Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitii neno....Umajiita wa kike sijapenda, nyie na mpendwa ephen_ mna kizunguźungu
Ole wako😂Sitii neno....
Hadi wa kwangu awekweTuwapigie kura warembo hapo juu
Wa kwako unamuona peke yako, sisi hatumuoni..Hadi wa kwangu awekwe
Na sitaki wamuone wachawi wa humu wakiongozwa na Robert Heriel MtibeliWa kwako unamuona peke yako, sisi hatumuoni..
Atashinda tu kwa uwezo wa AllahHawezi kushindana na damu changa
Hapo mi naona ashinde mamaa ya Hamas FaizaFoxy[/USER
[/QUOTE]
Allah hana nguvu ya kumshindia tutaonaAtashinda tu kwa uwezo wa Allah
AshaingiaKuna mtu anatafutwa aingie kwenye mtego😄
AiseeAllah hana nguvu ya kumshindia tutaona
Bonyeza Nina lake hapoMimi simjui mtu apo namjua faiza Sasa napigaje kura niambieni so nisipoteze kura yangu. Ni mwanamke smart kuliko wote hapo sijawahi kumquote Wala kujadili nae Ila namsoma Sana she knows things ..
Nashukuru Mungu tunamaliza mwaka salama.Ni kwema..vipi wewe kipenzi changu?