MJADALA: Kwanini pale alipo mtu mweusi hali ya uchumi huwa ni tete? Nini chanzo cha umasikini?

MJADALA: Kwanini pale alipo mtu mweusi hali ya uchumi huwa ni tete? Nini chanzo cha umasikini?

Perception Perception....., Narudia tena kulinganisha Muafrika kijijini kwake na huyo Mmarekani...

Unaongelea huduma za afya Bora UK marekani hauna Bima (which is not affordable to many unafia Mapokezi) Muafrika kabla wanyanganyi hawajamuingilia na kumyonya na kumfanya mtumwa na kumtawala mpaka leo alikuwa na dawa zake Afya kwake haikuwa reactive bali preventive...

Maji (upatikanaji wa Mito maji yalikuwepo tena yametengwa ya mifugo, kunywa, kufulia na kuongea...

Miundombinu watu waliweza kufika from Point A kwenye uzalishaji mpaka point B, sasa huko na hio miundombinu watu bado wanatumia miaka kadhaa katika maisha yao wakiwa stuck in traffic...

Elimu (Naam elimu ya kupambana na mazingira yao walifundishwa) ugunduzi wa chuma, utengeneazaji wa vyungu n.k. mabaki mengi yanapatikana katika African Countries / Communities..., Ukiangalia hata hilo Taifa la Marekani la sasa ni taifa la wanyanganyi waliokwenda huko na kuwanyanganya red indians ambao na wao walikuwa na community zao na mpango wao kimaisha wa kujipatia basic needs zao.....

Na msemo waliotuachia duniani nadhani leo una-ring true more than yesterday.....

When the last tree has been cut down, the last fish caught, the last river poisoned, only then will we realise that one cannot eat money,”
Acha ujinga weww
 
Ndugu zangu hili ni suala tunaweza kulipatia ufumbuzi tukilijadili kwa kuangalia hali halisi ya nchi yetu na za Africa kwa ujumla.

Juzi Tanzania one alisema sisi bei yetu ni poa sana ukilinganisha na ndugu zetu wamarekani. Sidhani kama alikuwa sahihi na hakupatikana mwandishi wa kumwuliza nini hasa alimaanisha je ni ile bei ya pump pale sheli au alimaanisha tozo zilizopo katika mafuta?

Ila kikubwa hapa kwa nini nchi za Afrika haziendelei nini tatizo rasilimali zipo, watu wapo na serikali sikivu zipo lakini hali si nzuri sasa hivi vita ipo Ukraine, Ethiopia, Somalia, madagascar hali si shwari.

Wapi Serikali au nchi zetu zinakosea?

Tafadharini tusaidiane kimawazo, Makamba akipita hapa tuwe tumemwongezea kitu. Karibuni.
Uchoyo na ulafi, hata wewe ukipandishwa cheo neno lako la kwanza " nimeula", kazi huwa katika mengineo, kama ulikuwa na desturi ya kuwahi kazini sasa inakwisha, boss! Kinachofuatia ni namna ya kutengeneza michongo ya kumuibia mwajiri wako na kumpa CAG kazi ya ziada.
 
Mtu Mweusi ?!!!

Unamjua Mansa Kankan Mussa ??

Ukishamjua huyo na kumfuatilia rudi tena tuendelee na mjadala....

Umasikini mwingi ni Man Made na unatokana na Marginalization na unyonyaji fulani na ukiunganisha na mentality ya watu / mtu...,

Huwezi kuniambia mmasai ni masikini wakati ana chakula chake, natural AC na anayamudu mazingira alafu eti jamaa anayeishi huko New York kwenye one bedroom flat na maisha yake yote yupo kwenye cubicle 24/7 anatafuta senti ya kuweka kumuweka kwenye one bedroom flat yake ambayo hakai sana sababu muda mwingi anatumia kwenye traffic..., eti huyu ni tajiri in comparison na huyu mwingine....

It's just your perception....
Umeongea jambo la msingi sana ,....but umasikini una jumuisha vitu vingi, mfano makazi bora, nyumba bora, huduma za afya.elimu. n.k... lishe bora. je, huyo mmasai hivi vitu vyote anavyo kwa ubora unaotakiwa?
 
