Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Hapa ndipo huwa tunatolewa mapema kwenye mashindano ya nje.
Hii list uliipataje? Ukaacha warembo wazuri kama
1. Tayana-wog
2. Joanah
3. @L
4.@A.
Hapo yupo mmoja tu Demi
Bench la ufundi msimuingilie kocha kwenye usajili au kuita wachezaji
Kuna mtu atakuja kukwambia hakuna pisi kali inayobet
Nwei...hata mie mleta mada kanishangaza kidogo yaani imewezekana vipi kwenye top ten yake nimekosekana 🤣🤣🤣