paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Tena utofauti wao ni mkubwa mno, Mmoja mlopokaji na mwingine uzee hekimaNot this time.. TL is not EL
Jr[emoji769]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena utofauti wao ni mkubwa mno, Mmoja mlopokaji na mwingine uzee hekimaNot this time.. TL is not EL
Jr[emoji769]
Ila hatatangazwaHaters mafisi wa lumumba watabisha....
TUNDU LISSU OUR PRESIDENT!!!
Kwa nn asitangazwe mkuu?Ila hatatangazwa
Hayo ni mabasi ya CCM; huoni rangi zake?Naona kuna mabasi kule pembeni sijui wamekusanywa kutoka wapi.
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
CCM hata kuhesabu mistari tu iko mingapi napo umeshindwaa!, Hivi hicho chama kililogwa na nani jamani??.Sasa hiyo mistari miwili ndo ya kuleta uzi kwa mbwembwe kama hizi?embu acha mambo yako bwashee.
Shangaa, haya ndio madhara ya kupanda bangi kwenye shamba la mahindiWatu kumi ndio haijapata kutokea .wanamdhamini mtu asiyekuwepo wala hata rudi
Kwasababu tume haiko huruKwa nn asitangazwe mkuu?
Sawa basi tufanye mistari kumi.sasa mistari kumi ndo ya kumpa ushindi Lissu kuwa Rais.hivi ufipa ni nani aliewaroga?CCM hata kuhesabu mistari tu iko mingapi napo umeshindwaa!, Hivi hicho chama kililogwa na nani jamani??.
Kila la kheri kwake, kikubwa chama kimpitishe ili tuone Jiwe atapiga pushups kwa staili gani kipindiki hiki
Nanilii inakaribia kudondoka chini toka tumboniSasa hiyo mistari miwili ndo ya kuleta uzi kwa mbwembwe kama hizi?embu acha mambo yako bwashee.
Wewe ni act ama cdm.hivi umesahau Zito alivyofukuzwa kama mbwa na hao jamaa?Nanilii inakaribia kudondoka chini toka tumboni
Wacha ipasuke tu hamna namna!Utapasua ile pacemaker
Hata hawo watukutuku walisema kwamba hawaondoki kwa mtutu WA bunduki lkni waliondoka na mwisho wao ulikimbia.Boss umesahau mlivyokuwa mnadeki barabara enzi za Edo, na kuzungusha mikono? Mlishaambiwa ccm haiondiki eti kwenye sanduku! Bora mkalime kuliko kupanga hiyo mistari
dah watu mna ndoto za mchanaLissu tayari ni President
hata lowasa alidekiwa na barabara sasa hivi yupo wapi ..Hali ndio kama mnavyoona ndugu zangu
View attachment 1502951View attachment 1502952
Sina cha kuongeza , wale mnaotaka nyama zaidi endeleeni kula mtori , nyama mtazikuta chini
Watu kumi ndio haijapata kutokea .wanamdhamini mtu asiyekuwepo wala hata rudi