Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mkataba (MoU) kati ya Serikali na Kanisa Katoliki na Taasisi nyingine za Kidini

Mudi follower wana akili hawana porojo kama wewe. Hivo hiyo ni aibu kubwa kuliko kiongozi kama DR Slaa kuthubutu kuja kutetea ufisadi huu wa MoU?



Ufisadi wa MoU uko hapa ambapo DR Slaa nasikitika hakuweza kutuelezea kwa undani:

The government shall provide vacancies in its Teachers training colleges for training qualified persons as teachers earmarked for church owned schools. Article xi

The government shall endeavour to include financial assistance for church run social services in its bilateral negotiations particularly with the Federal Government of Germany. Consideration shall be made during its bilateral negotiations with other donors. Article xiii.

Tatizo lako hapa ni lugha iliyotumika kwasababu sio tu ni ya kiengereza bali ni ya kisheria ambayo kama wewe si mwanasheria na ukijifanya unaelewa basi utakuwa mbishi tu maana nijuavyo mimi wanasheria hufundushwa tafsiri ya sheria.




unajua kuujua ukweli na baadae kuupindisha ni ujinga uliopitiliza au uliosomewa. Bora kutojua angalau ungeeleweshwa.

Ni waislamu wangapi walisoma kwenye shule za wakristo zilizobinafsishwa?.

Maisha ya waislamu wangapi yaliokolewa kwenye hospitali za wakristo.

Je selikali ilitaifisha shule zile kwa manufaa ya upande gani? Kumbuka nchi yenu ni ya ujamaa na kujitegemea ila inaishi kwa kutegemea misaada.

Selikali ikitakiwa ilipe garama zote za kutumia majengo ya wakristo(KUYAKODI), kugharamia ukarabati yawe kama yalivyokuwa awali ndipo wayakabidhi unadhani itakuwaje?

Uislamu ni dini inayoamini katika kweli na haki. Tusitake kulinganisha huduma za jamii nzima na mahakama ya kadhi.

Maakama ya kadhi ni sawa na mabalaza ya usuluhishi yaliyopo kwenye kila kanisa. Selikali ikijiingiza huko italazimika kujiingiza kwenye kuhudumia hadi mabalaza yote ya usuluhishi hadi ya kijadi
 
BIG SHOW, Tafadhari naomba ufikiri kama jina lake lilivyo i.e THINK BIG.

Hivi umesoma mtiririko mzima wa maelezo ya Dr. Slaa hadi kilichopelekea kuzaliwa kwa MoU. Mwanzoni mwa negotions BAKWATA nao walikuwemo, but mazungumzo yaliposonga mbele, BAKWATA wakajiondoa? Hujiulizi kwanini BAKWATA walijiondoa? Huhitaji kuwa a rocket scientist to figure out kwanini BAKWATA wali sepa. It because they had NOTHING to put on the table i.e hawana shule wala hospitali etc. Huu ni UKWELI mchungu ambao WAISLAMU hamtaki kuukubali.

FYI, nimewahi kufanya utafiti ktk Mkoa wa Kagera, Ukiondoa hospitali ya mkoa na hospitali ya Wilaya ya Bukoba mjini. Hospitali nyingine zote za wilaya zilizobaki ni DDH, District designated Hospital, zinamilikiwa na KANISA. Wilaya za Mkoa wa Kagera ni Muleba, Karagwe, Ngara, Biharamulo, Misenyi. Na ninafahamu hali hii iko hivi ktk mikoa mingi ya Tanzania Bara. Imagine bila hizo hospitali za kanisa leo wananchi wa sehemu hizo wangekuwa na hali gani?

Kama mambo yanayoleta UKAKASI yalifanywa na SERIKALI kwanini basi kulalamikia MAKANISA na kufikia hatua za kuchoma moto makanisa badala ya kuilalamikia SERIKALI YA CCM. Why don't you stay focused? Tatizo lenu waislamu ni CHUKI dhidi ya UKIRISTO. Nigeria (Boko Haramu), Kenya (AL Shabaab), Mali (Al queda) etc, hakuna MoU lakini malalamiko ni yale yale?! What is wrong with ISLAMIC RELIGION???!!!


nathing, its only brainwashing
 
big show, tafadhari naomba ufikiri kama jina lake lilivyo i.e think big.

