macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Nimekuambia kuwa tatizo lako unatumia hisia zaidi badala ya sheria. Sasa huoni huyo aliyeachiwa naye angefungwa kama alikuwa hajatenda ingekuwa siyo vizuri? Kuna kukata rufaa na kama vipi wanatakiwa wakate. Kimsingi mimi silalamiki kwa sababu siyo nakubali kuwa hakuua, bali sina ushahidi wa kuwa aliua na wala sijui kesi iliendaje, na ni ushahidi gani ulitolewa.Sawa mkuu! Ila Aneth Msuya angekuwa ni dada yako wa kuzaliwa leo BP yako ingekuwa 200 baada ya kupokea hii hukumu.
Let's assume wewe ni kaka wa Aneth Msuya, baada ya hii hukumu ya leo. Ungefanyaje?Nimekuambia kuwa tatizo lako unatumia hisia zaidi badala ya sheria. Sasa huoni huyo aliyeachiwa naye angefungwa kama alikuwa hajatenda ingekuwa siyo vizuri? Kuna kukata rufaa na kama vipi wanatakiwa wakate. Kimsingi mimi silalamiki kwa sababu siyo nakubali kuwa hakuua, bali sina ushahidi wa kuwa aliua na wala sijui kesi iliendaje, na ni ushahidi gani ulitolewa.
Anaenda kwenye mahakama za jadiLet's assume wewe ni kaka wa Aneth Msuya, baada ya hii hukumu ya leo. Ungefanyaje?
Hukumu iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu, ya mjane wa bilionea wa madini, Bilionea Msuya, Miriam Steven kusomwa leo.
Miriam pamoja na mshtakiwa mwenzake, Revocatus Everist Muyella, maarufu kama Ray, wanakabiriwa na shtaka la mauaji ya kukusudia, wanadaiwa kumuua kwa kumchinja, Aneth Elisaria, mdogo wa marehemu bilione Msuya.
Hukumu hiyo inatarajiwa kusomwa na Jaji Edwin Kakolako, ambayo ndiyo itaamua hatima yao kama wana hatia au lah. Kama watakutwa na hatia hukumu ni kunyongwa hadi kufa.
Watuhumiwa wamekuwa mahabusu kwa nane na leo ndio hatima yake, je, nini kitatokea leo Mambo yatakuwaje? Nini itakuwa hukumu ya kesi hii? Mke wa Msuya na mwenzake watakutwa na hatia au lah?
Mjane wa Bilionea Msuya alikuwa anatetewa na Wakili Peter Kibatala.
Mawakili wa serikali hamna kitu kabisa, kesi ilikua wazi kabisa ila wanashindwa kuwa serious. Sijui nini ambacho wanaweza hawa watu!! Na hata wangeshinda kesi wangeenda kubwagwa kwenye rufaa.Ila sheria hizi, bas tyuuh
HaswaaaAngeachiwa kitambo sana sema waliogopa macho ya watz,naona wamejitoa ufahamu kuziba masikio
Hiii ndo inatumika sana kwetu, watu wanapigwa tego anahaha nalo huko.Kuna Afisa mtendaji wa kata aliua mtu kijijini kwetu tena dogo wa miaka 10 alikuwa mchunga, sasa yule afisa kwakuwa shamba lake liliwahi kutiwa mifugo akawa na hasira na wachunga akawa akiwaona anawafukuza ili awashike wakawa wanamkimbia sasa siku ya siku ndipo akamshika huyo dogo akamgeuza kichwa chini miguu juu akawa anamtikisa baadae akamuacha ila wakati huo wenzie waliokimbia wakaja kusimulia kijijini kuwa fulani kashikwa baada ya muda dogo karudi hata kuongea hawezi wakamkimbiza hospital akafariki,,kesi ikaenda mahakamani afisa akashinda kwasababu hakukuwa na ushahidi wa kumtia hatiani...ndugu wakakaa pamoja wakaja kwenye mahakama ya jadi yule jamaa aliumwa sana akaja kuomba radhi kwasababu hospital hauonekani ugonjwa mpaka akaja kufariki kwa mateso sana
ππππMawakili wa serikali hamna kitu kabisa, kesi ilikua wazi kabisa ila wanashindwa kuwa serious. Sijui nini ambacho wanaweza hawa watu!! Na hata wangeshinda kesi wangeenda kubwagwa kwenye rufaa.
wataomba rufaaMawakili wa serikali hamna kitu kabisa, kesi ilikua wazi kabisa ila wanashindwa kuwa serious. Sijui nini ambacho wanaweza hawa watu!! Na hata wangeshinda kesi wangeenda kubwagwa kwenye rufaa.
Shida sio kakolaki.Ile kesi ilihitaji majaji mahiri kama akina Lugakingira, sio hawa UPE! Kakolaki hawezi ku handle kesi kama hiyo..... tuwekee hapa tuipite tuone reasoning ya Judge!
Kwa hyo kumbe leo mahakama zipo huru? Tofaut na mnavyo imba siku zoteMawakili wa serikali hamna kitu kabisa, kesi ilikua wazi kabisa ila wanashindwa kuwa serious. Sijui nini ambacho wanaweza hawa watu!! Na hata wangeshinda kesi wangeenda kubwagwa kwenye rufaa.
Hakuna watu wa hovyo kama polisi! Wanaharibu sana kesi za mauaji kwa tamaa zao! Ifike mahali wananchi wamalize hizi changamoto kienyeji! Sumbawanga/Katavi/Kigoma siyo mbali!Shida sio kakolaki.
Kakolaki ni mzoefu kwenye kesi za jinai kafanya miaka mingi tangia akiwa wakili aa serikali , kapitia pia tume ya kupambana na madawa ya kulevya, huko ndiko anakopajua.
Tatizo lipo kwenye upepelezi, haufanyiki vizuri, niliwahi kushauri hapa na pia tume ya haki iliyoundwa na kumpa ripoti Rais Samia ilikuja na maoni kama hayo kuwa iundwe taasisi maalum ya upelelezi wa makosa ya jinai.
Bila kufanya hivyo tutarudi hapa kulaumiana kila siku.