Ukisikia baba kuuza ng'ombe ili kusomesha ng'ombe ndiyo huyo ...yani ajaelewa chochote na mzee wake kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe 😁😁😁😁😁😁Akili zako zinasaidia nini ikiwa hauwezi kuwa kiongozi anayesimamia ujenzi wa mamia ya viwanda huko mikoani?.
Akili zako ni sifa za kinadharia tu ambazo zinakusaidia katika kuomba kazi. Samia anajua kuishi na hao wenye elimu kwa ukaribu zaidi.
SSH anajua kuwatumia hao wenye elimu kwa manufaa ya TZ, nyinyi bakini na hizo akili zenu wakati Nchi inaendelea kufunguka na wajanja wanaendelea kutajirika.
Waanzilishi wake ni wengi. Maana kila genertion mtu huitoa kuok awamu fulani hadi nyingine. Hizi nyingine ni programu tu.internet yenyew imesambaa dunia kwa njia ya wireHivi ni nani au ni taasisi gani hasa ndiyo iligundua INTERNET kwa mara ya kwanza hapa duniani?
Unamuongelea mleta mada au unanijibu moja kwa moja mimi?Ukisikia baba kuuza ng'ombe ili kusomesha ng'ombe ndiyo huyo ...yani ajaelewa chochote na mzee wake kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe 😁😁😁😁😁😁
Sijui mimi natabiri tuUnamuongelea mleta mada au unanijibu moja kwa moja mimi?
Samia anaweza kuwa Rais mpaka 2030, akiendelea kutuachia vilio na kejeli nyingi zinazoishia humu JF.Sijui mimi natabiri tu
Hapo katikati ya 2025 na 2030 kuna uhalibifu mkubwa kama huyo samie akiwa kitiniSamia anaweza kuwa Rais mpaka 2030, akiendelea kutuachia vilio na kejeli nyingi zinazoishia humu JF.
Hujaonekana uharibifu kuanzia 1961-2021 hauwezi kuja kuonekana katika kipindi cha miaka minne au mitatu ijayo.Hapo katikati ya 2025 na 2030 kuna uhalibifu mkubwa kama huyo samie akiwa kitini
Kamuulize anayefanya hivyo saa💯Kukopa sana na kuachilia watu wajichotee fedha za umma kupitia miradi na manunuzi kutokana na kushindwa kusimamia mapato na matumizi ndio mtindo upi wa uchumi?
Hawezi kukujibu. Ameongozwa na chuki tu kwa Samia as a Person. Mheshimiwa amefanya yote yaliyoachwa na mtangulizi wake..kuanzia miradi ya mkakati (SGR, Bwawa la Nyerere, Daraja la Busisi, barabara za Mwendo kasi, n.k, n.k). Pia ameanzisha yake miiingi tu kwenye elimu, afya na kilimo.Bado hujaeleweka, kwa mfano ameshindwa kuongoza nini?
Mbona Uchumi unakuwa, Mikopo kwa Wanafunzi wa level zote Diploma & Degree ipo, Mikopo kwa Wakulima inapatikana, Miradi mikubwa inaendelea kutekelezwa
Umeona kuna Mkwamo wapi?
Hifadhi hii comment ysko ...utskuja kunikumbukaHujaonekana uharibifu kuanzia 1961-2021 hauwezi kuja kuonekana katika kipindi cha miaka minne au mitatu ijayo.
Punguzeni hizi fikra za unyonge akilini mwenu.
Halafu wote mmepangana wazee wa Sunday school sasa hapo tutaona kweli uwezo mdogo au inferiority compl based on religionInasikitisha sana
Mengine tuwaachie, Kaka.
Msingi ni kuwapa ukweli, uhalisia ni kwamba Samia hana uwezo.
Mengine ni kujifurahisha tu, wao wenyewe Plus exposure ya weakness ya civil servants.