Hivi umesoma mtiririko mzima wa maelezo ya dr. Slaa hadi kilichopelekea kuzaliwa kwa mou. Mwanzoni mwa negotions bakwata nao walikuwemo, but mazungumzo yaliposonga mbele, bakwata wakajiondoa? Hujiulizi kwanini bakwata walijiondoa? Huhitaji kuwa a rocket scientist to figure out kwanini bakwata wali sepa. It because they had nothing to put on the table i.e hawana shule wala hospitali etc. Huu ni ukweli mchungu ambao waislamu hamtaki kuukubali.

Fyi, nimewahi kufanya utafiti ktk mkoa wa kagera, ukiondoa hospitali ya mkoa na hospitali ya wilaya ya bukoba mjini. Hospitali nyingine zote za wilaya zilizobaki ni ddh, district designated hospital, zinamilikiwa na kanisa. Wilaya za mkoa wa kagera ni muleba, karagwe, ngara, biharamulo, misenyi. Na ninafahamu hali hii iko hivi ktk mikoa mingi ya tanzania bara. Imagine bila hizo hospitali za kanisa leo wananchi wa sehemu hizo wangekuwa na hali gani?

Kama mambo yanayoleta ukakasi yalifanywa na serikali kwanini basi kulalamikia makanisa na kufikia hatua za kuchoma moto makanisa badala ya kuilalamikia serikali ya ccm. Why don't you stay focused? Tatizo lenu waislamu ni chuki dhidi ya ukiristo. Nigeria (boko haramu), kenya (al shabaab), mali (al queda) etc, hakuna mou lakini malalamiko ni yale yale?! What is wrong with islamic religion???!!!



sikiliza wewe,fuatilia huu mjadala vizuri,kaa chini soma na mawazo ya wenzako na uelewe kisha ndipo uje hapa tuzunguzme,hakuna mdini hapa,mimi sio mdini japo nina dini yangu inayonipa peace of mind kuifuata nayo ni uislam,kama vile unavopata wewe peace of mind kwa kuufuata ukristo,so no disrespect please,kama huna hoja ni bora ukawaacha wenye hoja wazungumze,,unapata wapi justification ya kuja kuuhusisha uislam na alqaeda,uislam na boko haram,uislam na al shabaab??unahusisha matendo ya watu na dini yao??nani kakuambia uislam unahubiri mambo hayo??so unataka kusema hao makasisi ambao ni mashoga ukristo una hubiri mambo hayo au hao na maono yao??makasisi wanaolawiti watoto ni ukristo unahubiri hivo au maono yao??

Kuhusu bakwata kuwepo ama kujitoa hiyo siyo hoja ya kuitolea macho,na kama unajustify bakwata walijitoa kwa kuwa walikuwa hawana kitu slaa kakuambia kuwa hicho ndicho kilikuwa kigezo cha kujitoa??mbona hajafafanua kwa nin bakwata walijitoa??

Na huyo mwenzako anaesema vatican ni nchi sawa tunakubali,kwanini pengo ndie awe mtu kati baina yake na sisi kwani nchi hii ni ya mfumo huo??

You have totally disqualfied yourself to discuss with big show,because the big show is great thinker and is not kihiyo like you,and never he will be..
 
Hivi ninyi watu mbona inakuwa vigumu hivyo kuelewa kitu straightforward namna hiyo?
Kwani ni nani alekuwa ametaifisha hizo hosp na mashule ya kanisa?
Serikali ilitaifisha kutoka kwa Wajerumani au makanisa?
Baada ya serikali kushindwa kuziendesha/na makanisa kuzidai baada ya kuona hosp/mashule hayo kuwa ktk hali mbaya Serikali ilitakiwa 'kuingia huo mkataba' na hayo makanisa ili hao wafadhili watapotoa hela zao kuwe na uhakika wa kuendelezwa na kutunzwa kwa hosp na shule hizo(kusijekuwa na utaifishwaji tena na kukosa utunzaji na uendelezaji kama ilivotokea).
Kwa mantiki hiyo (kama ilivofafanuliwa vizuri na Dr.Slaa hapa) unafikiri hiyo MoU ilitakiwa kusainiwa kati ya makanisa na Ujerumani au na serikali ya Tanzania?

hapo red, nashauri MoU ITAFSIRIWE kwa lugha ya madrasa
 
Ufafanuzi wa DR.Slaa unajitosheleza, ila kama ulishapanga kutokutaka kuelewa hutaelewa, just simple like that!!!!!!!!
 
