Uchaguzi 2020 Misururu ya Wadhamini wa Tundu Lissu Tarime haijapata kutokea, huyu mtu ana nini lakini?

Uchaguzi 2020 Misururu ya Wadhamini wa Tundu Lissu Tarime haijapata kutokea, huyu mtu ana nini lakini?

"Wananchi wasipoona matarajio yao na mabadiliko ndani ya CCM ya Zamani wataondoka (CCM Mpya) na kuyatafuta pengine " - Mwalimu Julius Kambarage Nyerere



Naona maneno ya Baba wa Taifa yanatimia
 
"Wananchi wasipoona matarajio yao na mabadiliko ndani ya CCM ya Zamani wataondoka (CCM Mpya) na kuyatafuta pengine " - Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Kwa kifupi Mwalimu ktk ujumbe wake anazungumzia mambo muhimu manne ya Maendeleo ya Watu na Demokrasia, siyo Maendeleo ya Vitu.

 
Kila la kheri kwake, kikubwa chama kimpitishe ili tuone Jiwe atapiga pushups kwa staili gani kipindiki hiki

CDM wasifanye Kosa, watuletee Tundu ili tupime na tuchuje pumba na Mchele kati ya pombe na Lissu.

Lissu , huko uliko, hauna chakupoteza, maisha yetu sote mwisho ni miaka 100 au pungufu, tayari umekwisha onjeshwa kifo.. tunakuhitaji uje. Mungu na akuongoze maana kabla ya kukuumba alijua nini madhumuni yake kwako na Mapenzi yake yatime kama wewe utafanikiwa kuwaoongoza watanzania... Jina la Muumba wako, aliye kuponya na kukukwepesha na risasi liwe juu ya majina yote- Amen
 
Amkeni Amkeni Amkeni

Nikiwa km mfuasi wa taasisi yetu BAKWATA Jana nilipingwa Sana na kuzodolewa na Waislamu wenzangu wasiomfuata Mufti Wetu muadhama Sheikh Mkuu Zubeir Bin Ally.

Hawakuwa pekee Yao,waliandamana na wafuasi wa CHADEMA na ACT KUUSAMBAZA ULE WARAKA ULIOITWA WA BARAZA KUU NA SHURA YA MAIMAMU.....

Ukweli umedhihiri.

Kiongozi wa hilo BARAZA,shaykh Kundecha amejitokeza HADHARANI....

ANASEMAJE?

Ameupinga huo WARAKA unaosambaa....
Amesema HAWAJAUTOA wao....na wao Wala hawawaelekezi Waislamu katika hayo YALIYOANDIKWA humo ndani.

Uongo umejitenga,kina Mohamed Said waelewe hili...
Kina Erythrocyte na Kalamu waelewe hili.....

BAKWATA ndiyo taasisi pekee inayowasemea waislamu hapa nchini.

Mwenyezi Mungu ambariki Sheikh Mkuu wa BAKWATA,aaaamin.

Mwenyezi Mungu ambariki Rais Magufuli, aaaamin.

Mwenyezi Mungu ambariki Dr.Hussein Mwinyi,aaaamin.
 
Boss umesahau mlivyokuwa mnadeki barabara enzi za Edo, na kuzungusha mikono? Mlishaambiwa ccm haiondiki eti kwenye sanduku! Bora mkalime kuliko kupanga hiyo mistari
Hata hawo watukutuku walisema kwamba hawaondoki kwa mtutu WA bunduki lkni waliondoka na mwisho wao ulikimbia.

Mungu aliumba mwanzo na mwisho na ccm itaondoka kwanjia wasioitarajia.
 
Back
Top Bottom