ukitaka ule maisha kwenye ualimu uwe na mishe zako pembeni ,miliki mjengo mzuri wa wastani halafu tembelea premio yenye mziki mkubwaaa,yani ukiwa unaenda kazini wanafunzi wakikuona wanafurahiaaaWalimu Wana mishahara mikubwa sana,...basi tu kujiendekeza.!
Watanzania wajinga ndo wajuaji,toka Kikwete aingie hadi Samia mishahara hulipwa kati ya 20 na 24.Hii tu inaonyesha hujafanya kzi serikalin serkali imelipa zaidi ya miezi 10 mshahara tarehe 21 na kuna miezi iliwah kulipwa mpaka tarehe 20..
Siku hizi mshahara ukichelewa sana ni tarehe 22 nafikiri wewe unasimuliwa kuhusu serkali ila hujawahi kufanya kazi huko
Punguza makasiliko πππππSijui tuliwakosea nini mbwa nyieπ
Yaani ikizidi sana huwa ni tarehe 23 sasa Tatzo mtu anasikiliza story za vijiweni anakuja kuleta kwa watu...Watanzania wajinga ndo wajuaji,toka Kikwete aingie hadi Samia mishahara hulipwa kati ya 20 na 24.
πtulia weweePunguza makasiliko πππππ
mwaka wa 22?Yaani ikizidi sana huwa ni tarehe 23 sasa Tatzo mtu anasikiliza story za vijiweni anakuja kuleta kwa watu...
Mimi nina mwaka wa 22 serikalimi na Kiukweli kwa awamu hii ni bora kuliko zilizopita
HKuna faida yoyote serkalini mkuu bora wafanya biashara...mwaka wa 22?
hakika ww umefaidi sana
Mwalimu wa field napata wasiwasi kwa nayosikia ujue...π€π€πtulia wewee
Utajiju,kumbuka maisha ni yakoMwalimu wa field napata wasiwasi kwa nayosikia ujue...π€π€
Mshahara haujawahi tosha mzee,wote mshahara haukuwepo labda jumatatu ya tar 23 utatoka,Wanatunga tu then Kama unavyojua watanzania hawana Elimu ya PESA ebu Mwambie awafatilie hata wanajeshi au polisi au madokta wote hao mshahara ukichelewa wanakuaga hoi sana.
Najuta aiseeeUtajiju,kumbuka maisha ni yako
Fanya mambo mengine,japo ni wengi wametoboa kupitia kada hiihiiNajuta aiseee
Sawa mliotoboa ety ππππππFanya mambo mengine,japo ni wengi wametoboa kupitia kada hiihii
ila biashara si zipo ambazo uliwekeza.HKuna faida yoyote serkalini mkuu bora wafanya biashara...
Kuna watu ambao walianza biashara miaka ya 2010s ila wana maendeleo makubwa sana
Chache sana ila ningekuwa sijafunga Ndoa na serikali ningewekeza nyingi Pamoja na nguvu Na Mudaila biashara si zipo ambazo uliwekeza.
YEES BUT SIO KWAMBA UMEPOTEZA EVERYTHING.......................nDIO MAANA KUKAWEPO DIVISION OF LABOURChache sana ila ningekuwa sijafunga Ndoa na serikali ningewekeza nyingi Pamoja na nguvu Na Muda