mwenyewe utajielewa....Gaucho nae ana ballon, haya gaucho na Messi wapi na wapi!! Ni mbingu na ardhi, Messi hashindanishwi na mchezaji yeyote duniani, labda Maradona japo kwenye tuzo, makombe + Goals n.k Messi bado amemzidi mbali Diego Armando.