Naam! kila kitu kiwekwe mezani:

Mabilioni mangapi serikali imeipatia makanisa tokea 1992.

Ni mabilioni mangapi Kanisa limefaidika kupitia misamaha ya kodi.

Mbali na pesa kutoka serikalini ni kiasi gani Kanisa limeingiza kwa njia ya kuwatoza wagonjwa ada/malipo ya matibabu.

Serikali imelipa mabilioni ngapi kama mishahara ya wafanyakazi wa Hospitali za makanisa.

Serikali imetumia kiasi gani cha pesa katika kukarabati Mahospitali ya kanisa n.k

yaan hicho ndo tunakitaka sana, tena sana. lazima tuyajue yote uliyosema pamoja na idadi ya mabusha yaliyopasuliwa zikiwemo cancer za vinywa zisababishwazo na ulaji mirungi.
 
La kuuliza ni je shule za kiislam hazikutaifishwa? Au hazikuwepo? Waarabu walichukua watumwa na pembe za ndovu wakasahau kuwekeza hapa nchini? Sasa wao walipeleka MOU ya kuomba mahakama ya kadhi au vipi? Maisha yetu tumeyaweka rehani kwenye dini?

dah! Huu ni ukweli mchungu
 
si kweli,yapo mengi sana umeyaacha kwenye mission & visions za oic,na zipo nchi nyingi za kiafrika kama tanzania ambazo sio islamic states au arabic states zilizojiunga na oic kwa manufaa ya kiuchumi pia,kama unaibana hoja hiyo,vip waislam wakija na hoja ya kuwepo kwa uwakilishi wa vatican hapa nchini??uwakilishi huo ni kwa manufaa ya upande upi baina ya pande hizi mbili??

oic ina takriban nchi wanachama 57 zinazoshirikiana kiuchumi na mambo mengine,nitakupa baadhi ya nchi za africa ambazo sio islamic states na zimejiunga na jumuiya hiyo kwa manufaa makubwa kabisa,
ZIPO NCHI KAMA UGANDA,NIGERIA,SUDAN,IVORY COAST,GABON,MSUMBIJI,TOGO N.K
HIZO NI NCHI WANACHAMA WANAONUFAIKA MOJA KWA NA JUMUIYA HIYO HALI YA KUWA KWENYE MATAIFA YAO KUNA MCHANGANYIKO WA DINI MBALI MBALI,VIP NYERERE ALIZUIA HOJA HIYO ILIPOTOKEZA HAPA NCHINI,VIP VATICAN IKAPATA URAHIS WAKATI HILI LINAPINGWA,NI WAZI YA KWAMBA ALISHAJENGA MATABAKA NA TENSION ZA KIIMANI,KAMA VATICAN IPO HAPA NA INASAIDIA NDUGU ZETU WA IMANI ZINGNE AMA IMANI ZOTE KWA UJUMLA ALIKUWA ANA SABABU ZIPI ZA KUTILIA SHAKA JUMUIYA HIYO YA MAENDELEO YA KIUCHUMI??NAOMBA UNIPE MAJIBU MKUU.

Tujaribu hii ya nje ya box kidogo, kwani Tanzania hatuwezi kujipanga na kubuni njia za kijenga uchumi na jamii yenye kujitegemea bila hizi jumuiya? Kwa miaka 50 sasa Tazania imekuwa mwanachama wa jumuiya zaidi ya dazeni moja lakini tuko pale pale kwenye umsakini mkali.

Mimi ningejikita zaidi kwenye kubuni, kujenga na kusimamia uchumi (kupitia rasiilimali zote tulizonazo) ile kuleta maendeleo ya kweli kwa raia wote 45m wa nchi hii; hilo litasababisha hao big fish na jumuiya zenyewe ndio zije kuomba kushirikiana nasi (tena kwa terms zetu) na sio kama ilivyo sasa.

