Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajua hujui😂😂😂Kwa hiyo wabongo wanafiki?
Kuja Dr mamiss wangu Mafurushi nimemaind kichizi
Kirahisi tu mtu wa Matejoo na Unga Ltd? Aisee ngumu lbd kama sijakulia Chugastan!Kwanini uwe na I'd ya kike, unaenjoy kutongozwa? Utakuja kushikwa nyoro, mtoto wa kiume.
CHANGE or PERISH.
🤣🤣🤣 Mbona kibaliTatizo nyota mkuu...
Walokole tunaita kibali...
Utajua hujui😂😂😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Afu wewe...Hahahaa
Magauni yale ya 3 qouter au ya umini? [emoji23][emoji23]
Wanaume wa sasa tunauishi wimbo wa lady jdee wanaume kama mabinti, tumewapa parokia sana hawa wenzetu na kuwapa umuhimu,ipo siku tutalia tena sio mbali.
Ukiwa na kibali Kutoka kwa Mungu, unakubalika tu, hutumii nguvu nyingii...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mbona kibali
Suleiman ndo maana alifika mahali akasema yote ni ubatili
Got you mama mtumishi,, barikiwa sana 🥳💐Kwa hiyo mashindano ya u-miss ni kuwapa Watu umuhimu Mkuu
Watetea haki za wanawake hua ni wanaume. Wanaume hufanya hivyo wakifikiris kwamba wanaweza kupewa tamu kiurahisi. Ila kiuhalisia wanaume wasio na shobo kwa wanawake ndio huongoza kwa kura uroda bila kutumia nguvu yoyote🚶🚶🚶
Hivi mleta uzi Heriel unamwita mama mtumishi au sijui kusoma😂Got you mama mtumishi,, barikiwa sana 🥳💐
Atakuwa alikosea mkuuHivi mleta uzi Heriel unamwita mama mtumishi au sijui kusoma[emoji23]
1. Namuelewa sana,
2. Yupo vizuri kwenye uandishi,
3. Ana mawazo mazuri pia,
4. Bado hajaolewa (mtoto wa mama),
5. Atakuwa ni mrembo pia (bila shaka),
6. Huwa natamani kumwambia kuwa Nampenda,
7. She deserve kuwa miss kiukweli.
😀🤣🤣Asante kijana, wanaume wanajikomba sana...wakati wengine wanajipakulia tu
te
Mrembo Aaliyyah[emoji3][emoji1787][emoji1787]