Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mbonakule agah khan hausemi pia huko kuna hiyo MoU,
lkn MKUUWA NCHI aliliweka sawa hili jambo BARUBARU,
anywayLet assume kuwa leo hii inatokea tunakuwa na Rais kichaa (ALIYEPO SAS SIOKICHAA) anafanya maamuzi ya kiuendawazimu kwa kufuta hiyo ruzuku ktk taasisihizo, jiulizemwenyewe hali yake itakuwaje? The answer is simple nchi itapatakiharusi. Huwa nashindwa kuelewa hivi BARUBARU ile MoU ingesainiwa wakati RAISakiwa mkristo sijui ungesema nini, in my view ungetoa laana zote za dini yakokumlaani huyo Rais.
Ok, hayayamekuja kisa taasisi za Kiislam hazina hata hospital moja, na kama zipo basinitajie moja tu au hata Chuo Kikuu ambacho kimejengwa kwa nguvu za Muslims tuhapa Bongo yenye kiwango cha kupata ruzuku. Sisi tunaoishi huku vijijini hizihospital za dini ndizo zinazotusaidia, tunawashukuru waliojenga miradi hii. Leohii makanisa yameanza kufua umeme, WAISLAM WASOMI MKO WAPI KUSAIDIA, sana sanatunaona wengine mnawashawishi wasifanye mitihani, mara kanisa linatuonea.
PleaseBARUBARU ondoka kwenye hicho kichaka kitakuwakia moto, acha kufikiri hovyohovyo

Toka lini Aga khan ikawa na madaktari wanaolipwa na Serikali? Je unaweza kutujuza maanayake ni geni kwangu.

Unaosikia madaktari waliogoma kutoka KCMC na Bugando ni wale walioajiriwa na Serikali na wanalipwa na serikali japo wanafanya kazi hospital za kanisa.

naomba ufafanuzi wako kuhusu Aga khan
 
Toka lini Aga khan ikawa na madaktari wanaolipwa na Serikali? Je unaweza kutujuza maanayake ni geni kwangu.

Unaosikia madaktari waliogoma kutoka KCMC na Bugando ni wale walioajiriwa na Serikali na wanalipwa na serikali japo wanafanya kazi hospital za kanisa.

naomba ufafanuzi wako kuhusu Aga khan
hivi umeielewa kweli post yangu?
 
Je waijua MoU hiyo na kanisa linakwapua kiasi gani kwa mwaka toka JMTz
MOU ya Kanisa na Serikali ilifungwa mwaka 1992 na Fisadi EL. Kila mwaka makanisa yenu yanapata Billioni 60 (sasa hivi yanapata Billioni 91) .

Toka 1992- 2011 ni miaka 19= 60,000,000,000 x 18 + 91,000,000,000= Trilioni 1.17 or Trilioni 1.2. Kutoka katika kodi za WATANZANIA.

Huo ni wizi na ufisadi . Mtuambie pesa za waislamu ziko wapi zirudishwe serikalini. Ufisadi huu ni mkubwa kuliko EPA.




Nilikuwa najiuliza uswahiba wa EL na makanisa umetoka wapi,maana ni mkubwa sana kupitiliza.
 
Nilikuwa najiuliza uswahiba wa EL na makanisa umetoka wapi,maana ni mkubwa sana kupitiliza.
usikurupuke tulia, then soma alama za nyakati, kumbe haujamuona kule misikitini--kafanye kampeni kwingine sio hapa
 
Source?????? Kwenye kijiwe cha ghahawa na kashata kama sio vijiwe vya kutafuna pweza.... Na nyie ingieni MoU si mna madrassa kila kona na msikiti huko uswahilini....

Sijui huko makanisani ndio mnakofundishwa ufisadi au upo damuni tu maana mnautenda na kuutetea kwa nguvu zenu zote. Ni vema mkumbuke nchi hii siyo ya kanisa na kuwa dini zingine zipo na siyo kwamba hazioni mnachofanya. Kama vitabu vyenu vinahubiri hayo ni bora mkavpitia upya. "The churches" have way too much overdue status in this country!
 