Bahati mbaya tuko tegemezi kiakili, kiroho na kimwili. Lakini ni muhimu tukatoka hapa na kwenda level nyingine.
 
sikiliza wewe,fuatilia huu mjadala vizuri,kaa chini soma na mawazo ya wenzako na uelewe kisha ndipo uje hapa tuzunguzme,hakuna mdini hapa,mimi sio mdini japo nina dini yangu inayonipa peace of mind kuifuata nayo ni uislam,kama vile unavopata wewe peace of mind kwa kuufuata ukristo,so no disrespect please,kama huna hoja ni bora ukawaacha wenye hoja wazungumze,,unapata wapi justification ya kuja kuuhusisha uislam na alqaeda,uislam na boko haram,uislam na al shabaab??unahusisha matendo ya watu na dini yao??nani kakuambia uislam unahubiri mambo hayo??so unataka kusema hao makasisi ambao ni mashoga ukristo una hubiri mambo hayo au hao na maono yao??makasisi wanaolawiti watoto ni ukristo unahubiri hivo au maono yao??

Kuhusu bakwata kuwepo ama kujitoa hiyo siyo hoja ya kuitolea macho,na kama unajustify bakwata walijitoa kwa kuwa walikuwa hawana kitu slaa kakuambia kuwa hicho ndicho kilikuwa kigezo cha kujitoa??mbona hajafafanua kwa nin bakwata walijitoa??

Na huyo mwenzako anaesema vatican ni nchi sawa tunakubali,kwanini pengo ndie awe mtu kati baina yake na sisi kwani nchi hii ni ya mfumo huo??

You have totally disqualfied yourself to discuss with big show,because the big show is great thinker and is not kihiyo like you,and never he will be..
Great thinker, na huyo balozi wa Vatican ni mtu kati yetu na nani?
 
hivi kabla hiyo MoU kusigniwa hali ilikuaje kwa taasisi za kiislam na kikristu. Waislam walikua na shule na hospitali ngap? na wakristo ngap? tatizo kubwa kuna watu wamekalia umbea majungu na fitna katka vijiwe vya kahawa, wakati wenzao wakiendelea jenga mashule na mahospitali. Amkeni sasa na mfahamu maendeleo yenu yatakuja kwa nguvu zenu wenyewe
 
sikiliza wewe,fuatilia huu mjadala vizuri,kaa chini soma na mawazo ya wenzako na uelewe kisha ndipo uje hapa tuzunguzme,hakuna mdini hapa,mimi sio mdini japo nina dini yangu inayonipa peace of mind kuifuata nayo ni uislam,kama vile unavopata wewe peace of mind kwa kuufuata ukristo,so no disrespect please,kama huna hoja ni bora ukawaacha wenye hoja wazungumze,,unapata wapi justification ya kuja kuuhusisha uislam na alqaeda,uislam na boko haram,uislam na al shabaab??unahusisha matendo ya watu na dini yao??nani kakuambia uislam unahubiri mambo hayo??so unataka kusema hao makasisi ambao ni mashoga ukristo una hubiri mambo hayo au hao na maono yao??makasisi wanaolawiti watoto ni ukristo unahubiri hivo au maono yao??

Kuhusu bakwata kuwepo ama kujitoa hiyo siyo hoja ya kuitolea macho,na kama unajustify bakwata walijitoa kwa kuwa walikuwa hawana kitu slaa kakuambia kuwa hicho ndicho kilikuwa kigezo cha kujitoa??mbona hajafafanua kwa nin bakwata walijitoa??

Na huyo mwenzako anaesema vatican ni nchi sawa tunakubali,kwanini pengo ndie awe mtu kati baina yake na sisi kwani nchi hii ni ya mfumo huo??

You have totally disqualfied yourself to discuss with big show,because the big show is great thinker and is not kihiyo like you,and never he will be..

naposomaga au kusikiliza mashindano na matusi, chuki na ghadhabu kama hizi huwa nafarijika sana upeo ulionijia kujua kuwa dini ni usanii. hivi jaman mkiwasoma hawa watu wawili unaweza kukubali eti huwa wote wanasema Mungu ni mmoja na ndiye wanayemfuata kwenye hiyo kitu zao wanaita dini??!! hivi huyu mungu aliwaumba ili mje mpingane? kama kweli dini ni za mungu kwa nini dini fulani inakuwepo eneo lile tu ambalo ni mkoloni wa dini fulani ndo alolitawala hilo eneo? kwann tanga iwe uislamu na Kilimanjaro iwe Ukristo? kama ni dini ya mungu na mungu nimwenye uweza wote na alitakalo huwa kwa nini sasa asipeleke dini moja badala yake ziwe dini tofauti kiasi cha boko khram, al quida, islamic mujahidi, vita vya msalaba nk nk kuteketekeza maisha ya watu?! hivi kweli waafrika mpaka leo mnakubali kuchonganishwa kwa fikra za kikoloni..eti dini yangu uislam inayonipa peace of mind!!!!!jinga kweli, dini yakoooo au dini ya mwarabu? wewe ni mwafrika au mwarabu? tumba.u kabisa.
 
