Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania

Mitandao ya simu ipige faida ya internet kwa mara ya mwisho. Elon Musk kuleta internet ya Starlink Tanzania

Screenshot_20230208-184713_WhatsApp.jpg

Huyo nape anatupanga tu..
Wailete bando liwe 200
 
Coudrey ambaye alimshauri Elon kuileta Starlink Afrika Mashariki hususani Tanzania ili Watu wawe na internet ya uhakika ya kuwawezesha kupata taarifa na kuwa na kesho iliyo bora ambapo Elon alinukuliwa akijibu “Tunasubiri kibali kutoka Tanzania”

Kwa upande wa Serikali ya Tanzania kupitia kwa Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Nape Nnauye ambaye Watanzania wengi walimtag kwenye tweet hizo ili kupata kauli yake alinukuliwa akisema “Walishajibiwa siku nyingi wana documents wanatakiwa kukamilisha ili mchakato uendelee, hawajakamilisha documents”



Happy ndipo ninapo anzia kuichukia ccm
 
Wanaoitaka starlink ije wengi wao hawana uwezo wa kuihudumia. Hiyo ni nzuri kwa watu ambao wako remote areas, hapa mjini hata vodacom kwa 120,000 unapata unlimited 30Mbps
Hii package naipataje mkuu?
 
Ulishawahi kusoma Reviews za hizi App mbili?

Unajua kiasi cha reviews zake?

Unataka kusema wote walio rate kwa 5 star ni vichaa

Acha Siasa za kizamani
Elezea PSIPHON baada ya bando kuisha inaunganishaje? mbona Mimi bando likiisha inakataa kuunga na ukiconnect PSIPHON bando linatembea sio kawaida mda mfupi tu linakata na likikata inagoma kuconnect, toa maelezo ya kina
 
Elezea PSIPHON baada ya bando kuisha inaunganishaje? mbona Mimi bando likiisha inakataa kuunga na ukiconnect PSIPHON bando linatembea sio kawaida mda mfupi tu linakata na likikata inagoma kuconnect, toa maelezo ya kina
Hujajibu nilichokuuliza.
Pitia comments za App zote mbili - Kisha jijibu imewezekanaje
 
1. hao watu yabidi waishi sehemu moja ku share modem

2. waki share internet, surfing speed itagawanywa, kama wapo 10 na wako kwenye data plan ya 50Mbps jua kwamba kila mmoja atadaka 5Mbs kama waki surf kwa mda mmoja, sasa umeruka nini umekanyaga nini
Ikiwa hivyo na ni unlimited huoni bado ni faida? Unlimited gani hapa bongo unaweza kupata kwa 20 elfu?
 
Hawa wezi wanaoibia watanzania(Tigo, halotel, voda, airtel) wakishirikiana na mamlaka hawataki kuskia hii inanzishwa Tanzania.
 
Back
Top Bottom