Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mheshimiwa mmoja kijana kutoka Arusha apigiwa mke wake

Mie mke sijampa priority ki ivyo ya kuniumiza. Nilipooa nilijua naa consequences or negative side ya ndoa. So huwa na rehearsal always Naona wife analizwa na lijamaa linapumua na push up zake so nakuona navyo handle my brain. Ni sawa na soldiers wanavyo handle kifo vitani kwani huwa hawajui kuwa watakufa ama kuuliwa. Ishu Ni kuandaa mind positively ili negative itakapokuja ibalansi mzani.
Nimekupata

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna mwanamke wa kumwacha mwanasiasa hii ni mihemuko ya vitoto mtandaoni

Kazi ya siasa ni kazi inayolipa zaidi Tanzania
 
Saswakuu leo ninmajivu tumuombee Mr country wide ktk kipindi hiki kigumu ,ila alionywa akashupaza shingo

Na mbya Zaid hakuna anaye furahia tatizo lake ,tatizo kaonywa yey kajifanya mwerevu hakusikia na kushupaza shingo

Ndio maan watu wamemfahaa jumla jumla leo nimesikia Hadi mwijaku kamleta kwenye dawati la leo tena ambapo mm nimdau mkubwa kweny Hilo dawati
Amebadilisha jina kutoka countrywide sasa hivi anajiita kwenye ID yake woodland
 
Back
Top Bottom