ungejiuliza kwanza wewe binafsi, watu wote wanaoongelea ama kutoa ufafanuzi kuhusu Mou ni viongozi wa Chama au ni wasemaji wa Dini au madhebu, kisha ndo ukauliza swali lako. Naona kama umekurupuka Dude.
 
Sasa waje hapa akina Sadeeq na wote wale waliokuwa wanapotosha MOU kuwa matokeo ya mfumokristo na uonevu wa serikali kwa Waislamu. Njooni hapa tuwasikie na upotoshaji wenu.

Yakheee ngoja tukale Tende na Harua, twarudi na hoja nyengine.

Sasa tunataka na huyu mnyama iwe ni marufuku asifugwe kabisa Tanzania. Kwani twajua kuwa Sirikali yapendelea Wakatoliki ndio maana na huyu yamwachia kuishi huyu mnyama Tanzania.

Pig 02.jpg

Pig 01.jpg


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!!
 
Wawepo washauri kumi kama wewe mkuu! mabadiliko ni dhahiri!!
Mimi si mshairi ila ni Muislamu ambaye nakaa na kutafakari.Pia naamini ya kuwa njia za kwenda peponi ni nyingi na si lazima confrontation isiyo na sababu.Sasa fursa imetolewa,tujenge shule,zahanati na hospitali.Ni aibu hatuna hata hospitali moja.
Wenzetu wanatumia fursa vizuri,angalia wilaya mpya ya Kilindi baada ya kutangazwa wao wamejenga hospitali kubwa na imeshakuwa district designated hospital,je watakosa ruzuku?
Let us be realistic.
 
great thinker, na huyo balozi wa vatican ni mtu kati yetu na nani?
mwite dr slaa aje afafanue kama sio kutueleza kwanini bakwata walijitoa??

Yeye si alikuwa katibu mkuu kipindi hicho,bila shaka atakuwa anaufaham ukweli,,

1.je,ni kweli bakwata walijitoa kwa kuwa walikuwa hawana kitu na njaa kali??

2.au bakwata walionekana kama ni tishio kwa mipango mingine iliyofichikana wakatengw??

Kikubwa nilichokiona alichokisema dr slaa hapo ni yeye kutotaka kuisemea bakwata na kutotaka kujiingiza kwenye mjadala kama bakwata ni wasemaji wa uislam na waislam nchini hapa,hili bado lina ukakasi na dr slaa lazima atuweke wazi,,

siku zote kweli humfanya mtu kuwa huru zaid.
 
Watu wanalalamika juu ya MOU ambayo imewezesha makanisa kuwasaidia wananchi vizuri. Suala hapa ni hivi:
*BAKWATA walijitoa kwa nini (Kuwepo au kutokuwepo kwao kusingebadilisha chochote- they had nothing to lose)
*Waislamu hawana institution yeyote serious! Its shameful - wao wanataka mahakama ya kadhi tu na kutabiri nyota, oooh nani atakuwa raisi, oooh rais atakuwa na kipara!!!!

*Huwezi kuwa na haki kuliko wajibu. Acheni huu ujinga wa kulalamika kuonewa tuuuuuu wakati mnajua ni waongo, kuibadili hali yenu ni jitihada binafsi zitawaokoa, jengeni utamaduni wa kutafuta hekima - hasa ya kujijua nyie ni nani - badala ya kukalia uongo wa kuua na kufitini! Hakuna mtu mwenye haki kuliko mwingine. Waislamu wanapaswa kuacha mawazo ya kupewa, kusaidiwa badala yake wakajikita kwenye kutafuta maarifa ambayo ni practical - yaani Imani yenu inawasaidia kiasi gani kwenye maisha yenu ya kawaida eg. Afya,elimu,busara,hekima,maarifa.

