Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wa jamiiforums wengi ni wagumu hamna pisi kali wala miss hapo.
Ni ngumu kukuta pisi kali kwanza inaijua jamiiforums.
Research yangu ni kutokan na wanawake wengi pisi kali ukiwatajia jamiiforums kwanza wanashangaa
Tunaakisi tu uzuri wa mtu hapa kwa jina na dp za uongo ambazo 99.9999% si zao asilia..
Ukitaka kuakisi uzuri wa wanawake wa jamiiforums jenga picha ya wale wadada waliokuwa mashule shule.. maviongozi...huko tunapoishi nao
Ukiwa timamu Kichwani utampigia tu Mwanamke aliyejaaliwa vingi na Baba Muumba Leejay49Wanawake wa jamiiforums wengi ni wagumu hamna pisi kali wala miss hapo.
Ni ngumu kukuta pisi kali kwanza inaijua jamiiforums.
Research yangu ni kutokan na wanawake wengi pisi kali ukiwatajia jamiiforums kwanza wanashangaa
Tunaakisi tu uzuri wa mtu hapa kwa jina na dp za uongo ambazo 99.9999% si zao asilia..
Ukitaka kuakisi uzuri wa wanawake wa jamiiforums jenga picha ya wale wadada waliokuwa mashule shule.. maviongozi...huko tunapoishi nao
Kumbe mnafahamiana kiasi hikoKubwa zaidi ni Mrembo na very Photogenic indeed.
Mpeni Kura zenu Pretty, Photogenic and very Intelligent Lady Leejay49Sawa kaka. Nimekuelewa
Mkuu tushirikishe formula ya kujua huyu wa kike na huyu siyo wa kike... mi nilichoona humu,baadhi ya wadau wana-bet kujua kua huyu wa kike na huyu wa kiume... kutokana na comments,mtu kama BUCHWA KOMWE sidhani kama ujajua jinsia yake.Hapa ukiwa na uhusika wa kike utajulikana kama Mwanamke na ukiwa na uhusika wa kiume utajulikana kama mwanaume.
Aisee umenifanya nicheke.Aunt Faiza 🥳
Hao wengine sina uhakika kama ni wadada..
Ukiona GENTAMYCINE namkubali Mtu jua Kwanza ana Akili, Pili ni Mrembo hasa halafu na Tatu siyo Mnafiki na Jamvi la Wageni.Kumbe mnafahamiana kiasi hiko
Mpeni Leejay49 tu halmtojutia Kura zenu.Hahahaha... imagination on clerk
jambo likishaanza kuingia bahati ina maana ni nadra kupatikana..Hujabahatika tuu mkuu. Ingawaje usemalo nalo lipo
Ila kwa leeyay49 ni mshikaji sana, nitampa japo simjui...Mpeni Leejay49 tu halmtojutia Kura zenu.
Na mm nimeshangaa sana kumuona huyo bibi kwenye orodha hiiFaizafoxy mtoe hapo ni kibibi.