Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Oa mwanamke mbaya tosha. Cheusi Mangala nani atahangaka naye
Aaa wapi!

Hata uoe yukoje mabaharia wataruka naye tu...

Just focus on yourself (if you can)

Hakuepukiki%20(1)%20(3).jpg
 
Huyu dada sijajua kama alikuwa anajua huyo mtoto sio wa nikki , inawezekana , alikuwa anagongwa tuu chuoni leo huyo , kesho kutwa nikki , wiki ijayo lecture...
Hakunaga mwanamke anajifungua halafu asijue mtoto ni wa nani. Muwekee pistol kichwani uone atakutajia hadi siku mimba iliingia.

Umalaya wao wa kulala na mwanaume zaidi ya m'moja ndio unawaghalimu. Na serikali kupitia hawa viongozi wa kike ndio wanalea hizi tabia za umalaya nyuma ya kisingizio cha HAKI YA MTOTO WA KIKE NA MWANAMKE.
 
Hakunaga mwanamke anajifungua halafu asijue mtoto ni wa nani. Muwekee pistol kichwani uone atakutajia hadi siku mimba iliingia.

Umalaya wao wa kulala na mwanaume zaidi ya m'moja ndio unawaghalimu. Na serikali kupitia hawa viongozi wa kike ndio wanalea hizi tabia za umalaya nyuma ya kisingizio cha HAKI YA MTOTO WA KIKE NA MWANAMKE.
Ila wanawake makatili sana daa.
Nimewahi kusikia nikki anasema watu wanafikilia wachaga wanapenda pesa kktu ambacho sio kweli.
 
Kama ni kweli hongera kwa Nikki kaonyesha ukomavu wa hali ya juu ...Panic ya wastani ila najua ingekuwa wale jmaa wa kanda ya ziwa au mara huyo demu angekuwa maiti sasa...
Nimewahi kupitia anayopitia Nikson sasa hivi !

Ni kipindi kigumu mno.

Mtu unaweza kufurahi anachopitia Ila Cheka Sana, furahi Sana, imba Sana Ila usiombe ukapitishwa kwenye huu mtihani WA mtoto wako WA Kwanza kuambiwa sio WA kwako. Na mahusiano yako on spot yanakuwa yanaharibika Kwa kipindi hicho hicho. Acha kabisa unaweza kuwa chizi

Namuombea Nikson Hold On naamini utakuwa umefanya maamuzi ya busara na ninakuombea mungu akupe nguvu na busara. Ukiweza kuvuka hiki kipindi unaenda kuwa Nickson Bora zaidi ya ulivyokuwa.
 
Back
Top Bottom