*Suluhisheni matatizo ya BAKWATA na masheikh juu ya mali za waislamu ndio muweze kujua cha kufanya.

*Jengeni institutions ambazo zitawasaidia wananchi - sio kutaka haki ya kupindua hadi misikiti!
*Acheni kukariri kuruani (someni muielewe inasemaje)! aahh mnanichosha!
 
Wenye akili ndogo watakubali kwamba MOU iko safi lakini,ukweli utasimama,kuna dini nyingine wamezoea propaganda na uongo mana dini zao na imani zao zinawafundisha hivyo.unaweza kumdanganya mtu kwa muda flani ila huwezi kumfanya mjinga muda wote.eti wanadai MOU iko kisheria,Kanisa ndio waasisi wa Ufisadi Tanzania,ndio mana adui yao mkubwa ni ujamaa na uislamu,ukisoma kitabu cha prof Huntington na john Sivalon utajua mfumo kiristo wa nchi yetu.ha ha ha inachekesha sana mtu anavyofagilia MOU na kansa inayolitafuna taifa

Ungeeleza pia dini nyingine nazo zilitaifishiwa kitu gani ungeeleweka, Hospitali ya Bugando ilijengwa mwaka 1971 kwamsaada wanaoujua wenyewe wakatoriki, serikali ikataifisha tena, wahisani wao wakagoma kuendelea ku-finance mradi huo, serikali imeichukua Bugando, uwezo wa kuiendeleza cheche, Wahisani nao wamegoma kutoa pesa zao, kwanini, serikali ya Tanzania haieleweki, hapo ulitaka kanisa lifanye nini zaidi ya kusainiana mkataba? Namna yenu ya kufikiri sometimes hua mi inaniboa kweli, ndio maana hakuna eneo lenye waislam wengi likawa na Amani walau kwa miaka 10 mfulurizo, sababu ni hii, sijui mlipewa ubongo kidogo? Sielewi kabisa.
 
naposomaga au kusikiliza mashindano na matusi, chuki na ghadhabu kama hizi huwa nafarijika sana upeo ulionijia kujua kuwa dini ni usanii. hivi jaman mkiwasoma hawa watu wawili unaweza kukubali eti huwa wote wanasema Mungu ni mmoja na ndiye wanayemfuata kwenye hiyo kitu zao wanaita dini??!! hivi huyu mungu aliwaumba ili mje mpingane? kama kweli dini ni za mungu kwa nini dini fulani inakuwepo eneo lile tu ambalo ni mkoloni wa dini fulani ndo alolitawala hilo eneo? kwann tanga iwe uislamu na Kilimanjaro iwe Ukristo? kama ni dini ya mungu na mungu nimwenye uweza wote na alitakalo huwa kwa nini sasa asipeleke dini moja badala yake ziwe dini tofauti kiasi cha boko khram, al quida, islamic mujahidi, vita vya msalaba nk nk kuteketekeza maisha ya watu?! hivi kweli waafrika mpaka leo mnakubali kuchonganishwa kwa fikra za kikoloni..eti dini yangu uislam inayonipa peace of mind!!!!!jinga kweli, dini yakoooo au dini ya mwarabu? wewe ni mwafrika au mwarabu? tumba.u kabisa.



VIPI UMEUMIA KUKUAMBIA YA KWAMBA MIMI UISLAM NDIYO DINI INAYONIPA PEACE OF MIND AU UNA LAKO JINGNE??
MBONA MADA IKO WAZI SANA,NAKUSHANGAA UNAKUJA PUPA KUSHAMBULIA MTU HATA HUJUI ANAKOTOKEA,HUMLISHI,HUMVISHI INAKUKWAZA NINI YEYE AKIAMINI ANACHOKIAMINI??HATA KAMA ANAABUDU NGO'MBE NI IMANI YAKE NA NI HAKI YAKE KIKATIBA,UARABU NA UAFRIKA SIJUI UZUNGU UNAKUJAJE??
USIKAE HAPA KUMJADILI MTU,JADILI HOJA ZILIZOPO MBELE YAKO
ACHA KUWA MBUMBUMBU... AU :loco::loco::loco::loco::loco:
 
Back
Top Bottom