Hapo nakupinga Afrika ni kubwa na maendeleo yanatofautiana, kuna nchi za Afrika ambazo ni middle income, mfano Botswana inazidi nchi nyingi tu Asia hata Namibia wanajitahidi pia, hivyo labda uongelee Tanzania yetu ingawaje ni kweli nchi za Afrika ni masikini lkn Kidunia ni nchi chache sana tajiri.
Hata Afrika Kusini wako vizuri kiuchumi
 
Ndugu zangu hili ni suala tunaweza kulipatia ufumbuzi tukilijadili kwa kuangalia hali halisi ya nchi yetu na za Africa kwa ujumla.

Juzi Tanzania one alisema sisi bei yetu ni poa sana ukilinganisha na ndugu zetu wamarekani. Sidhani kama alikuwa sahihi na hakupatikana mwandishi wa kumwuliza nini hasa alimaanisha je ni ile bei ya pump pale sheli au alimaanisha tozo zilizopo katika mafuta?

Ila kikubwa hapa kwa nini nchi za Afrika haziendelei nini tatizo rasilimali zipo, watu wapo na serikali sikivu zipo lakini hali si nzuri sasa hivi vita ipo Ukraine, Ethiopia, Somalia, madagascar hali si shwari.

Wapi Serikali au nchi zetu zinakosea?

Tafadharini tusaidiane kimawazo, Makamba akipita hapa tuwe tumemwongezea kitu. Karibuni.
Nadhani ni ubinafsi uliobeba ujinga.... Hatuamini katika mfumo kumuongoza kiongozi kwakua kwetu kiongozi ni mungu hakosei wala hakosolewi.
 
Mtazamo wangu, sisi watu weusi tatizo letu la kwanza ni Rushwa/Uroho/ulafi
 
Mtu Mweusi ?!!!

Unamjua Mansa Kankan Mussa ??

Ukishamjua huyo na kumfuatilia rudi tena tuendelee na mjadala....

Umasikini mwingi ni Man Made na unatokana na Marginalization na unyonyaji fulani na ukiunganisha na mentality ya watu / mtu...,

Huwezi kuniambia mmasai ni masikini wakati ana chakula chake, natural AC na anayamudu mazingira alafu eti jamaa anayeishi huko New York kwenye one bedroom flat na maisha yake yote yupo kwenye cubicle 24/7 anatafuta senti ya kuweka kumuweka kwenye one bedroom flat yake ambayo hakai sana sababu muda mwingi anatumia kwenye traffic..., eti huyu ni tajiri in comparison na huyu mwingine....

It's just your perception....

Umeongea kwa level ya Individual, hebu tupe picha ya nchi mfano Kwanini Tanzania ni maskini licha ya utajiri wa rasilimali tulizonazo, kwanini Congo ni maskini licha ya utajiri wa rasilimali walionao?, huko Sierra leone, na nyingine nyingi za Kiafrika.

Hata nchi zisizokuwa Africa lakini wananchi wake ni watu weusi mfano huko Brazili n.k kwanini ni full umaskini ilihali rasilimali zipo tele?
 
Kama West's wataendelea kuongoza dunia basi jua Africa kupiga hatua haitawezekana!
Maana adui mkubwa wetu ni RUSHWA na Wala RUSHWA kubwa kubwa wanaficha hela zao ulaya na america na hawasemi kitu mpaka mshtukie!
Na RUSHWA ndio silaha kubwa waliyonayo ulaya na america katika kutuangamiza!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Black man's reasoning capacity ipo chini kulinganisha na binadamu wengine. Sisi weusi na viongozi wetu tunaona mita moja mbele, wengine wanaona maili moja mbele.
 