Napata tabu kidogo hapo mkuu GT kuwa ni "MoU kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini serikali" na sio "MoU kati ya Serikali na Christian Council of Tanzania and Tanzania Episcopal Conference" na wameandika kabisa (hereinafter referred to as "Churches") sasa unless umerekebisha ntakuchukulia kama mshabiki. Either kipindi hicho ndo kile ambacho Serikali ilianza kutambua mchango wa taasisi za kikristo (Hosipitali, Shule, Vyuo, Benki na nyinginezo....) na hivyo kuamua kuajiri wataalam hasa madaktari katika mahosipitali kama KCMC, BUGANDO n.k ili kusaidia ktk utoaji wa huduma na karibia asilimia zaidi ya 80 ya wafanyakazi kwenye hizi hosipitali wanalipwa na serikali. Na hilo la kuajiri wataalam kutoka taasisi za kanisa kama vile (Waalimu kutoka ktk vyuo vya kanisa, Waandishi wa habari, Wataalam wa afya n.k), hii ilimaanisha kwamba baada ya kanisa kuwasomesha watu Serikali ikubali kuwaajiri wasikae tuu mtaani na hizo taasisi zili-enroll both Muslims and Christians. Zaidi kipindi hicho bado Makanisa yalikuwa yanahisi kuwa Serikali ingeweza kuja kutaifisha tena hizo taasisi ndio maana ilibidi wasaini hiyo MoU ili waweze kuibana Serikali pindi ikitaka kufanya hivyo na hapo ndipo makanisa yalipozidi kufanya investment katika taasisi kama hizo. N a ndo maana hiyo document ipo available for public na leo hii isingekuwa hivyo tusingeiona KCMC, BUGANDO, SAUTI university, TUMAINI university n.k. taasisi ambazo beneficiaries wake ni WATANZANIA na sio Wakristo.....
 
Toka lini Aga khan ikawa na madaktari wanaolipwa na Serikali? Je unaweza kutujuza maanayake ni geni kwangu.

Unaosikia madaktari waliogoma kutoka KCMC na Bugando ni wale walioajiriwa na Serikali na wanalipwa na serikali japo wanafanya kazi hospital za kanisa.

naomba ufafanuzi wako kuhusu Aga khan
Mkuu Aga Khan wale jamaa ni "Full Private" Organization, kama ilivyo TMJ, KAIRUKI, REGENCY... na nyinginezo tofauti na zilivyo KCMC na BUGANDO ambazo zinaendeshwa kwa collabo ya Serikali na Makanisa na ili kujua hilo mpeleke mgonjwa alazwe siku moja tu pale Aga Khan afu ulinganishe hiyo gharma ya pale na ya Muhimbili, KCMC, Bugando. Labda nikupe CASE moja ya pale Aga Khan, mke wa ndugu yangu alijifungulia pale kwa operation na kulala pale siku mbili eti gharma yake ilikuwa Tsh.1,200,000/= (This is LIVE experience bro) wakati KCMC ukijifungua hivyo gharama isingezidi 400,000/= hizo siku mbili tena alazwe vyumba vya V.I.P.....
 
Iliwezekaneje Waziri akam-by-pass Rais hadi ku-sign hyo MOU ambayo hivi sasa ni Mkombozi wa wananchi wa dini zote?
Af kipindi hicho 1992 Mzee Mwinyi alikuwa ndo Rais af ni muislam, ka aliona haina manufaa kwa nini alikubali?
 
