Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Unaleta Mambo Ya Dhana Hakuna Logic.
 
Kumbuka Ulaya na Marekani wanatoboana Wanaume kwa Wanaume, vipi inatuhusu?

Ulaya wamepunguza umri wa Utu uzima kutoka 18 mpaka 16, mbona wanaharakati feki hamkulishangaa!

Ni mambo yao sisi hayatuhusu
Mkuu kwanza kabisa sijui kama ulielewa nilichoandika wewe ndie uliesema kuwa ya Iraq hayatuhusu na bado ukadai 9yrs akibalehe haina shida. Ulaya gani unazungumzia wewe? Unajua 16 years anakuwa na consent kwenye nini na watu wa umri gani? Unajua ni kwa nini huko ulaya unakozungumzia wakienda hata kununua sigara au viping flavours wanaulizwa ID? Ulizia Marcus kimemkuta nini Dubai he is 18yrs boy na alilala na binti wa 17 yrs ambae alikuwa few moths to 18yrs. Mwisho kabisa sina uana harakati wowote mkuu
 
Lengo la aya ya 5 ni kuwa mtoto haingii contract awe ni wa kike au wakiume nilitaka kuonyesha mwanamke ndio anahusika na mkataba wa ndoa au mtoto asiye na akili haingii mktaba hapo nimepotosha nn?
 
Weka Hapa Hiyo Aya Ni Namba Ngapi Mi Nitakusaidia Kuiweka Kwa Kiswahili.
Soma sura nzima ya 4 inazungumzia wanawake na haki zao halafu niletee aya inayoruhusu msichana kuolewa au leta aya yoyote mimi kesho asubuhi utanikuta madhabahuni, kuhusu hadithi zipo kibao wewe unalazimishaje niamini hadithi peke yake tena inakinzana na Quran? Na zipo pia vilevile zinaonyesha Aisha alikua na 12, zingine 15, zingine 19, na 17 msome ibn Kathir,.
 
18, na hapo asiwe mwanafunzi..
Hizi Ni Sheria Za Wapi Maana Kila Nchi Ina Sheria Zake Zama Google Uangalie Kila Nchi Ina Sheria Zake Za Umri Wa Kuolewa Acha Kukariri,Sheria Zenyewe Zinatungwa Na Warevi.
 
Makobazi wanapambana ulimwenguni kote ili waislamu wawe wengi kwenye mataifa mbalimbali na yawe ya kiislamu ili waitumie vizuri hiyo fursa ya miaka 9
 
Mtoto wa miaka 9 anapata hedhi?

Na kwani mtoto akipata hedhi tayari anakuwa mtu mzima?

Labda tuongee taratibu, kuna faida gani kuozesha mtoto mdogo?

kwa mujibu taratubu za uislamu, mtoto akipata hedhi anahesabika tayari ni mtu mzima, mtoto wa kike anakuwa mtumzima kwa kuanza kupata hedhi, na wakiume anakua mtu mzima kwa kuanza kutoka manii.
sas labda wewe utawmbie ili mtoto awe mtumzima awe vipi.
 
Suhendra, mtoto wa miaka 9 akiolewa, shule anakuwa amesoma muda gani?

Au kwenye uisilamu mtoto wa kike hatakiwi kusoma?

Hizo shule zimeanza lini mkuu? unajua kama hizo shule hapa nchini hata miaka 100 hazizidi? na kumekuwa na maisha kwa zaidi ya miaka 2000 nyuma. sasa wewe unaleta hoja ya shule huhisi kama ni upungufu wa fikra.
 
Lengo la aya ya 5 ni kuwa mtoto haingii contract awe ni wa kike au wakiume nilitaka kuonyesha mwanamke ndio anahusika na mkataba wa ndoa au mtoto asiye na akili haingii mktaba hapo nimepotosha nn?
Aya Ya Tano Inazungumzia Habari Za Mayatima Wala Haina Uhusiano Na Habari Za Mwanamke.
 

aliesema miaka 18 ndio ana akili za kijitu kizima ni nani?
 

Hiyo Sheria umeisoma katika kitabu gani au ni Nchi gani imepitisha Sheria ya kuoa mtoto wa miaka 9?
Unaelewa lugha ya Kiingereza?
Kinacho endelea ni propaganda za UONGO sasa kwa kuwa watu wengi hawaelewi lugha ya Kiingereza wanabebwa tu kama maboya!
 
Mimi Najaribu Kuonyesha Kwamba Kuna Shida Gani Kwa Nyakati Hizo Kwa Msichana KuolewA AkiwA Na 9.Alafu Hujui Walikuwa Wanahesabu Vipi Miaka Yao Walikuwa Wanazingatia Vigezo Gani.
 
Mkuu mimi naiheshimu dini yenu ila kwenye hili swala naona kama mwanamke anachukuliwa kama sex toy na asiyekuwa na maamuzi kuhusu mwili wake. Mtoto wa miaka tisa hata bado hajabalehe na kupevuka kiakili halafu aingie kwenye ndoa hii sio haki.

sharti kuu la kuoa awe amebalegh, haijaalishi umri gani anao. Hiyo miaka 9 imekadiriwa maana ndio umri ambao baadhi ya watoto wa kike wanaanza ku balegh
 

Shule ndio ninimkuu? mbona umagharibu umekuvurugeni akili kupita kiasi hivo?
 
Yaani akishatoka damu ya hedhi tu huyo ni mkubwa na anafaa kuolewa na akazaa.. mtoto mdogo hawezi kuzaa! Tupokuja kwenye sheria ya Tanzania miaka 14 bado mtasema ni mdogo ..
Hii Sheria ya umri wa mtoto wa kike kuolewa ilipigwa kihuni Sana na raia Kama hawakujua Nini kinaendelea.
 
Wewe si muislamu endelea na ukafir wako
Kama ukafiri unamfanya asiwe pedophile and a child abuser, bac aendelee tu kuwa kafiri, kuliko kufuata mafundisho ya pedophile mudy aliyekuwa akitamani watoto kwa tamaa zake binafsi na kusingizia kwamba ni maagizo 'allah' the imaginary god.

STUPIDITY🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…