Ahsante mkuu

Tukirudi kwenye hizi kampeni zinazoendelea

Hawa wapiga kampeni (na mimi mmoja wapo) wakimpata mwanamke sahihi kwao wanaoa hivyo zisiwatishe mlio kwenye ndoa

Maana bado inatumika kauli, "zakuambiwa changanya na zako".
Hakuna anayetishika, visa haviwezi kufanana kuna ambao wanaishi vizuri hawana tatizo
 
Utafiti usio rasmi.

Na hata ikiwa hivo , fahamu wao sio ww, na ww sio wao .

Asilimia 90% ya watanzania ni masikini

haimaanishi Mo Dewji, Rostam Aziz, Bakhresa, Diamond, Alikiba, Marioo, MillardAyo, na Laizer mmasai wa mgodini sio watanzania.

If possible be 10% remain.
 
Wewe ulikosea kuoa,hapo tatizo sio ndoa bali uliingia ndoa kwa mguu wa kushoto.
Ulichunguza asili yao.
Ulichunguza hali yake ya kiroho ipoje au ulitazama nje.
Unaweza ukaoa shetani akatutenda ukachukia wanawake wote.
Wapo wanawake wanaojua nini maana ya mume.
 
Kuna mkuu nimeenda nae sawa na nimemuelewa na yeye kanielewa ninachomaanisha

Ila fuatilia kwanza comment zote utanielewa

Binafsi huwa nimeanzisha tabia ya kutomjibu mtu mpaka nisome comment zote kisha ndo baadae namjibu

Tafuta na uzi wenye jina hili, "

Mke aliomba talaka tugawane Mali, nilichomfanyia hajawahi kurudia tena​


Huu wa mkuu DeepPond kuna vya kujifunza pia

Nyuzi zipo nyingi tu na zote zinaletwa na sisi wanaume tukiwalalamikia wanawake
 
Ndugu yangu ni kuvumilia mengi. Ndoa kudumu inabidi ujitoe muhanga ni kufa wewe au yeye. Kuna wakati kabisa unahisi kapigwa nje ila unakausha. Inauma ujue.
Dah kweLi mliooa ou walioolewa wanaptua changamoto sana
 
Dah kweLi mliooa ou walioolewa wanaptua changamoto sana
Sio wote mkuu, ukioa/kuolewa na mtu sahihi mtaishi vizuri, tatizo kuigiziana wakati wa uchumba afu baadae mkija kuingia kwenye ndoa kila mmoja anaanza kuonyesha tabia zake halisi na kujikuta mnatofautiana

Hapo ndipo ndoa inapokuwa ndoana

Kuna mdau kwenye ule uzi wa "Mada maalumu kwa wanandoa" wa Mshana Jr alisema, "UNAPOOA KAA UKIJUA UNAMMILIKI MTU MWENYE AKILI ZAKE TIMAMU"
 
Mimi nillioa nikaachaa kwa TALAKA, Bado nasisitiza, KATAA NDOA, NDOA NI UTUMWA, NDOA NI KWA AJILI YA KUMFAIDISHA MWANAMKE, NDOA NI KWA AJILI YA KUMKANDAMIZA MWANAUME,

KATAA NDOA


KATAA NDOA


KATAA NDOA

Liverpool VPN njoo huku
Sasa hayo si mambo yako binafsi? Yaani kuchapiwa kwako na kuachwa na mkeo ndio utuhusishe na sisi? Eti nimuache mama manka wangu kisa mpuuzi mmoja anaendesha kampeni mtandaoni kwa fake I'd kisa kaachwa na mkewe?
 
Ila kiukweli wake za watu wanabutuliwa sana hapo nje, kuoa sio kubaya lakini sio guarantee life itakuwa nzuri, unaweza kutamani uwe single again, kwa statistics nchi ya Marekani zaidi ya nusu ya ndoa 60% zinaishia na divorce na wengine wengi wanaoendelea kukaa pamoja wanajikuta wapo kwenye sexless life for years, nilikuwa siamini kama inawezekana kukaa na mwanamke bila shughulilakini yaliwahi kunikuta nilikaa na mwanamke nyumba moja na hatukufanya mapenzi for almost 9 months, ilikuwa karibu tuuane huko ndani
 
Ebanaee,kila mtu aishi atakavyo,kupangiana namna ya kuishi sio poa,japo ni kwl ndoa za siku hiz ni lukumba lukumba mwendo wa ngamia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…