Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Pre GE2025 Mgombea Urais wa CCM 2030 lazima awe kijana with zero corruption status. Je, ni nani kati ya hawa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nani aliwathibitisha kwamba ni wakwepa kodi? We si unaona mahakama ya mafisadi imekufa kwa sababu ilikuwa mizuka na mihemko ya jpm kukomoa mahasimu wake wa siasa. Mtu wa kuthibisha huyu ni mwizi ama la ni mahakama siyo rais. Rais mwenyewe anaweza kuwa mwizi hivyo hawezi kujjichunguza mwenyewe. Kumbuka pesa alizoficha china jpm pamoja na biswalo
Kuna rais hakuwahi kuwa mwizi!?
Huyo Trump mwenyewe former president wa USA aliiba serikalini.
Ila unaiba je maendeleo yanaonekana!?
Kuhusu kina Dewji na hao wengine kauatilie masakata yao ya kodi na mishahara midogo wanayolipa wafanyakazi wao.
Mfanyabiashara ambaye yuko perfect bwana ni Said Salim Bakhresa tu,wengine wanafuata.
Nina swali moja tu mkuu,Samia kwa rekodi yake ndani ya miaka mitatu amekopa pesa zaidi ya rais yeyote wa Tanzania kuanzia Nyerere mpaka Magufuli,unaweza ukaeleza hizo fedha zilizokopwa zimefanyiwa nini mpaka sasa cha maana!?
 
IMG-20240529-WA0212.jpg
 
1. Paul Makonda .........................................Kashfa ya gorofa la GSM
2. Jerry Silaa .................................................Alituhumiwa kushiriki uuzaji wa open space jijiji Dar akiwa Diwani
3. David Kafulila .........................................Hamahama ya vyama inamfanya asiaminike na greens
4. Tulia Ackson ............................................Ameshiriki sana kuuza bandari zetu
5. Mchengerwa Mohamed .................Ataongozwa na wakwe
6. Hamprey Polepole................................Aliisaliti Rasimu ya Jaji Warioba
7. Luhaga Mpina .........................................Yuko vizuri
8. Ridhiwani Kikwete ................................Yeye, Mama yake na baba yake ni mchwa unaotafuna hata chuma
9. Innocenti Bashungwa .......................Simjui vizuri
10. Dotto Biteko ............................................Ni kama msanii fulani hivi
11. January Makamba .............................Mchwa hatari
12. Mwigulu Nchemba .............................Maringo, majivuno, hathamini kada ya chini
Umechambua vizuri sana mkuu
 
Kuna rais hakuwahi kuwa mwizi!?
Huyo Trump mwenyewe former president wa USA aliiba serikalini.
Ila unaiba je maendeleo yanaonekana!?
Kuhusu kina Dewji na hao wengine kauatilie masakata yao ya kodi na mishahara midogo wanayolipa wafanyakazi wao.
Mfanyabiashara ambaye yuko perfect bwana ni Said Salim Bakhresa tu,wengine wanafuata.
Nina swali moja tu mkuu,Samia kwa rekodi yake ndani ya miaka mitatu amekopa pesa zaidi ya rais yeyote wa Tanzania kuanzia Nyerere mpaka Magufuli,unaweza ukaeleza hizo fedha zilizokopwa zimefanyiwa nini mpaka sasa cha maana!?
Moja na kubwa zaidi ameqjiri mamia ya vijana kitu ambacho jpm alishindwa akatelekeza vijana for five years bila ajira. Ameajiti takukiru, polisi, jeshi, walimu nk na kuongesa mishahara pia. Huu ndo ustawi tunaoutaka. Ndoa zilizovunjika zimerudi including me sasa niko pccp
 
Moja na kubwa zaidi ameqjiri mamia ya vijana kitu ambacho jpm alishindwa akatelekeza vijana for five years bila ajira. Ameajiti takukiru, polisi, jeshi, walimu nk na kuongesa mishahara pia. Huu ndo ustawi tunaoutaka. Ndoa zilizovunjika zimerudi including me sasa niko pccp
Kwahiyo pesa zinakopwa badala ya kuwekeza kwenye jambo productive unatumia kulipa watu mishahara!?
Na huo mkopo unajirudishaje mkuu!?
Una uhakika hakuna waliopoteza kazi kipindi cha Samia?
Kuna miradi ilosimama wafanyakazi wakarudishwa,TRC kuna mabadiliko ya kipumbavu kayafanya yamepunguza watu vyeo na wengine kuwaacha jobless.
Alichokua akifanya Magufuli ni kulifanya hili taifa economic independent,na kama hili lingekamilika tungekua mbali sana.
Furahieni hiyo mishahara kuongezwa ilhali watu wanakopa nje IMF huko na mashirika ya fedha ya kimataifa ili ninyi mpate mshahara,mwishowe ni pesa yenu kupungua thamani na gharama za maisha kupanda.
Sasa sijui hiyo mishahara mikubwa itakua na thamani gani!!??
 
Mtu mzuri bila mfumo imara na katiba ya kueleweka ni kama kuvaa suruali safi njee ,ndani boxa chafu na imetoboka.
 
