Aungwe mkono Mizengo Kayanza Pinda kwenye hoja hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una swali la ajabu sana. Ulitaka atoe wakati gani? Kila mtu yuko huru kutoa maoni yake wakati ambao anaona inafaa.Tume huru ya uchaguzi ni hitaji la muda mrefu kabla hata Magufuli na Samia hawajawa viongozi wakuu hoja yangu ni kwanini kauli hiyo aitoe sasa? Mbona hakuitoa alipokuwa PM au alipokuwa Swahiba wa Magufuli? Huo ndio unafiki ninaouzungumzia.
Tume huru ya uchaguzi ni hitaji la muda mrefu kabla hata Magufuli na Samia hawajawa viongozi wakuu hoja yangu ni kwanini kauli hiyo aitoe sasa? Mbona hakuitoa alipokuwa PM au alipokuwa Swahiba wa Magufuli? Huo ndio unafiki ninaouzungumzia.
Tatizo kubwa ni elimu,, kuna watu ambao ni very Uneducated,, yaani advantage yao ni kujua kutype too,, lakini reasoning yao ni absolutely NIL[emoji23][emoji23]Kwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
Najiuliza leo hii tumeshashuhudia Mahakama kutokuwa huru, Bunge ndiyo kabisaa, sasa hii Tume ya uchaguzi itatoa wapi kuwa huru bila Katiba mpya?Binafsi napenda tupate katiba mpya ila inahitaji mchakato mrefu, tuanze na jambo muhimu ambalo utekelezaji wa kuwa na Tume huru, na iwe huru kweli kweli, muswada wa marekebisho ya katiba unaweza andaliwa na kupelekwa bungeni NOW!
Katiba ni long process, na inahitaji bunge liipitie kifungu kwa kifungu, kwani si kwamba hiyo katiba itapitishwa kwa kila mtu aidhinishe,, NO,, Wawakilishi wa wananchi ambao ndo wabunge lazima waipitie katiba fungu moja baada ya jingine,Watu wanaelewa, hii ni danganya toto, badala ya kuongelea katiba uanze kuwashughulisha watu na tume ili waache katiba wakati tume itapatikana ndani ya katiba,
Farao alipoanza kushindwa alitoa ruhusa nusu nusu ila baadae alilazomika kutoa full freedom kwa kuwa Musa alikataa hizo nusu nusu.
Lakini anakwambia kweli, wewe fuso kwa msimamo huo mkiendelea nao, nakuhakikishia utatimiza miaka 90 bado umo JF ukidai katiba mpya,, hell of a waste of your time and energy..Mawazo yako ya kilongi sana mkuu, sijui hata kwenye maisha kama unafanikiwa kwa kutumia hii policy yako.
Acha blah blah nyingi. Tunataka katiba mpya ya nchi yetu.Misimamo iliyopitiliza kwenye dunia ya sasa ndiyo mambo ya "Kilongi" chief, siku hizi issues zinaisha kwa mazungumzo na "compromises", Ni mwendo wa kula na kuliwa, wewe ukitaka kula tu basi dunia ya sasa inakutema! Mambo ya akina Fidel castro, Che Guavara, Mugabe hayana nafasi kwenye ulimwengu wa sasa
Yaani ni GIVE and TAKE..Misimamo iliyopitiliza kwenye dunia ya sasa ndiyo mambo ya "Kilongi" chief, siku hizi issues zinaisha kwa mazungumzo na "compromises", Ni mwendo wa kula na kuliwa, wewe ukitaka kula tu basi dunia ya sasa inakutema! Mambo ya akina Fidel castro, Che Guavara, Mugabe hayana nafasi kwenye ulimwengu wa sasa
Tuwe na Imani naye ChiefHiz changamoto kwa akili yako ztakwisha lin????ile ni hadaa tu na si vinginevyo
Mkuu vurumai la mchakato wa katiba unalijua, huwezi kufananisha na kwenda kununua ndegeKama ulikuwepo unasemaje hiyo katiba ilishindikana kwa sababu yetu?
Mbona tumenunua ndege kipindi cha Corona, wakati ndege ni bei ghali kuliko katiba mpya? Au hiyo dunia hautushangai tukinunua ndege kipindi hiki cha Corona?
Jpm hakuipa priority, hiyo haindoi ukweli kuwa rasimu bado ipo na imebakiza kupigiwa kura ya maoni,CCM si mliendelea na Bunge la Katiba mpya na mkapigisha kura Hadi watu waliokuwa mahututi huko India Ili column ienee!
Na tukabiwa Katiba pendekezwa imepitishwa na kilichobaki ni kupeleka Kwa wananchi ikapigiwe kura!!!
Sasa swali:Kushupaza shingo kulizuia Nini CCM/Serikali kuipeleka Katiba pendekezwa Kwa wananchi ikapigiwe kura???
Acheni ujinga!
sasa hawa wapinzani umejuaje kama hawajatoboa?Kitambo sana Chief
Hawa lao ndio liwe, sasa watu wa namna hii ni hatari maana wanataka yao tuu.Kwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
Sawa, lakini swali,, unafanyia marekebisho katiba ukiwa wapi? Si lazima bunge liwepo kupitisha, au?Tukipata Tume HURU hata tunaweza kuifanyia marekebisho Katiba hihii hii halafu tukaingia kwenye Uchaguzi mkuu.
Huko mbele ndio tutaibadilisha Katiba.
Sure,, ishu hapa ni kupata wabunge wengi,, bila hivyo hakuna namna mtaweza pitisha katiba mnayoitaka,, hizi mambo hazihitaji nguvu, majority ndio KEY WORDLakini sisi Wapinzani tukishapata Tume HURU ya Uchaguzi tukaingiza Wabunge wengi baadae tutakuwa na ubavu wa kubadili Katiba.
Hangaya akisikia hivi anapatwa na mhaho, how can a muslim woman be so wicked?