Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini


thanks Dr! no more noise about MOU!
 
Mali zipi wewe mkoloni mweusi? ebu tuonyeshe shule iliyojengwa kwa nguvu za wakristo serikali ikapora.

Fikiria shule yoyote iliyotaifishwa (au kuwahi kutaifishwa na baadae kurudishwa kwa kanisa -- mf. Forodhani Sec.) na Serikali, utapa jibu.
 
Dr slaa na urais ni mbingu na ardhi take my words

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
tofautisha ukoloni(serikali)na wamisionari..usitake kupotosha,lini wakoloni walijenga makanisa?
Wamisionari ndio waliotumwa kuja kuuanzisha ukoloni na kuliibia bara la Afrika.Dini ilitumika kama kigezo tu lakini lengo kubwa lilikuwa ni kutawala na kuiba rasilimali.
 

Mkuu Barubaru,

Hebe funguka kidogo kuwafahamisha pesa wanazopewa kanisa na serikali.
 
Last edited by a moderator:
thanks Dr! no more noise about MOU!

Dr.Slaa, Mungu akupe uhai na afya njema utukomboe Watanzania. Watawala wetu wamekaa kimya utadhani hawaijui MoU ni nini maana hawaoni wala hawasikii.
 
Mimi labda sijaelewa Slaa anatolea ufafanuzi kama msemaji wa kanisa au kiongozi wa chadema.Babu mbona unatuchanganya uko upande upi
unachotakiwa kujua ni kwamba, Slaa anawaelewesha wasiotaka kujua kwa vile yeye anajua zaidi kuliko mnavyoimanishwa wengine. sasa hayo ya usemaji wa kanisa yametoka wapi...?
 
huelewi kiswahili bro?cjasema wakristu waliumbwa kuwa na elimu nilichosema wewe na wazee wako wenye mawazo ya kukataa kusoma shule za kanisa ndo wanaorudisha nyuma maendeleo ya waislamu...
 
Wamisionari ndio waliotumwa kuja kuuanzisha ukoloni na kuliibia bara la Afrika.Dini ilitumika kama kigezo tu lakini lengo kubwa lilikuwa ni kutawala na kuiba rasilimali.

Na Warabu je? wao shida yao ilikuwa ni watumwa tena kwa kuwafunga minyororo, tena wana roho mbaya hata shule na hospital mnazotolea povu hawakuwajengea.
 
Wamisionari ndio waliotumwa kuja kuuanzisha ukoloni na kuliibia bara la Afrika.Dini ilitumika kama kigezo tu lakini lengo kubwa lilikuwa ni kutawala na kuiba rasilimali.
huu ni mtazamo tu,..
 

Sasa mbona Dr amesahau kuelezea ilikuwaje mpaka serikali inakuwa inachota hazina fedha na kuyapatia makanisa peke yake? hiyo moja ama pili nasema ivi kwanini suala hilo halikupita bungeni? Mwisho ningepend kuchangia kuwa kama kweli Dr mlikuwa na nia safi isiyo ya kibaguzi kwa jamii nyingine na mkaona kwa kipindi kile kuwa yale yalikuwa mawazo mazuri je kwa sasa kutokana na hali ya jamii ilivyo na malalamiko yaliyopo ktk jamii mliojikita kuitenga mnaishauri vipi serikali juu ya kuuvunja huo mkataba? au ili kuweka usawa ktk lasilimali za nchi the same mkataba mnauotumia kuchotea pesa za watanzania wote utumike kwa jamii nyingine?
 
we mweh* nini?reje swali lako la awali kwangu linajibu swali lako hili la kipuuzi!!!!!!!!

Umetaja Forodhani,ndio maana ninakuuliza tena ilijengwa lini na nani? ninauliza ili uthibishe kuwa ni sehemu ya mali ya wakristo kwa maana walijenga na si kujengewa na wakoloni wezi waliotawala Tanganyika na dini ikitumika kama daraja.
 
Na Warabu je? wao shida yao ilikuwa ni watumwa tena kwa kuwafunga minyororo, tena wana roho mbaya hata shule na hospital mnazotolea povu hawakuwajengea.

pole sana kaka inaonekana historia yak ni ile ya sisi binadamu tumetokana na manyani. sikushangai sana kwa mawazo yako. Muulize mwna historia yeyote unayemuamini wewe kuwa je katika picha za watumwa kuna picha hata moja ambayo ni ya kupigwa?)I mean photog). ukimuuliza aliyebobea kusoma na kufuatilia isue ya watumwa kwenye vitabu vya historia atakuambia kuwa picha zote za waarabu ni za kuchorwa yaani ni taswira iliyotengenezwa na watu ili kuwapaka matope waarabu, ama picha za watumwa zinazoonesha wazungu utazikuta ni za kupigwa (photog). Ndugu yangu nakushauri fatilia juu ya hili ili uone mwenyewe.
 

Mkuu kwani utaifishaji ulipita Bungeni? Then lasilimali nadhani msimamo wako ungeuelekeza kwenye gesi,dhahabu,pembe za ndovu zinazoibiwa kila kukicha kuliko kupingana na MoU ambayo inabaki kuwa na manufaa kwa Watanzania wote pasipo kubagua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…