Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoyeee!!Mambuzi oyee
Jambo lingine lisilo na ubishi ni kuwa 2025-2030 raisi atakuwa ni mwana CCM.Acha upotoshaji wewe!! CCM ni chama cha Mambuzi! Na hakuna ubishi katika hili.
Only in Africa ndipo utapata viongozi wenye elimu magumashi lakini wanaendelea kuongoza. Alianza Zuma kule South Africa na kwa sasa na sisi tuna Zuma wetu...Wameanza kukiri wenyewe bila shuruti kuwa nchi inaongozwa na mbumbumbu
View attachment 2438864
CCM=Chama cha Mambuzi waliokusanyikaMchakato wa kufa huanza hivi hivi Kama jamaa alivyoileta photo...
Mambuzi wasije kukuchinjameeee[emoji23]shauri yako
2025 hatuwezi kuchagua mambuzi kwa namna yoyote ile.Jambo lingine lisilo na ubishi ni kuwa 2025-2030 raisi atakuwa ni mwana CCM.
Shauri Yako Mimi nakukataa 😂😂😂Wewe sio ndugu yangu kabisaCCM=Chama cha Mambuzi waliokusanyika
😜😜😜😜😜😜😜😜😜Kama sio her excellency dr samia jamaa alikuwa anamalizia ze entire mambuziii 😆🤣😂
ShunieHatari sana
Hata mama mwenyewe anajua ndiyo maana aliwaambia wateule wake wale kwa urefu wa kamba zao na tunajua mbuzi ndiyo anakula kwa urefu wa kamba yake.Nakubaliana na Mgeni. CCM ni chama cha mambuzi
Kwani anaumwa?[emoji28][emoji28][emoji28],asante mgeni[emoji122]View attachment 2438874
Wameanza kukiri wenyewe bila shuruti kuwa nchi inaongozwa na mbumbumbu
View attachment 2438864