Mleta mada umeleta mada nzuri sana,nakupongeza kwa ilo.
Hii mada ilipaswa itengenezewe jukwaa kubwa kabisa ili wataalamu wa mambo wajadili kwa kina kabisa (mjadala wa kitaifa)lakini kitu cha ajabu ni kwamba vituo vyetu vya habari huwa havina mada fikirishi Kama hizi,wasomi wetu hawana muda wa kujadili mada km hizi tena live ili kupata mawazo ya namna gani tunatoka hapa tulipo.
Ifike wakati tupate majibu ya ni kwanini sisi tuko ivi tulivyo shida chungumzima watu wakosa Chakula,maradhi yamekuwa kero kwa jamii.
Africa lemekua bara la kusubiri rehema za wazungu (misaada)ambayo ni mateso kwa wananchi kwani mikopo au wenyewe wanasema misaada ndio inaleta mzigo mkubwa kwa wananchi ndio maana makodi kila Kona ili serikali zipate mapato ya kwenda kulipa ayo madeni,hali hi mpaka lini tutakua watu maskini mpaka lini?
Tunahitaji mijadala km hii iwe live watu watoe mawazo Yao namna ya kuondoka na hali hii ya kuwa ombaomba (masikini)
 
Umeongea jambo la msingi sana ,....but umasikini una jumuisha vitu vingi, mfano makazi bora, nyumba bora, huduma za afya.elimu. n.k... lishe bora. je, huyo mmasai hivi vitu vyote anavyo kwa ubora unaotakiwa?
Bora kwa nani ? Kwa macho au kwa afya ?

Tuongelee makazi kidogo.., je ni afya kujifungia kwenye kuta nne bila hewa sijui dirisha la aluminium wakati ukilifungua unapata hewa half the space ?!!!

Au tuongelee kipindi kirefu watu walijiona wajanja kutumia eti bati za kisasa (Asbestos) ila kuja kugundua madhara yake kwa afya na watu walikuwa wanajifungia humo kutwa na kuchwa !!!, Don't get me wrong ubora na kuboresha ndio maisha ila sio kila kipya ni kizuri na cha zamani ni kibaya..., Mfano nyumba ya udongo ni environmental friendly na inakupa joto kwenye baridi na baridi kwenye joto kuliko nyumba ya cement...

Unaongelea lishe bora, Mmasai anakula fresh food na sio processed food ambayo imejaa makemikali na addictives za kufa mtu (junk food)..

Kwahio perception yetu ni kwamba the grass is greener kwa jirani ila kwa mtu ambaye ameishi maisha yote huku na kule atakwambia its not so...

Umasikini upo mijini, umasikini upo sasa na utaendelea kuwepo kutokana na gap in classes kuongezeka siku baada ya siku..., Umasikini unachangiwa na sio sababu kuna less for everyone (there is enough for everyone need ila sio for everyone greed)..., kwahio kutokuweza ku-manage mazingira yetu ndio kunaleta umasikini na sio sababu mtu mweusi hana akili (la hasha) sababu ni marginalization, as well as indoctrination ambayo tumeshajengewa ya kwamba nini kinafaa na nini hakifai hence kutukuza mkate zaidi ya muhogo..., cement zaidi ya udongo, bati la msausi zaidi ya msonge n.k. (wakati hivyo vyote vingeweza kuboreshwa kuendana na wakati na mazingira yetu)...,

Don't get me wrong siongelei kila cha jirani ni kibaya hivyo tusiige mazuri (bali naongelea pia kila kilicho chetu sio kwamba hakifai na kinahitaji kuboreshwa)
 
Popote penye mtu mweusi basi ni matatizo matupu...angalia kule Haiti hali ilivyo, nenda kusini mwa America alafu angalia maisha ya mtu mweusi.
Mpka leo sijajua hii rangi ina matatizo gani!
 
Watu weusi
Yaani Ngozi nyeusi bado haijastaarabika kufikia kiwango cha juu cha Ubinadamu halisi.

Ukienda kwa Wahindi weusi tatizo ni hilohilo.
Ukienda kwa Wafilipino weusi wako hivyo hivyo yaani katika hali duni.

Ukienda kwa Waarabu weusi ni hivyo hivyo.
Ukienda bala la Amerika hasa ya kusini kuna Wabrazili weusi wako hivyo hivyo.

Jamii ya Ngozi nyeusi bado haijastaarabika katika kiwango bora cha ubinadamu.

Wengi weusi wakiwa viongozi wanawaza kujilimbikizia mali na kufanya ufisadi tu.
Hata wasome vipi hamna kitu.
 
Back
Top Bottom