Mkuu Aga Khan wale jamaa ni "Full Private" Organization, kama ilivyo TMJ, KAIRUKI, REGENCY... na nyinginezo tofauti na zilivyo KCMC na BUGANDO ambazo zinaendeshwa kwa collabo ya Serikali na Makanisa na ili kujua hilo mpeleke mgonjwa alazwe siku moja tu pale Aga Khan afu ulinganishe hiyo gharma ya pale na ya Muhimbili, KCMC, Bugando. Labda nikupe CASE moja ya pale Aga Khan, mke wa ndugu yangu alijifungulia pale kwa operation na kulala pale siku mbili eti gharma yake ilikuwa Tsh.1,200,000/= (This is LIVE experience bro) wakati KCMC ukijifungua hivyo gharama isingezidi 400,000/= hizo siku mbili tena alazwe vyumba vya V.I.P.....


Kumbuka mtu anapoamua kwenda Aga Khan lazima awe amejiandaa kipesa. Na kama unaona kuwa una pesa nyembamba ni vizuri uwahi first truck Muhimbili na kama huna basi amana, temeke au mwananamala ipo kwa jili yako.

Soma mada kuu ni nini kisha jibu hoja.
 
Napata tabu kidogo hapo mkuu GT kuwa ni "MoU kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini serikali" na sio "MoU kati ya Serikali na Christian Council of Tanzania and Tanzania Episcopal Conference" na wameandika kabisa (hereinafter referred to as "Churches") sasa unless umerekebisha ntakuchukulia kama mshabiki. Either kipindi hicho ndo kile ambacho Serikali ilianza kutambua mchango wa taasisi za kikristo (Hosipitali, Shule, Vyuo, Benki na nyinginezo....) na hivyo kuamua kuajiri wataalam hasa madaktari katika mahosipitali kama KCMC, BUGANDO n.k ili kusaidia ktk utoaji wa huduma na karibia asilimia zaidi ya 80 ya wafanyakazi kwenye hizi hosipitali wanalipwa na serikali. Na hilo la kuajiri wataalam kutoka taasisi za kanisa kama vile (Waalimu kutoka ktk vyuo vya kanisa, Waandishi wa habari, Wataalam wa afya n.k), hii ilimaanisha kwamba baada ya kanisa kuwasomesha watu Serikali ikubali kuwaajiri wasikae tuu mtaani na hizo taasisi zili-enroll both Muslims and Christians. Zaidi kipindi hicho bado Makanisa yalikuwa yanahisi kuwa Serikali ingeweza kuja kutaifisha tena hizo taasisi ndio maana ilibidi wasaini hiyo MoU ili waweze kuibana Serikali pindi ikitaka kufanya hivyo na hapo ndipo makanisa yalipozidi kufanya investment katika taasisi kama hizo. N a ndo maana hiyo document ipo available for public na leo hii isingekuwa hivyo tusingeiona KCMC, BUGANDO, SAUTI university, TUMAINI university n.k. taasisi ambazo beneficiaries wake ni WATANZANIA na sio Wakristo.....

Narudia tena kama Hizo Bilioni 91 wanazopata kanisa kila mwaka kama admin cost ondoa ushuru wanaosamehewa kwenye vitu wanavyoagiza nje. Tokea 1992 mpaka sasa mngekuwa na hospital 20 kama Bugando nchi nzima na nyingine 60 za hadhi ya wilaya kama ile ya Amana au temeke kwa kila wilaya zenu nchi nzima.

Sasa kwanini serikali isifikirie hilo na kujikita kuzitajilisha na kuziimarisha hospitali za kanisa? Je wewe unafurahia kanisa kutajilika kwa pesa za Serikali yako masikini?




 
Kwanza napenda kutoa pongezi za dhati kwa jitihada mbalimbali linarozifanya kuhakikisha huduma za afya zinapatikana vijijini na kuzitoa bila ubaguzi wa kidini
 
Narudia tena kama Hizo Bilioni 91 wanazopata kanisa kila mwaka kama admin cost ondoa ushuru wanaosamehewa kwenye vitu wanavyoagiza nje. Tokea 1992 mpaka sasa mngekuwa na hospital 20 kama Bugando nchi nzima na nyingine 60 za hadhi ya wilaya kama ile ya Amana au temeke kwa kila wilaya zenu nchi nzima.

