Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Mimi ni muislamu, ila Sheria ya kuoa binti wa miaka 9 katika uislamu inanifanya niwe na mashaka na Imani yangu

Rudi karne ya 18 basi, dini inatakiwa iwe consistent milele yote, maana Mungu hawezi kuandika vitu vinavyopitwa na wakati…, kama kinaoitwa na wakati, jua kwa hakika, hakikutoka kwa Mungu, ni tamaa za kimwili tu za akina Mudi ndii zimezua balaa lote hili.., hivi mtoto wa miaka 9 ni wa kumtamani kweli, Kinyaa tupu, ptuuuuu!!, mnatia kinyaa nyie wafuasi wa mudi..
Nimezungumzia utofauti wa hizo karne mbili, sasa labda ungetuambie ni umri gani ambao ndio ulikuwa sahihi kwa mabinti kuolewa katika karne hiyo? Tatizo lako mkuu umejikita kwenye kebehi za za kidini kitu ambacho sioni kama kina maana yeyote, hata ukiangalia historia katika kipindi cha kibiblia utaona umri wa binti kuolewa ni kuanzia miaka 12 kitu ambacho sasa hivi hakikubaliki.
 
Nimezungumzia utofauti wa hizo karne mbili, sasa labda ungetuambie ni umri gani ambao ndio ulikuwa sahihi kwa mabinti kuolewa katika karne hiyo? Tatizo lako mkuu umejikita kwenye kebehi za za kidini kitu ambacho sioni kama kina maana yeyote, hata ukiangalia historia katika kipindi cha kibiblia utaona umri wa binti kuolewa ni kuanzia miaka 12 kitu ambacho sasa hivi hakikubaliki.
Tofautisha mila na dini.., kama kuna mila ziliruhusi mtoto wa miaka 6 kuolewa, ni kazi ya dini iliyoshudhws na Mungu kuhakikisha inakemea ubakaji huo…., kwa vyvyote vile , ili mtoto awe tayari kwa ngono na kuzaa, awe walau miaka 16, ila kwa dunianya sasa, ni lazima awe miaka 18 na asiwe anasoma
 
Kuna ubaya gani binti akiolewa na miaka 9?

Faida atakayoipata huyo binti anaingia ndoani akiwa bado sealed.
Unataka watoto wakabakwe na kupewa fistula? Mtoto wa miaka 9 anaweza kulea watoto na kulea mume? Au unataka wapoteze kaisha wakati wa kujifungua? Shule anasoma vipi?
 
Mariamu alichumbiwa akiwa na miaka 9, akabeba mimba ya yesu akiwa na miaka 12
Leta andiko chief,pia sio sawa kuhalalisha upungufu wa upande mmoja kwa kufananisha na upande mwingine.

Mohamed kuoa mtoto wa miaka 6 na kumlala akiwa na miaka 9 ni kosa . Hilo ni kosa kwa sababu Mohamed kwenu waislam ni mtu wa kuigwa mfano kwa vizazi vyote.

Leo tupo karne ya 21 chief,waislam mna hangaika kuhalalisha ndoa yake na mtoto Aisha. Upande mwingine kwa sababu yeye ni mfano wa kuigwa basi mpaka leo ndoa za utotoni zinaungwa mkono na waislam.
 
We Mwenyewe Unaona Una Bonge La Hoja.Jua Kwamba Hata Mama Ako Uwenda Alianza Michezo Ya Kikubwa Akiwa Na Umri Huo huo.
Mtume Taha alioa katoto ka miaka Sita.
Wewe una maoni gani juu ya hilo ?
 
Huo ni ubakaji.

Changamoto kubwa inayoikabili dini ya kiislamu ni kwamba mtume alioa mtoto wa miaka 9.

Ukisema ukweli kuwa mtume alibaka wanaanza kukutafuta wakuue. Hicho ni kizingiti kikubwa kwenye imani yao, namna ya kurekebisha kosa hilo haijulikani.
Alioa binti wa miaka 6 na akaanza kumla akiwa na miaka 9.
 
Alioa binti wa miaka 6 na akaanza kumla akiwa na miaka 9.
Hiyo ni ndoto ya kila Mwislamu, usione wanavyo jifaragua humu, hao lao ni moja.
Kila wanaposwali wanamtukuza mtume wao kwa matendo mema aliyo yafanya likiwepo na hilo.

Ukisikia Nchi inatawaliwa kwa Sharia ujue vitoto vya Kike vya kuanzia miaka Sita vinashurutishwa kuolewa na vibabu vya miaka 70+
Kwa mwongozo wa mtume wao.
Nabii Taha.
 
Mohamed kama mfano bora wa kuigwa wa wakati wote duniani angeishi leo anayepewa kesi ya ubakaji . Yeye anafaa kuwa mfano wa kuigwa wa enzi zake sio leo.

Ukitaka kushangaa zaidi,ni yeye peke ndiye alioa mtoto wa miaka 6. Hakuna swahaba wala mfuasi wake anaelezewa kuoa mtoto mdogo.

Sunan an-Nasa'i 3221
mwenyewe Mohamed alikataa kumuoza binti yqke (Fatima) kwa Umar na Aboubakar kwa sababu binti yake alikuwa mdogo sana .

Sahih al-Bukhari 5081
alipotaka kumuoa Aisha ilikuwa kama ni ambush kwa Abou Bakr ,Mzee Abou Bakr aliimwambia Mohamed, (Wewe ni kaka yangu , Mohamed akajibu mimi ni kaka yako ndiyo katika dini na kwenye kitabu ila nina haki ya kumuoa Aisha).

