Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
SijapentaaaKampa kampa Tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani extrovert hajataja kubakisha kitu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SijapentaaaKampa kampa Tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]yaani extrovert hajataja kubakisha kitu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Joan wa pili umejitokezaHamna hata Cha ajabu Nikki mwenyewe anamcheat mama Zuri mbona!
Unakasirika hadi mzazi mwenzako akigongws??Hawa wasukuma watatuua halafu ukiwaona ni mawife material juzi nimegongewa mzaz mwenzangu ilikua pisi kali huko kwao magu naunga mkono movement no kuoa kataa ndoa niutapeli
Aaa wapi!Oa mwanamke mbaya tosha. Cheusi Mangala nani atahangaka naye
Huu wivu😭😭😭😭😭
Hii ni dhana potofu, na kuna wanawake inawapoteza wanachapwa tuu wakijua ni kawaida, jamii inapotea kwa hizi dhana potofu, actually ni ukosefu wa self dignity na inapoteza sana utu wa mtu...
My point exactlyKama ni hivyo basi asilimia 60 ya wanaume wa kibongo wana tabia za kike.
Ipo Twitter huko. Niliona juzi hiyo story.Mbona sijaisikia hii mkuu.
Hakunaga mwanamke anajifungua halafu asijue mtoto ni wa nani. Muwekee pistol kichwani uone atakutajia hadi siku mimba iliingia.Huyu dada sijajua kama alikuwa anajua huyo mtoto sio wa nikki , inawezekana , alikuwa anagongwa tuu chuoni leo huyo , kesho kutwa nikki , wiki ijayo lecture...
Nyama nyama zikaze, sio zinalendemka. Kwa mwili wake, haikutakiwa awe na mabonde mabonde, nimeshangaa kumuona vileMabonde aje na mnatakaga nyama nyingi mazee 🙂
Naomba link kama unayo 😁😁Ipo Twitter huko. Niliona juzi hiyo story.
Ila wanawake makatili sana daa.Hakunaga mwanamke anajifungua halafu asijue mtoto ni wa nani. Muwekee pistol kichwani uone atakutajia hadi siku mimba iliingia.
Umalaya wao wa kulala na mwanaume zaidi ya m'moja ndio unawaghalimu. Na serikali kupitia hawa viongozi wa kike ndio wanalea hizi tabia za umalaya nyuma ya kisingizio cha HAKI YA MTOTO WA KIKE NA MWANAMKE.
Aiseee....Hayo mambo Mungu katufumba hata marafiki zetu wa karibu wanatusema vibaya kwa wtu ila ni vile hatujui..Mkoe unachapiwa n vile hujui ila siku ukijua inauma sana.
Nimewahi kupitia anayopitia Nikson sasa hivi !Kama ni kweli hongera kwa Nikki kaonyesha ukomavu wa hali ya juu ...Panic ya wastani ila najua ingekuwa wale jmaa wa kanda ya ziwa au mara huyo demu angekuwa maiti sasa...
Haya mambo si ya kumcheka mwenzio lakiniPolee
Tia neno kidogoo
I mean utie neno hata la hurumaHaya mambo si ya kumcheka mwenzio lakini
Ova
HahahaI mean utie neno hata la huruma
Ukiipata na mimi ntupieJaman mwenye hyo connection anitupie na mimi nione.
Imekuwaje jamaniii
Kaka msomi mwenzako wa CUBA hapa sijaiona fanya maajabuKinachouma kwenye kuchapiwa, ni vile manzi anavyokuwa anatoa ushiriakiano. Ndio maana kwenye kufumania, mwenye mke nguvu zinamuishiaga...