Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona vijana wa hovyo 🤣 wamempigia kura za kutosha mkulungwa bi faiza....anakimbiza wachumba zangu wa zamani
Ni sahihi usemacho. Lakini kwenye kubalance mambo, napo Pana limits pia. You're not balancing it. You're ruining it.Huwezi kuwa muda wote unaakili. Utakufa.
Na huwezi kuwa muda wote umjinga utakufa.
Lazima ujue kuwa na kiasi katika mambo.
Ahsante kwa kujali
Asiposhinda Leejay49 niliyempigia Kura yangu ya Kutukuka nitaamini Wachawi hawajaisha duniani. Yaani GENTAMYCINE nikukubali halafu Wengine wasikukubali?Kwema Wakuu!
Zikiwa zimebaki siku tano mwaka 2023 ukatike. Bila kujali kuwa humuwengi hatujuani na hatuna mpango wa kujuana. Lakini kuna ile kitu inaitwa Schema Yaani kujenga taswira ya kitu, jambo au mtu kabla hujamuona/hujamuona mtu huyo.
Je kwa Schema yako, unafikiri ni memba gani humu ingetokea tuzo ya u-miss JF angeshinda kwa mwaka 2023?
Wagombea ni kama ifuatavyo
1@Kalpana
2 To yeye
3. amu
4. Nifah
5. Leejay49
6. Lovebird
7. Donatila
8. FaizaFoxy
9. Mrs Besyige
10. Depal
11. Demi
Miss JF 2023. Ameng'arisha
Kumbe we sio team portable 😀Mwili huuu huu au tuongelee wenye English figure Akina Ms eyes
Majukumu tuu.Upo kijana adimu sana sikuhiz huonekani
Ngoja nitapita naked utoe commentKumbe we sio team portable 😀
Sijambo shogaanguDada mpishi hujambo
Ni sahihi usemacho. Lakini kwenye kubalance mambo, napo Pana limits pia. You're not balancing it. You're ruining it.
Wee usiniambie ukapiga kisinia chako safi 🤣🤣🤣Sijambo shogaangu
Jana nilikuwa shishifood wa nyumbani 😆😆😆😆
Niko good alhamdulillahMajukumu tuu.
Uko poa lakini?
Asiposhinda Leejay49 niliyempigia Kura yangu ya Kutukuka nitaamini Wachawi hawajaisha duniani. Yaani GENTAMYCINE nikukubali halafu Wengine wasikukubali?
Ninachompendea huyu Dada hana Majungu, siyo Mnafiki, ni Mwerevu na Kubwa zaidi ni Mrembo na very Photogenic indeed.
Kila la kheri Kwake na namwombea kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) ashinde Yeye na atashinda tu Inshaallah / Amen.
Mimi ndyo nilikuwa mpishi wa nyumbani ungenikuta na masufuria yalivyonizunguka 🤣Wee usiniambie ukapiga kisinia chako safi 🤣🤣🤣
Nyanga kama hizi zilifanyika way back hapa JF, tulikuwa tunasponsor, kuna promoters, wapiga debe na mwisho mshindi anakula kitita...
🤣🤣🤣🤣Aisee sipat picha ulivokuwa unahema juu juu kwaajili ya motoMimi ndyo nilikuwa mpishi wa nyumbani ungenikuta na masufuria yalivyonizunguka 🤣
Acha halafu wageni wanasubiri chakula🤣🤣🤣🤣Aisee sipat picha ulivokuwa unahema juu juu kwaajili ya moto
Heshimu Kura yangu na Mtazamo wangu tafadhali sawa? Acha kunitajia Mess zingine.Thubutu!
Labda Faiza ajiengue
Heshimu Kura yangu na Mtazamo wangu tafadhali sawa? Acha kunitajia Mess zingine.