Abou Bakr asingeweza kumkatalia Mohamed kumuoa mtoto wake mdogo,what Mohamed wanted Mohamed got. Bahati mbaya waislam wamepigwa na upofu wa imani,hawako tayari kuona makosa ya muasisi wa dini yao .
 
Tofautisha mila na dini.., kama kuna mila ziliruhusi mtoto wa miaka 6 kuolewa, ni kazi ya dini iliyoshudhws na Mungu kuhakikisha inakemea ubakaji huo…., kwa vyvyote vile , ili mtoto awe tayari kwa ngono na kuzaa, awe walau miaka 16, ila kwa dunianya sasa, ni lazima awe miaka 18 na asiwe anasoma
Nachozungumzia ni umri ambao karne hizo ilikuwa sahihi binti kuweza kuolewa kwa utamaduni wa enzi hizo na kidini, tunatofautiana sana kwa hali ya maisha ilivyokuwa kipindi hicho na sasa. Sasa wewe unataka ukosoe mambo ya karne hizo kana kwamba yanatendeka nyakati hizi ambazo huyo binti wa miaka 18 ukiwa na mahusiano nae huku akiwa bado mwanafunzi inahesabika unambaka.

Pia tambua kuwa dini hazijataja ni umri gani wa binti kuolewa bali kigezo kinachotumika ni balehe na ndio kigezo kilichokuwa kikitumika karne hizo, na umri wa kuingia balehe hutofautiana.
 
Hiyo ni ndoto ya kila Mwislamu, usione wanavyo jifaragua humu, hao lao ni moja.
Kila wanaposwali wanamtukuza mtume wao kwa matendo mema aliyo yafanya likiwepo na hilo.

Ukisikia Nchi inatawaliwa kwa Sharia ujue vitoto vya Kike vya kuanzia miaka Sita vinashurutishwa kuolewa na vibabu vya miaka 70+
Kwa mwongozo wa mtume wao.
Nabii Taha.
Mkuu unawakandia waislamu ila dini yako haijataja ni umri upi sahihi na wala hutuelezi ni umri gani mabinti waliolewa katika kipindi cha kibiblia. Huoni kama unahofanya ni unafki?
 
Mkuu unawakandia waislamu ila dini yako haijataja ni umri upi sahihi na wala hutuelezi ni umri gani mabinti waliolewa katika kipindi cha kibiblia. Huoni kama unahofanya ni unafki?
Mimi sijawakandia Waislamu.
Ila sioni mwislamu hata mmoja akimpinga Mtume wake kuhusu swala la kuoa mtoto wa miaka Sita na kumwingilia akiwa na miaka 9 hali ya kuwa Mtume akiwa na miaka 54.

Hivi kwa akili yako ya Kawaida tu
Babu wa miaka 54 kulala na katoto ka miaka 9 inaingia akilini kweli ?

Na hakuna Mwislamu anaye ona kitendo hicho ni cha kutisha sana cha kudhulumu haki ya mtoto mdogo.

Nchi nyingi za Kiislamu zinaendelea kutunga Sheria ya kuruhusu vibabu wa miaka 70+ waowe vitoto vya miaka 9 kwa kumwiga mtume wao.

Hakuna Mwislamu yoyote anaye mpinga Muhammadi kwa hicho kitendo zaidi wanamwunga mkono na kumsifu na pia wao wanahamu kubwa ya kumwiga.

Ndio maana nimesema kuwa ni ndoto ya kila Mwislamu kuoa vichanga vya miaka 6 kama mtume wao na wewe ni mmoja wapo.

Nimeishi sana na muslims na nawajua lao ni moja.
Kila alichofanya mtume wao wa pekee Muhammadi nao wanatamani kufanya.

Muslima ni jamii ya ajabu sana.
 
Sahih Al-Bukhari imetungwa na wakristo??

Hivi akili mnaziwekaga wapi nyie?
EDited copies zipo nyingi sana na walijaribu hata ku edit quran ila uzuri quran kila muislamu duniani kote anaijua word to word na ndio muongozo sahihi wa waislamu duniani kote
 
Kama ukafiri unamfanya asiwe pedophile and a child abuser, bac aendelee tu kuwa kafiri, kuliko kufuata mafundisho ya pedophile mudy aliyekuwa akitamani watoto kwa tamaa zake binafsi na kusingizia kwamba ni maagizo 'allah' the imaginary god.

STUPIDITY🚮
Endelea kujifurahisha maana kwa mtu yoyote mwenye akili timamu anaona kitabu kipi kina ukweli na kipi cha uongo kwa kuangalia hata mfumo wa maisha tu wa watu husika
HAo waliokuletea ukristo walienda qatar kwenye kombe la dunia wengi waliishia kuwa waislamu na kuachana na story za abunwasi ambazo zimewafanya wawe walevi, wazinzi na mashoga
Leo hata makanisani huko ulaya watu hawaaendi na wengi wameingia uislamu
Na papa kama kiongozi wa wakatoliki ameruhusu mashoga kuwa mapadri ndugu yangu hapo kuna dini kweli?
 
Najaribu kumuangalia binti yangu wa 8yrs, nawaza mwakani ningekua naozesha, aiseee, hii ni dhambi kubwa sana..
Bila kusahau muangalie kijana wako wa kiume halafu siku moja akuletee mchumba wake wa jinsia moja akwambie anaolewa
 
Back
Top Bottom