Kwahiyo pesa zinakopwa badala ya kuwekeza kwenye jambo productive unatumia kulipa watu mishahara!?
Na huo mkopo unajirudishaje mkuu!?
Una uhakika hakuna waliopoteza kazi kipindi cha Samia?
Kuna miradi ilosimama wafanyakazi wakarudishwa,TRC kuna mabadiliko ya kipumbavu kayafanya yamepunguza watu vyeo na wengine kuwaacha jobless.
Alichokua akifanya Magufuli ni kulifanya hili taifa economic independent,na kama hili lingekamilika tungekua mbali sana.
Furahieni hiyo mishahara kuongezwa ilhali watu wanakopa nje IMF huko na mashirika ya fedha ya kimataifa ili ninyi mpate mshahara,mwishowe ni pesa yenu kupungua thamani na gharama za maisha kupanda.
Sasa sijui hiyo mishahara mikubwa itakua na thamani gani!!??
Yaani kwako ajira siyo productive? Sasa hiyo purchasing power itatoka wapi kama watu hawana ajira?
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa Agenda ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu.

Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio wengine hao 15.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Hussein Mwinyi
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
16. Juma Aweso
hiyo listi hakuna raisi
 
Yaani kwako ajira siyo productive? Sasa hiyo purchasing power itatoka wapi kama watu hawana ajira?
😂😂😂😂😂😂😂Aiseee,mkuu hata mahesabu rahisi ya biashara umewahi kufanya!?
Tunatarajia shirika ambalo limeajiri watu ndio lilipe watu mishahara.
Mathalan TRC mapato yake ndio yalipe watu mishahara.
Kukopa ili ulipe watumishi ni sawa na kukopa ili uanzishe biashara ambayo haijapitia transition period na wala haujui mapato yake na wala haijakomaa.
Mapato ya Tanzania yako chini,hayo mapato hukusanywa katika mashirika mbali mbali ya serikali na ya watu binafsi.
Kama mapato tu HAYAJATOSHELEZA KULIPA WATUMISHI MISHAHARA MINONO NA KUAJIRI WENGINE,je kwa kukopa ili muajiri na kuongezea watumishi mishahara,je mtawezaje kulipa hiyo mikopo mliokopa!?
Ilhali mapato yenu tu hayakutosheleza kulipa mishahara minono!?
Sasa toeni mchanganuo mikopo itakua ni asilimia ngapi ya pato la taifa halafu uone namna kitavyowalamba pakubwa.
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa Agenda ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu.

Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio wengine hao 15.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Hussein Mwinyi
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
16. Juma Aweso
Tuna Rais mpya na UPYA wake 2025.

Msijitoe ufahamu.
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa Agenda ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu.

Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio wengine hao 15.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Hussein Mwinyi
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
16. Juma Aweso
Hakuna hapo mbona.

Naweza kuwa mimi.
 
Bila kujali wengi wanavyotamani Uchaguzi ujao wa mwaka 2030 zaidi ya 50% ya wapigakura wote watakuwa ni vijana.

Chama kitakachotaka kushinda Uchaguzi huo kisayansi lazima kije na mgombea mwenye maarifa ya kutosha na umri usiozidi miaka 50.

Kwasasa Agenda ya dunia ni kuchagua mtu anayechukia rushwa na Ufisadi asiyelea Uzembe lakini lazima awe ni mtu aliyekaribu sana Mungu.

Comment ziwe fupi fupi unataja jina na kama itakupendeza Sema kwanini ni huyo na sio wengine hao 15.​

1. Paul Makonda
2. Jerry Silaa
3. David Kafulila
4. Tulia Ackson
5. Mchengerwa Mohamed
6. Hamprey Polepole
7. Luhaga Mpina
8. Ridhiwani Kikwete
9. Innocenti Bashungwa
10. Dotto Biteko
11. January Makamba
12. Mwigulu Nchemba
13. Hussein Mwinyi
14. Hussein Bashe
15. Suleiman Jaffo
16. Juma Aweso
Hawa karibu wote 2030 watakuwa na miaka 55 na zaidi je ndio vijana hao. Au ni vijana wa kwenye siasa ?
 
😂😂😂😂😂😂😂Aiseee,mkuu hata mahesabu rahisi ya biashara umewahi kufanya!?
Tunatarajia shirika ambalo limeajiri watu ndio lilipe watu mishahara.
Mathalan TRC mapato yake ndio yalipe watu mishahara.
Kukopa ili ulipe watumishi ni sawa na kukopa ili uanzishe biashara ambayo haijapitia transition period na wala haujui mapato yake na wala haijakomaa.
Mapato ya Tanzania yako chini,hayo mapato hukusanywa katika mashirika mbali mbali ya serikali na ya watu binafsi.
Kama mapato tu HAYAJATOSHELEZA KULIPA WATUMISHI MISHAHARA MINONO NA KUAJIRI WENGINE,je kwa kukopa ili muajiri na kuongezea watumishi mishahara,je mtawezaje kulipa hiyo mikopo mliokopa!?
Ilhali mapato yenu tu hayakutosheleza kulipa mishahara minono!?
Sasa toeni mchanganuo mikopo itakua ni asilimia ngapi ya pato la taifa halafu uone namna kitavyowalamba pakubwa.
Hayo unayajua wewe ila mi naenjoy maisha kwa sasa mana nina ajira. Jpm alikuwa shetani kwangu mana kidogo nijinyonge
 
Back
Top Bottom