Usalama barabarani
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 867
- 1,066
Kila mmoja ashinde mechi zake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni free platform, huwezi piga ban mawazo ya mtu, kama hukubaliani nayo, jifunze programming languages kama html, java na cs kaanzishe platform nyingine.Kampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi Kwa kuwa hazina Nia njema ya kujenga jamii ,kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania,wewe unayeshawishi watu wasioa umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
Nami nimeongeza ka wosia kule juu yamkini,kuna kujaribu tena na kuona wapi ulikosea[emoji1787] ngumu haimaanishi haiwezikani .
Ilikuwaje mkuuIla kiukweli wake za watu wanabutuliwa sana hapo nje, kuoa sio kubaya lakini sio guarantee life itakuwa nzuri, unaweza kutamani uwe single again, kwa statistics nchi ya Marekani zaidi ya nusu ya ndoa 60% zinaishia na divorce na wengine wengi wanaoendelea kukaa pamoja wanajikuta wapo kwenye sexless life for years, nilikuwa siamini kama inawezekana kukaa na mwanamke bila shughulilakini yaliwahi kunikuta nilikaa na mwanamke nyumba moja na hatukufanya mapenzi for almost 9 months, ilikuwa karibu tuuane huko ndani
@moderatorsKampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi Kwa kuwa hazina Nia njema ya kujenga jamii ,kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania,wewe unayeshawishi watu wasioa umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
[emoji1787][emoji1787] aisee.Kama ulivooelewa
siku ukipevuka utakuja kufuta hii comment.If possible. Lakini kwann ukosee kuchagua ? Ww ni dhaifu kiasi Gani ukadanganywa
Bado una safari ndefu ya kuwafahamu wanawake, pambana.If possible. Lakini kwann ukosee kuchagua ? Ww ni dhaifu kiasi Gani ukadanganywa
Fact kabisa.Unawezaje kujua tabia ya mtu katika kipindi cha uchumba?
Uchumba ni zone ambayo watu huficha madhaifu yao (fake life) au tabia zao na ndio maana mahusiano ya kiuchumba yanaweza fika hata miaka 10 mkawa mnapendana bila kuhitilafiana
Maadili ndiyo nini?Kampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi Kwa kuwa hazina Nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania, wewe unayeshawishi watu wasioE umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
Kbsa mkuuSio wote mkuu, ukioa/kuolewa na mtu sahihi mtaishi vizuri, tatizo kuigiziana wakati wa uchumba afu baadae mkija kuingia kwenye ndoa kila mmoja anaanza kuonyesha tabia zake halisi na kujikuta mnatofautiana
Hapo ndipo ndoa inapokuwa ndoana
Kuna mdau kwenye ule uzi wa "Mada maalumu kwa wanandoa" wa Mshana Jr alisema, "UNAPOOA KAA UKIJUA UNAMMILIKI MTU MWENYE AKILI ZAKE TIMAMU"
Na wewe sio Mimi na Mimi sio wewe so Baki ulivyo na mimi nibaki nilivyoUtafiti usio rasmi.
Na hata ikiwa hivo , fahamu wao sio ww, na ww sio wao .
Asilimia 90% ya watanzania ni masikini
haimaanishi Mo Dewji, Rostam Aziz, Bakhresa, Diamond, Alikiba, Marioo, MillardAyo, na Laizer mmasai wa mgodini sio watanzania.
If possible be 10% remain.
Yaani huwa nashangaa mno kama hutaki kuoa unataka nini!? Kuolewa;?[emoji848][emoji2827]Kampeni zinazohamasisha watu kukataa ndoa zisipewe nafasi Kwa kuwa hazina Nia njema ya kujenga jamii, kinyume chake zinaharibu maadili yetu kama watanzania, wewe unayeshawishi watu wasioE umelelewa kwenye ndoa halafu unapotosha wengine wasioe .
Ndo usije kutupigia kelele waoaji. Pita kama umesimama.Na wewe sio Mimi na Mimi sio wewe so Baki ulivyo na mimi nibaki nilivyo