Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
unataka kunambia hii nyumba ina zaidi ya miaka 40?Ni nyumba ya mgongo wa tembo,chumba na sebule,pembeni kuna slope mbili,moja hutumika kama jikoni nyingine ni ya watoto.
Baada ya mambo kuwa mazuri aliwajengea wazazi wake ghorofa moja la kisasa huko Igoma Mwanza,
View attachment 3173181
Nikiangalia nyumba hizo nasema Mungu yupo
Siku unakuja Bashungwa atakuwa Rais na aibu itakupataNasema hivi:
Hakuna Muhaya wala munyambo atakayekuja kuwa rais wa nchi hii.
Kosa hilo likifanyika ndani ya miaka miwili tu idara na sekta muhimu za serikali zote zitajaa wanyambo na wahaya.
Kosa hilo haliwezi fanyika hata kidogo siyo urais tu hata uwaziri mkuu hawezipewa mnyambo wala Muhaya.
Huko kubadilishwa wizara mara kwa mara ni kuepuka asije jaza watu wa kabila lake kwenye sekta na idara muhimu zilizopo kwenye wizara husika endapo atakaa muda mrefu kwenye wizara hiyo.Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi ambaye ni msomi haswa pia ni mbunge Jimbo la Karagwe atakuwa Rais wa TANZANIA 2030
Watu wengi hili jambo hawajalistukia, wapo usingizini
Waziri Bashungwa ndani ya miaka 5 amehudumu ndani ya wizara 7,
Hii yote siyo kibahati anapitishwa wizara mbalimbali ili ajue yaliyoko huko
Kufika 2030 atakuwa amehumu wizara nyeti nyingine hasa wizara ya fedha, wizara ya mambo ya nje, wizara ya elimu na wizara ya afya.
Kwasasa ameletwa wizara ya mambo ya ndani kunyosha watekaji, polisi wasio waadilifu, rushwa Magerezani na wahamiaji haramu
Innocent Bashungwa amekuwa kiongozi mzuri kila wizara aliyopita,
Innocent Bashungwa (Mb)
2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo
2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara
2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na Michezo
2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI
2023-2024 - Waziri wa Ulinzi
2023-2024 Waziri wa ujenzi
2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani
Namtakia kila heri mh Rais ajaye Innocent Bashungwa, homeboy kutoka pale Bushangaro Karagwe
Unaota mchana wewe na ndoto za mchana huwa ni za uongo mtupu.Siku unakuja Bashungwa atakuwa Rais na aibu itakupata
Tupe notable achievement moja aliyofanya kwenye wizara alizopita.Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi ambaye ni msomi haswa pia ni mbunge Jimbo la Karagwe atakuwa Rais wa TANZANIA 2030
Watu wengi hili jambo hawajalistukia, wapo usingizini
Waziri Bashungwa ndani ya miaka 5 amehudumu ndani ya wizara 7,
Hii yote siyo kibahati anapitishwa wizara mbalimbali ili ajue yaliyoko huko
Kufika 2030 atakuwa amehumu wizara nyeti nyingine hasa wizara ya fedha, wizara ya mambo ya nje, wizara ya elimu na wizara ya afya.
Kwasasa ameletwa wizara ya mambo ya ndani kunyosha watekaji, polisi wasio waadilifu, rushwa Magerezani na wahamiaji haramu
Innocent Bashungwa amekuwa kiongozi mzuri kila wizara aliyopita,
Innocent Bashungwa (Mb)
2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo
2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara
2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na Michezo
2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI
2023-2024 - Waziri wa Ulinzi
2023-2024 Waziri wa ujenzi
2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani
Namtakia kila heri mh Rais ajaye Innocent Bashungwa, homeboy kutoka pale Bushangaro Karagwe
Sema Inno mkimya sanaSidhani
Picha tuKote aliko pita ameacha athari gani chanya?
Ukimya ni achievement Inno sio DABTupe notable achievement moja aliyofanya kwenye wizara alizopita.
Wewe upo Jumuiya ya Machizi?Tanzania inaongezeko sana la vichaa.
Acha ukabila mkuuHuko kubadilishwa wizara mara kwa mara ni kuepuka asije jaza watu wa kabila lake kwenye sekta na idara muhimu zilizopo kwenye wizara husika endapo atakaa muda mrefu kwenye wizara hiyo.
Huyo hata ubalozi wa shina hawezi kupewaIkiwa rahisi hivyo basi twende na mzee wa kububujikwa Lucas Mwashambwa 😹
Ukimya ni achievement kwenye wizara alizopita ?Ukimya ni achievement Inno sio DAB
Na sisi tunamtaka RaisAcha kupiga promo kwa wahaya na wahangaza wenzio...