Hata heading hujaelewa itaelewa content kweli?Nimekuja mbio Kuona Jengo ...Kumbe jengo ni 'Linalotarajiwa' ...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata heading hujaelewa itaelewa content kweli?Nimekuja mbio Kuona Jengo ...Kumbe jengo ni 'Linalotarajiwa' ...!
Na mwaka huu mtanunaMbowe alikuwa Ikulu juzi Kati.
Mfano wa jengo la Chadema makao makuu linalotarajiwa kujengwa hivi karibuni.
View attachment 2225211
Tutachanga.Hapo inatafutwa njia ya kuchangisha wanachama ili viongozi wapige Hela, walimpiga sabodo milioni 500, aliwapa za kujenga Ofisi, miaka nane iliyopita,mpaka Leo hakuna hata tripu ya mchanga.
Juzi Joni ze cheni wanasema wamechanga watu karibu milioni mbili,halafu eti makusanyo milioni 400, wakati hata hao wachangiaji wangetoa 1000 ilikuwa bilioni mbili.
Kwa hesabu rahisi, wanasema wachangiaji kwa wastani walichangia shilingi mia mbili (200) kwa Kila mmoja
Kuna hawa pia[emoji116]mzigo huo.ndani kuna mabenchi na vistuli vya kutosha.View attachment 2225257
Kama anapatikana kwa kuchaguliwa ndio demokrasia yenyewe.Siyo kiongozi anakuwa kiongozi wa milele halafu mnahubiri deomokrasia; demokrasia ianze ktk vyama kwanza
Amesema tuma pesa ndio utawajua hao watu ninani?CCMTOZOCCM Ni akina nani hapa nchini? Fafanua, wengine hatuwajui.
Naona mwenyekiti kaamua kutoa mgao kwenye bilioni sita Ili mpate ofisi. Kobgole sanaMfano wa jengo la Chadema makao makuu linalotarajiwa kujengwa hivi karibuni.
View attachment 2225211
Chadema mna haraka gani? Ujenzi haujaanza mmeshaanza kutuma picha, Mbona CCM huwa hawafanyi hivi?
Mfano wa jengo la Chadema makao makuu linalotarajiwa kujengwa hivi karibuni.
View attachment 2225211
Haters.....Hapo inatafutwa njia ya kuchangisha wanachama ili viongozi wapige Hela, walimpiga sabodo milioni 500, aliwapa za kujenga Ofisi, miaka nane iliyopita,mpaka Leo hakuna hata tripu ya mchanga.
Juzi Joni ze cheni wanasema wamechanga watu karibu milioni mbili,halafu eti makusanyo milioni 400, wakati hata hao wachangiaji wangetoa 1000 ilikuwa bilioni mbili.
Kwa hesabu rahisi, wanasema wachangiaji kwa wastani walichangia shilingi mia mbili (200) kwa Kila mmoja
Utapeli huo wanafanya Simba sports club kupitia yule Muhindi Barbara, ndio wamechangisha ela wapenzi wa Simba wakiwadanganya wanajenga uwanja kumbe utapeli mtupu.Hapo inatafutwa njia ya kuchangisha wanachama ili viongozi wapige Hela, walimpiga sabodo milioni 500, aliwapa za kujenga Ofisi, miaka nane iliyopita,mpaka Leo hakuna hata tripu ya mchanga.
Juzi Joni ze cheni wanasema wamechanga watu karibu milioni mbili,halafu eti makusanyo milioni 400, wakati hata hao wachangiaji wangetoa 1000 ilikuwa bilioni mbili.
Kwa hesabu rahisi, wanasema wachangiaji kwa wastani walichangia shilingi mia mbili (200) kwa Kila mmoja
Utajenga vipi bila kuwa na kiwanja? Pale ufipa hata ukibobomowa unaweza kujenga jengo hilo? Kwa zile square meter 400?Mkuu hii computer image ni jambo la kweli au ni hadithi zile zile?
Ccm wamedhulumu majengo ya umma na viwanja vya mpira vya umma, sasa unataka wajenge nini tena?CCM walishajenga jengo gani.
Hahahahaha.......Amesema tuma pesa ndio utawajua hao watu ninani?CCMTOZO
Kwa hiyo tufuate vile vile wanavyofanya ccm?Chadema mna haraka gani? Ujenzi haujaanza mmeshaanza kutuma picha, Mbona CCM huwa hawafanyi hivi?