Sasa kwanini serikali isifikirie hilo na kujikita kuzitajilisha na kuziimarisha hospitali za kanisa? Je wewe unafurahia kanisa kutajilika kwa pesa za Serikali yako masikini?





by mtayeshelwa Acheni kulalamika pigeni mzigo kama kanisa linavyo fanya we angalia St augustine inavyochanja mbuga huwezi kulinganisha na.....morogoro
 
Kwanza napenda kutoa pongezi za dhati kwa jitihada mbalimbali linarozifanya kuhakikisha huduma za afya zinapatikana vijijini na kuzitoa bila ubaguzi wa kidini
 
Kama hizo taasisi nyingine za kidini hazijafanya jitihada/hazijaona umuhimu wa kufanya such agreement tatizo liko kwa nani!! Kanisa liliona umuhimu wa kufanya hivyo kwa kutambua umuhimu wa kuwa na mahusiano ya karibu na serikali. Sasa kama hao wengine wahawakuweza kuona mbali basi wasilazimishe kutuvalisha upofu wao. Kama sasa wameona umuhimu wa kufanya hivyo nadhani ni ruksa ku-copy na ku-paste. Angalizo kama hujui ku-paste do not copy!!!
 
Kwanza napenda kutoa pongezi za dhati kwa jitihada mbalimbali linarozifanya kuhakikisha huduma za afya zinapatikana vijijini na kuzitoa bila ubaguzi wa kidini

Hudua hizo hazitolewi bure wewe bwe ge, zinalipiwa, kama huna hela to hell.
 
Wewe huna hata hospital hata moja unataka ruzuku ya serikali ukaifanyie nini???ntakojolea mimi nikinukishe ijumaa ijayo!!!!!!!!!!!!
 
Negotiation is just a negotiation. Wewe ulitaka iweje? Juzi si kumekuwa na makubaliano kati ya taasisi za dini na serikali kuhusu misamaha ya kodi na mambo yakaenda vizuri? Kusingekuwa na makubaliano hayo unafikiri nini kingetokea?

Masaburi hayatakiwi hapa.
 
HIVI KWANINI SISI WAISLAM HATUNA SHUKRANI???
HOSP ZA WENZENTU PERAMIHO, KCMC, BUGANDO HOSP PAMOJA NA ST AUGUSTINE UNIVERSITY, TUMAINI UNIVERSITY NA VINGINE ZILIJENGWA WAKIWA NA WATAALAMU WAO AMBAO WANGEWATOSHELEZA...LAKINI HAWAKUTUBAGUA, WALITUHUDUMIA WOTE BILA KUANGALIA KAMA MIMI NI ASHA AU ANNA!
SERIKALI KWA KUONA MCHANGO WAO MKUBWA IKAAMUA KUSIGN MoU ILI KUBORESHA HUDUMA ZILIZOKUA ZINATOLEWA KWA WATANZANIA WOTE !!!!
JE MLITAKA NA SISI TUSIGN MoU KWA KIPI TULICHOKUA NACHO AMBACHO KILIKUA NA MANUFAA KWA JAMII YOTE BILA KUJALI ITIKADI??? NKISEMA MADRASA MTAKUA MNAKOSEA NDUGU ZANGU
ISITOSHE SASA TUMEZAWADIWA CHUO KIKUU AMBACHO ILKUA CHUO CHA HUDUMA ZA UMMA NA SIJASIKIA WAKRISTO WAKILALAMA KAMA SISI
KWANINI TUNAKUA NA ROHO MBAYA NA UNAFKI KIASI HIKI??? LAITI WAKRISTO WANGETUBAGUA SIJUI TUNGEKUA WAPI??
DAH ALIYETULOGA AMEKUFA SIJUI???!!!!!
 
Back
Top Bottom