Miili miwili bado inashikiliwa na HAMAS, upo wa kijana Mtanzania Joshua Mollel

Wakristo wangapi wanaishi Palestina miaka kwa miaka....tena wakiwa na Furaha

Semeni tu ukweli
Israel iliwatoa chambo Wabongo kwa tamaa au ujinga wao.

Mkuu Abuu: Hata kama una mapenzi na Hamas wala si jambo baya kabisa, ujinga upi waliofanya hao vijana wa Kitanzania? Wako Watu Wa mataifa mengi walofariki na kutekwa kama Hostages...Walikuwepo Warusi....watu toka Thailand nk....Nadhani Tanzania kuna watu kama hao 260 Israel...

Support Hamas kadri unavyoweza Mkuu, but be logical, na kujua kwamba vikana hao ni katika harakati za kutafuta maisha tu, hivyo unaposema ni chambo na wajinga, basi unailaumu serikali ya Tanzania pia iliyopokea hizo Scholarships.
 
Usijidanganye kijana, weka ushahidi wako tukupe darsa, wacha porojo zako.
 
Na huenda sababu ya kuuawa ni kutokuwa wafuasi wa dini ya mnyaazi, halafu kuna watu humu wamejivika kuwa watetezi wakuu wa Hamas dhidi ya kile walichokifanya kwa waisraeli na wageni walipo Isreal. Wale wanazuoni akina Shivji waje watetee na hili...​
 

Kuna ukweli ndani yake.....Maana wale mateka wa Thailand ilibidi Waislamu wa Thailand waende Qatar kufanya separate negotiation ili Wa thailand waachiliwe

Source;

 
Kimsingi HAMAS waachie mwili wa Mtanzania arejeshwe na kuzikwa kwao, la sivyo tutaandika nadharia nyingi sana za kutaka kuwafanya HAMAS waonekane malaika kisa dini.
Waambieni idf wakauchukue si hamas inazidi kusalimi amri
Hamas kundi teule
 

Futa hii comment, unajidhalilisha tu
 
Hapo unajiona umeongea point kinoma, et una mito unashindwa kuitumia😂😂
 
kabisa yaani !

haiwezekani Makafir kote duniani aaungane kuwapoga Hamas kisa watoke kwenye ardhi yao.

ueni makafir wote ikibidi
Dini yenu inafundisha kuua kumbe?? Yani upo comfortable kutamka binadamu mwenzako auwawee, really???
 
Tuliambiwa walienda kusoma kumbe ni wanajeshi, mimi nilisema mwanzo hao wa Tanzania walienda kufanya nini camp ya jeshi, sa wamesema wenyewe ni mwanajeshi
 
Mabo
RIP, mtanzania mwenzetu.... Ila Isreal ndo imesababisha hao matekwa wasio kua na hatia kufa inarushwa mabomu hovyo na kuua watu wake waliko fichwa, majuzi tu wanajeshi wa Isreal 10 walikufa, isreal imexhanganyikiwa kuhusu hiyo vita.
Marocket ya Hamas hamyaoni? Au kisa waisrael wameweka Iron dome?
 
Hapo unajiona umeongea point kinoma, et una mito unashindwa kuitumia😂😂
Ungefikiri nje ya box ungejiona aah bora nikae kimya tu hapo

Sasa mito 19 hata kutumia kama usafiri mmeshindwa wakati wazungu ndio ilikuwa vyanzo vya usafiri kabla hata ya boat wala magari

Wewe mwenye akili unaona uko sawa kabisa kuandika hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…