Wakati mwingine siasa ni kama mwanamke Malaya!

Ili ampate mwanaume aliyemwacha kwa kumfumaniwa na mwanaume mwingine, hutumia njia nyingi hata wapambe ili tu aendelee kuaminiwa!

Hapa, vijana wa ccm Zanzibar, kuna mdomo wa mbinafisishaji kuwahamasisha kudai na bandari za Zanzibar zingewekwa humo ili sisi tuwe wajinga zaidi ya vijana ccm Zanzibar!

Mbinu zote bado ni za kijinga kutwaminisha ubovu wa mkataba wa DO kuwa unafaa
 
Bandari ya Zanzibar haina tija yoyote , haina muunganisho na nchi za barani Africa.
DPW hawaihitaji zanzibar kabisa.
 
Na mimi nakuunga mkono bandari za Zanzabar ziingizwe kama huo mkataba ni bora na unamaslahi kwa taifa
 
Pole sana kaka mkubwa.
 
Ushahidi wa tuhuma za kuuza bandari unao?, hii biashara ya DP World ilianza kufuatiliwa tangu enzi za JPM hayati.

Mbarawa na SSH ni watekelezaji tu wa sera za CCM. Mnaitaka roho ya Mbarawa, mngeanza kwanza na ile ya hayati JPM.

Wakati wa awamu yake mliufyata kimyaaa leo mnaanza kuchonga na kupiga makelele ya kinafiki.
 
Akae pembeni kama Job Ndugai!, kumbe wewe ni Sukuma Gang wale wale kina Luhaga Mpina. Mnaumia sana awamu hii.
 
Pamoja na ukorofi wake wote lakini Kwa miaka yake yote 5 JPM hakuthubutu kucheza na Mali zetu Kwa kushirikiana na watu wa nje. Tuliufyata Kwa sababu ni kweli pia kwamba Yale yote aliyokuwa anayafanya yalikuwa ni Kwa faida ya nchi. Sema ni wapi JPM alipandisha twiga wetu kupelekwa nje, ni wapi alipauza Kwa yeyote Toka ughaibuni. HAPAPO.
 
Hakuna anayeweza kucheza na mali zetu hata leo hii haya maneno ni matunda ya chuki za kisiasa zinazosambazwa na maadui wa SSH, haswa hawa wanaotaka nafasi ya urais 2025.

Hakuna anayeweza kuja na hoja yenye kueleweka yenye kuonyesha namna mali zetu zinavyoweza kuuzwa. Uwekezaji sio sawa na uuzaji.

Mmepandikiziwa chuki na mmeingia mazima katika hizi akili za kibaguzi. Unaweza hata kunionyesha picha ya Twiga wetu akipandishwa ndege zaidi ya kuwa ni maneno ya kimbea tu?.
 
Hizi ni Mali za Watanganyika, watu hawako tayari kuona zinagawiwa ovyo Kwa waarabu, walianza na Loliondo, Bandari za bara na baadaye hatujui kinachofuata. Haiwezi kuwa coincidence, Mwinyi Loliondo na huyu naye Bandari na pia kuhamisha watu wetu Loliondo. Niambie Mwalimu, Mkapa, JK na JPM Hawa hawakuhitaji kutuendeleza?
 
Akae pembeni kama Job Ndugai!, kumbe wewe ni Sukuma Gang wale wale kina Luhaga Mpina. Mnaumia sana awamu hii.
Akae pembeni kwa maana kwamba hakuna tatizo na umahiri wake. Ndugai alikaa pembeni akiwa Spika, seuse Mbarawa , waziri tu

Phillipo, chuki ya Wazanzibar wameipanda siku nyingi . Mlikuwa kimya mkidhani ni maua ya Waridi
Kuita Watanganyika wakoloni ni chuki iliyotitia
Mikutano ya hadhara kuwasumanga Watanganyika ni chuki liyo furuta
Kudharau katiba ya JMT ni chuki iliyokithiri

Leo Mbarawa kuambiwa wizara anayotumikia si ya muungano, ukweli, eti ni chuki !

Wazanzibar taratibu watavuna mbegu ya chuki, walidhani Watanganyika wamelala. Ukimya ilikuwa hisani na uungwana, sasa dude limeamka . Tunataka kura ya maoni Wazanzibar waamue hatma yao
Kama watahitaji muungano, uwe ule wa Mzee Warioba , Tanganyika ikiwa na mtetezi

Kwasasa hivi Tanganyika, inayoitwa Tanzania bara kwa mujibu wa katiba ya 1977 haina mtetezi
Ndiyo maana Wazanzibar wanakaa na kumaliza kero za muungano wenyewe, wanafuta bili za umeme ili mbeba mizigo wa Buguruni awalipie. Wanalipa pensheni wazee kwasababu hawajui gharama za taasisi za muungano. Sasa wanampango wa kulipa wahjumbe wa nyumba kumi! Kwa uchumi upi!
 
Hii ni nchi ya kipumbavu sijawahi kuona. Ipo siku tutapigana vita ya wenywewe kwa wenyewe na kufanya genocide kama ilivyotokea Rwanda na Burundi. Hawa wapumbavu wataipeleka hii nchi jehanamu.
 
sasa mkataba sio wa miaka 100 ni miaka mingapi wengine wanasema mkataba wa milele au mpaka kiama
 
Tuliwaambia wamama sawa wanataka ila hawawezi. Tukaonekana tuna nongwa. Nyumba toka lini ikaendeshwa na mwanamke!
 
Tanganyika kabla ya sitini na nne hivi sasa ni Tanzania. Kuuza wanyama ni biashara ya dunia nzima haijaanza na Loliondo na hataimalizika na eneo hilo, hao ni viumbe wanaozaliana na hata wasipouzwa zaidi ya kuona ufahari wa kuwa nao kipi cha ziada tulichonacho kutokana na uwepo wa wanyama hao!? yale yale ya roho za choyo.

SSH ni rais wa Tanzania yote anayoyafanya ni kwa kofia hiyo. Na Mungu ni fundi kweli kweli akaamua kutukumbusha kuwa zamu ya wazenji kuongoza TZ ilishafika kitambo kwa kumchukua kipenzi chetu JPM ili SSH aongoze nchi akiwa mzenji wa pili kufanya hivyo.

Ukikubaliana na upuuzi wa humu jukwaani utaamini kabisa kwamba nchi imeuzwa, ukikosa akili ya kujiuliza yale ya msingii utakubaliana na hoja hizi nyepesi.
 
Mtu aliyekomaa kabisa kichwani halipi visasi eti kwa sababu fulani na fulani walifanya hivi basi na sisi lazima tufanye vile.

Ni fikra zenye ukosefu wa ustaarabu ndani yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…