Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

I once told u,usihangaike na hao wehu! Ikiwezekana usiwajibu kabisa!! We share codes tu🥂
 
and thus why as myself and i nimeamua nikimbie kule kwa twtter nowdays X...unakuta umedrop kwa platform keka la 4days ahead mean train as the tanzanian call it

team zimetembea forty down to thirty eight but mtu ako na shout kwako direct as if kuboom ilikuwa ni lazima mtu ako na forgot kwamba this is betting.
 
MECHI ZA LEO TAREHE 19/02/2024

Jua lipo ktk nyota ya Samaki na mwezi baadae utahamia ktk nyota ya Kaa

TANZANIA

(1) Geita Gold vs Ihefu

Leo Geita atashinda

(2) Tabora united vs AZAM

Leo Azam atashinda.
By magical power
Draw mbili hizo
 
Wakuu kuna soko naliona telegram lakini kwenye kampuni nazotumia halipo.
DRAW EITHER HALF
Ni kampuni gani nitapata soko hili?
 
haya new option ya leo tujaribu, insha alah ishinde

sportbet

C76935
Hii option ni nzur ila kwa harakaharaka nlichokiona hii ya any sio nzur ni bora kumfuata tu mmoja. Ambaye anaonekana waz hawez kupiga hizo 3 mfululizo. Huu mkeka niliuweka kwa majarbio na match ya kwanza tayar ishachana 😭😭 ila Bado hii option kwang naamin itakuwa ni best option kama tutaitumia kwa odds ndogo mtaji mkubwa
 
MECHI ZA LEO TAREHE 19/02/2024

Jua lipo ktk nyota ya Samaki na mwezi baadae utahamia ktk nyota ya Kaa

TANZANIA

(1) Geita Gold vs Ihefu

Leo Geita atashinda

(2) Tabora united vs AZAM

Leo Azam atashinda.
By magical power
[emoji16][emoji16] magic power, sio mchezo aisee
 
Mkuu hata hiyo option bado ni ngumu sana maana kunakipindi timu unaona inashinda na unaipa 1x au x2 na inaenda kinyumeeee.
HIi option inakupa wigo mpana wa kula ila bado ni moto
 
Mkuu hata hiyo option bado ni ngumu sana maana kunakipindi timu unaona inashinda na unaipa 1x au x2 na inaenda kinyumeeee.
HIi option inakupa wigo mpana wa kula ila bado ni moto
Sijasema kuwa ina assurance ya 100% kuwin mkuu ila ukiweza kubashiri kwa mtindo wa 1X, 12 au X2 kwa kufuatisha Form ya timu na Game husika ni bonge moja la option. Kumbuka mpira una matokeo matatu tu so izo option zingine ni extra tu bookies wameweka kutuchanganya.
 
Hii option alikuwa anaiwezea Rutashubanyuma sijui siku hizi yupo wapi.
Alikuwa na uwezo wa kuweka mechi 45 kwa option ya double chance zikaharibu mbili au moja.
Siku moja chupu chupu nimpige Khanji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…