Lakini Samia akili ya kuongoza nchi hana ata kidogo hizo akili hana; mengine watajijua wenyewe kiongozi.
Tukutane kwenye majibizano ya maana. Haya mengine ni kuwapasha tu wahusika. Wakimeza wakitema, shauri zao.
Astaghafillulah!!Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Msaka teuzi katika USAKA TEUZI 🤔🤔🤔Kutomsikiliza kwako hakumnyimi kutimiza ahadi zote zilizosemwa hadharani mwaka 2020 wakati wa kampeni, anazitimiza mmoja baada ya nyingine.
Nimeshahifadhi nyingi na hakuna kinachokuja kutokea. Ukiwa ni mkazi wa haya majiji makubwa mara nyingi ni rahisi kuuvaa ujuaji. Kuwa na hulka ya kujiona unaweza kuwaongelea watanzania milioni 61 ukisahau kuwa ubinadamu unayo mipaka.Hifadhi hii comment ysko ...utskuja kunikumbuka
Sina hata kadi ya CCM na siipendi siasa ya majukwaani, imejaa unafiki mwingi.Msaka teuzi katika USAKA TEUZI 🤔🤔🤔
OohMkuu, civil service ilikuwepo awamu ya kwanza na baadae awamu ya pili na baada ya hapo hakuna kitu.
Hatuna Civil Servants wanotambulika wala special advisers.
Mambo ya kuivugura Tanganyika yamefanywa deliberately.
Kwani msemo wa mwanamke mpumbavu uvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe huujuiNimeshahifadhi nyingi na hakuna kinachokuja kutokea. Ukiwa ni mkazi wa haya majiji makubwa mara nyingi ni rahisi kuuvaa ujuaji. Kuwa na hulka ya kujiona unaweza kuwaongelea watanzania milioni 61 ukisahau kuwa ubinadamu unayo mipaka.
Siku zote ukiwasoma watu humu unaweza kudhani huko mtaani kuna moto mkubwa unawaka. Humu wamejaa manabii wa majanga, watu wenye uwezo wa kuona na kutabiri mabaya tu.Hawezi kukujibu. Ameongozwa na chuki tu kwa Samia as a Person. Mheshimiwa amefanya yote yaliyoachwa na mtangulizi wake..kuanzia miradi ya mkakati (SGR, Bwawa la Nyerere, Daraja la Busisi, barabara za Mwendo kasi, n.k, n.k). Pia ameanzisha yake miiingi tu kwenye elimu, afya na kilimo.
Kikubwa kafanya yote bila kuwabana watumishi, wamepandishwa madaraja na mishahara kinyume na mtangulizi wake ambaye hakupandisha madaraja wala kuajiri kwa muda wa miaka 6!.
Aangalie pia rekodi za mapato ya TRA kabla na baada, tena mapato yameongezeka bila watu kufungiwa akaunti zao wala kuporwa fedha zao kupitia Burea-de change.
Chuki za mtoa mada kwa Samia..ni chuki kwa Samia as a Person. Wananchi wanaona walipotoka na walipo. Kauli zake hizi za hovyo na chuki wala haziwezi kumkatisha tamaa Mh Raisi.
Na zile nukuu zake radio one!You, I and other reasonable people, the puzzle to how Samia got there it’s obvious. Mainly due to poor CCM.
Bado ujauweka wazimu wa ‘civil
services’ wanaoruhusu promotion ya huyu mama. Hawa watu wanakaa nae kwenye vikao.
Sasa unadhani hawaoni uwezo wake mdogo.
Nisamehe mkubwa, I got better things to amuse my mind for now. Nikikuta mada ipo nitashiriki.
Hila hawa watu lazima waambiwe, ukweli Samia ni zero; huo ndio ukweli wenyewe hana analolijijua.
👋👋👋
Ahaa mkuu hongera sana kwa positive reply.Sina hata kadi ya CCM na siipendi siasa ya majukwaani, imejaa unafiki mwingi.