gTurn
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 2,651
- 4,151
Hakuna kanuni ya uislamu pale, wako wrong kanuni iko katka Quran na nimeonyesha humuWale wa bunge la Iraq walikuwa wanasimamia kanuni zipi za uislam?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kanuni ya uislamu pale, wako wrong kanuni iko katka Quran na nimeonyesha humuWale wa bunge la Iraq walikuwa wanasimamia kanuni zipi za uislam?
Vipi akili yake katka kutafsiri mkataba?Mtu mzima maana yake kavunja ungo sio ndevu, imetaja na ukoo wake, dini yake , tena imesisitiza watu waenjoy ndoa kwenye ujana
Narudia ndoa ni ruksa ya mzazi binti kazi yake kutii tu , ndio maana Laban alimshika Leah akamwambia nenda kwa Yakobo hakuna maswali ni kutii tu, hadhi hii kapewa baba hapo zamani lakiniVipi akili yake katka kutafsiri mkataba?
Hahahaahqhata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.
Pia soma
- Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili
hata kama binti awe na mwili mkubwa bado miaka 9 ni midogo sana kuolewa.
Mwenye elimu anifafanulie unless otherwise natafuta upande mwingine ambao ntaona Sahihi kwa hili hapana wafuasi wa waarabu tunafeli.
Pia soma
- Kupitisha sheria ya ndoa kuwa miaka 9 ni aina fulani ya upungufu wa akili
Nilitegemea sitapita post mbili kabla ya kukutana na comment ya hivi na imekuwa kweliwewe si muislamu mkuu
Sasa asie na akili si chizi huyo, mpaka anaanza kutafuta pedi kuzuia damu wewe unasema hana akili? halafu watoto wa kike zamani makuzi yao ilikuwa ni ndoa tu hakuna kingine, ndio maana nikasema usilinganishe maisha yale ya vitabu na sasaQuran:4:4-5
4.Mwanamke ndio apewe mahari
5. Asiye na akili asipewe maana hajakomaa
Ni kusema wewe mume ukirudi kutoka kazi ukamkuta mkeo uliyemuoa na miaka tisa anachezea udongo hapo nje kwenu (nasema hivi kwa sababu umri huo bado mdogo hajapevuka akili) utamuadhibu au utakaa nae mchezee wote udongo?Mzazi ndio mwenye jukumu la kumuozesha mwanae suala la kuoa halina umri muhimu binti awe amebalehe basi, UISLAMU haujaweka umri wa kuoa ila kwa mtu alie balehe ruksa kuhudumia Mume au mke
Kwa waislamu kuoa mtoto wa miaka sita ni sunna ya mtume wao na ni ndoto ya kila mwislamu mwanamume.
Sisi vitabu tunatumia mpaka leo kama zamani mtoto wa miaka 9 alikua mwanamke sawa well and Good. Lakini sisi tunafuata maagizo ya kitabu katka wakati huu wa sasa tulio nao.Sasa asie na akili si chizi huyo, mpaka anaanza kutafuta pedi kuzuia damu wewe unasema hana akili? halafu watoto wa kike zamani makuzi yao ilikuwa ni ndoa tu hakuna kingine, ndio maana nikasema usilinganishe maisha yale ya vitabu na sasa
Makuzi tu mbona wadada wakubwa tu wanacheza kamba na watoto wao, narudia kanuni ya asili ya mwanadamu ni kuvunja ungo au kubalehe , hiki ndio kilitumika enzi za manabii , hakukuwa na umri wa kuoa watu walikuwa wanacheza na bikra tuNi kusema wewe mume ukirudi kutoka kazi ukamkuta mkeo uliyemuoa na miaka tisa anachezea udongo hapo nje kwenu (nasema hivi kwa sababu umri huo bado mdogo hajapevuka akili) utamuadhibu au utakaa nae mchezee wote udongo?
Hapana vitabu vinakupa ruksa ya kuoa mwanamke sio umri kwa taarifa yako mtume alimuoa mwanamke amemzidi miaka zaidi ya 15 , kwahiyo umri sio muhimu kwenye ndoa ni balehe tuSisi vitabu tunatumia mpaka leo kama zamani mtoto wa miaka 9 alikua mwanamke sawa well and Good. Lakini sisi tunafuata maagizo ya kitabu katka wakati huu wa sasa tulio nao
Kumkomaza ndio kumbaka. Mi nadhani tuishie hapa, ozesha binti yako wa miaka 9 halafu ukatoe haya maelezo mahakamani vizuri..Mumewe atamkomoza, si kavunja ungo maana yake tayari anatengeneza mayai , mume hawezi kumbaka mkewe
Mimi siwezi ozesha kwa miaka 9 kwasababu zama zimebadilika sasa hivi, wanawake wanasoma na kutafuta hela kama wanaume ila zamani ilikuwa tofauti , ukizaa binti unamkuza aje aolewe elewa nyakati, ila suala NDOA ataolewa tuKumkomaza ndio kumbaka. Mi nadhani tuishie hapa, ozesha binti yako wa miaka 9 halafu ukatoe haya maelezo mahakamani vizuri..
Namimi sijazungumzia umri nimezungumzia sifa za muolewajiHapana vitabu vinakupa ruksa ya kuoa mwanamke sio umri kwa taarifa yako mtume alimuoa mwanamke amemzidi miaka zaidi ya 15 , kwahiyo umri sio muhimu kwenye ndoa ni balehe tu
1.Avunje ungoNamimi sijazungumzia umri nimezungumzia sifa za muolewaji
Je kama balehe yake siyo ya kawaida (maradhi) huyu binti anasaidika vipi?unazungumza habari za wakati wa manabii unashindwa kutafakari inawezekana Mungu aliweka wataalamu mbalimbali akawapa ufahamu wa kuelewesha jamii kuacha baadhi ya tabia (hii ikiwemo) kwa sababu zinawatia ulemavu na sononeko watendwaji ambao ndiyo wanapinga hili jambo?Makuzi tu mbona wadada wakubwa tu wanacheza kamba na watoto wao, narudia kanuni ya asili ya mwanadamu ni kuvunja ungo au kubalehe , hiki ndio kilitumika enzi za manabii , hakukuwa na umri wa kuoa watu walikuwa wanacheza na bikra tu