Hapo kwenye kupata bikira kwa kizazi cha leo ni sawa tu na kusema vijana tusioe
 
Hamjambo wanajf,
Kijana una afya nzuri kabisa miaka ,uchumi na uwezo unaruhusu kabisa.
Embu tuambie kwanini hujaoa / kuolewa .

Embu jitetee ,labda pengine utatushawishi.

Usinifokee wewe ndio una shida
 
Hamjambo wanajf,
Kijana una afya nzuri kabisa miaka ,uchumi na uwezo unaruhusu kabisa.
Embu tuambie kwanini hujaoa / kuolewa .

Embu jitetee ,labda pengine utatushawishi.

Usinifokee wewe ndio una shida

Taasisi ya Ndoa iko beyond hivyo.

Unaweza ukawa na miaka 18, uchumi mbaya, na ukaoa /kuolewa

Unaweza ukawa na vyote ulivyotaja hapo juu na usioe/kuolewa.

Na hii inatokana na historia yako ya mahusiano, wanaume/wanawake uliokutana/unaokutana/ulio nao, bahat nzur/mbaya kwenye mahusiano, eneo na mazingira uliyopo,
Tabia zako/mwenza wako uliyekutana/uliyekuwa/uliye nae kwenye mahusiano.

All in all, mm nadhan haya yanachangia kwenye utayari wa mtu kuoa /kuolewa.

NB: username yako inasadiki..
 
Umenijibu kikatili sana
 
familia yenye unganiko wa ndoa ni jambo la muhimu kwa binadamu yoyote asiyeendekeza kimiminika kichwani

kataa ndoa wengi ni walevi wa visungura tafiti zinaeleza hilo
 
Kama ukiweza kumpagawisha mke wako kitandani ukamkuna kisawa sawa utakuwa na maisha rahisi chini ya jua. I swear lakini kama humridhishi mwanamke wako vizuri hatakuheshimu, hata kuheshimu hata kidogo. Kila siku atakuwa anatafuta sababu ya kugombana na wewe.

Mfanye akutetemekee akuone wewe ni wa thamani chini ya jua.
 
🚮🚮
 
Ko hii ndo mbinu pekee ya kumfanya mwanamke kukuheshimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…