Mfano wa jengo la Chadema makao makuu

Mfano wa jengo la Chadema makao makuu

Mfano wa jengo la Chadema makao makuu linalotarajiwa kujengwa hivi karibuni.
View attachment 2225211

Chadema wapunguze kuongea vitu vya kufikirika waanze utekelezaji sio kila siku kutoa mchoro toka mwaka 2012 hadi leo kuna michiro mingi sana ya makao makuu lakini hadi leo hakuna utekelezaji! Chadema wanapenda sana story za picha zenye rangi!
 
Hapo inatafutwa njia ya kuchangisha wanachama ili viongozi wapige Hela, walimpiga sabodo milioni 500, aliwapa za kujenga Ofisi, miaka nane iliyopita,mpaka Leo hakuna hata tripu ya mchanga.

Juzi Joni ze cheni wanasema wamechanga watu karibu milioni mbili,halafu eti makusanyo milioni 400, wakati hata hao wachangiaji wangetoa 1000 ilikuwa bilioni mbili.

Kwa hesabu rahisi, wanasema wachangiaji kwa wastani walichangia shilingi mia mbili (200) kwa Kila mmoja
Tutachanga.
 
[emoji116]mzigo huo.ndani kuna mabenchi na vistuli vya kutosha.View attachment 2225257
Kuna hawa pia

Screenshot_20220515-111917_Opera Mini.jpg


Screenshot_20220515-112812_Opera Mini.jpg
 
Safi sana CDM mkifanikisha hili mtakuwa mmepiga hatua nzuri san, kile kibanda cha pale ufipa ni fedheha saana.
 
Hapo inatafutwa njia ya kuchangisha wanachama ili viongozi wapige Hela, walimpiga sabodo milioni 500, aliwapa za kujenga Ofisi, miaka nane iliyopita,mpaka Leo hakuna hata tripu ya mchanga.

Juzi Joni ze cheni wanasema wamechanga watu karibu milioni mbili,halafu eti makusanyo milioni 400, wakati hata hao wachangiaji wangetoa 1000 ilikuwa bilioni mbili.

Kwa hesabu rahisi, wanasema wachangiaji kwa wastani walichangia shilingi mia mbili (200) kwa Kila mmoja
Haters.....
 
Hapo inatafutwa njia ya kuchangisha wanachama ili viongozi wapige Hela, walimpiga sabodo milioni 500, aliwapa za kujenga Ofisi, miaka nane iliyopita,mpaka Leo hakuna hata tripu ya mchanga.

Juzi Joni ze cheni wanasema wamechanga watu karibu milioni mbili,halafu eti makusanyo milioni 400, wakati hata hao wachangiaji wangetoa 1000 ilikuwa bilioni mbili.

Kwa hesabu rahisi, wanasema wachangiaji kwa wastani walichangia shilingi mia mbili (200) kwa Kila mmoja
Utapeli huo wanafanya Simba sports club kupitia yule Muhindi Barbara, ndio wamechangisha ela wapenzi wa Simba wakiwadanganya wanajenga uwanja kumbe utapeli mtupu.
 
"Sisi tunajenga chama mioyoni mwa watu."

Nakumbuka huu ulikuwa ndiyo utetezi wa muda wote kuhusu ujenzi wa jengo la ofisi za chama.

Hakikisheni kuna uwazi kwenye umiliki wa hicho kiwanja otherwise mtajenga kwenye kiwanja cha Mwenyekiti.😁.
 
Back
Top Bottom