Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wewe kweli Mayor Quimby? Mbona naona mapicha picha kulikoni????Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Na hapo ndipo hoja ya yeye kukosa akili inapata nguvu Angekuwa na uwezo binafsi,angeng'amua kuwa kuna mifumo mingine inafanya mambo nje ya maelekezo yake na angetumia akili zake kurekebisha.Ukisema akili hana nadhani si kauli sahihi kwani yeye ndie first citizen, hivyo heshima ni ya kulazimika nadhani labda useme mawazo yake yametekwa.
Kuna jamaa humu alileta mada inohusu state capture kaongelea namna state inavyoweza kuwa chini ya watu fulani ambao ndo wenye maamuzi.
Kisha mie pia kuna mada humu niliongelea kuhusu madhara ya nchi kuruhusu mfumo wa Kleptokrasia ambao pia ni mfumo unokuwa chini ya watu wachache na viongozi ambao huiba na kujilimbikizia mali za taifa.
Hivyo hata kama hyupoo kiongozi ambae amefumbwa na mifumo kama hiyo si kwamba hana akili ila huwaza namna ya kuchomoka lakini bado ana kuwa limited ni maamuzi yepi yatatimizwa au kuzimwa na mifumo hiyo.
Kwa bahati mbaya yaonekana nchi yetu imekumbwa na mifumo yote miwili yaani "double knock factors".
Siku ukibahatika kukutana na ‘bi-tozo’ muulize ana goals gani kama yeye awe ame achieve come 2027 kama yeye.Ni wewe kweli Mayor Quimby? Mbona naona mapicha picha kulikoni????
Tatizo kubwa ni kifungu cha katiba kinacholazimisha mgombea kuwa na mwenza toka upande tofauti ya muungano, laana aliyotuachia Nyerere. Kwanza hatuhitaji kuwa na makamu wa rais.Swali hivi nini walitizama nini hadi akawa mgombea mwenza. Au ndio yale mambo ya usawa wa kijinsia?
Mods wengine wana agenda za siri wanazingua sana. Ila kwa ukweli kabisa kwa huyu kizimkazi Watanganyika tumepigwa na kitu kizito,na wakimpitisha tena 2025 -2030 ataiacha Tanganyika hoi kabisa.Siku ukibahatika kukutana na ‘bi-tozo’ muulize ana goals gani kama yeye awe ame achieve come 2027 kama yeye.
Goals zozote za jamii au maendeleo
Hakuna kitu hapo (debe tupu).shida sio yeye ni wapuuzi waliomzunguka pia hawana maarifa.
Huo ndio ukweli, mama hana uwezo na sehemu kubwa ya civil servants aina uwezo.
Shida yangu ni mods tu wa JF kunibadilishia kichwa cha habari.
Vinginevyo kwengine duniani utoboi kwa kujiongopea. You have to tell it on how it is.
HatariIt’s a shitty county
Serikali ni chama tawala kilichoshinda chaguzi.Tatizo kubwa ni kifungu cha katiba kinacholazimisha mgombea kuwa na mwenza toka upande tofauti ya muungano, laana aliyotuachia Nyerere. Kwanza hatuhitaji kuwa na makamu wa rais.
Natofautiana na mleta mada kuilaumu civil service, wa kulaumiwa ni vyombo vya ulinzi hasa jeshi.
kinakusumbua chuki zako na wivuMimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
ChoiceVariable akiona hizi kauli atasonya sanaMods wengine wana agenda za siri wanazingua sana. Ila kwa ukweli kabisa kwa huyu kizimkazi Watanganyika tumepigwa na kitu kizito,na wakimpitisha tena 2025 -2030 ataiacha Tanganyika hoi kabisa.
Kwa nini kipenzi chako jiwe alimteua kuwa mgombea mwenza wake??Mimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Hatari
Siasa sio sayansiUwezi kujuandikiq upuuzi kutoka kichwani kwako siasa ni science.
Bora kutega sikio kwenye shimo la choo kusikiliza inzi wakigombea mafii kuliko kumsikiliza huyo bushiriMimi binafsi, siwezi kumsikiliza raisi Samia.
Bora nikalime huko, kuliko kupokea orders kutoka kwake.
Hana uwezo hata chembe.
That says a lot ueledi wa civil services,
It’s a shitty county (ndio uhalisia).
Explain the theories of power then and how to contain them.Siasa sio sayansi