King smoker
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 1,002
- 675
Hii haija kaa sawa kabisa, mkataba wa kihuni kabisa huu. Illegal contract
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndi nkafu kikoloErythrocyte ugonile.
Waziri anayeshabikia huu mkataba kausha damu Ni mzanzibari.
Katibu mkuu wake ambaye nae Ni signatory wa mkataba kausha damu Ni mzanzibari.
Hawa wazanzibari wamekuja kuleta maendeleo huku bara , maendeleo ambayo kule kwao hawayataki. Wangeyataka na bandari ya Pemba ingekuwamo.
Halafu mibunge sijui imepewa nini inashabikia wakati Kuna watu wanachekelea all the way to the bank.
Vote of confidence ni ubaguzi tu wa wachache. Hao marais wanaomteua awasaidie wanaujua uwezo wake kuliko sisi tunaotoa maoni tukisubiri tukio litokee kwanza.Eti? Mkapa alituambia Netgroup watawekeza na kuongeza ufanisi. Tutakusanya pesa nyingi sana na Tanesco itakuwa kama ile ya south Africa. Rais Kikwete kauza Reli kwa mikataba ya hovyo kama huu. Wahindi wakang'oa chuma chakavu shirika likajifia.
Hizi hadithi za uchumi wa kupaa na yada yada tumezisikia sana
Jambo la ajabu miaka 60 hatuwezi kufanya kitu na rasilimali zetu hadi tuite watu waje halafu tutenge bakuli ili kupata kodi! Bado watu wanashangilia aibu hii! aisee
Mbarawa msaidie rais, kuna conflict of interest! huna vote of confidence kutoka kwa Watanganyika! JIUZULU
JokaKuu
Kinachoongelewa kinaweza kupambwa kwa lugha nzuri sana lakini ni ubaguzi unaofichwa kwa maneno matamu.Ilikuwa ni kosa kwasababu hilo si eneo la muungano. Hata hivyo bado alikuwa waziri na mikataba inapatia kwa Rais Mtanganyika. Kwasasa ni Wazanzibar wanaoamua hatma ya Tanganyika. Kwa chuki tunazoziona kama kauli ya Ali Salehe kushangilia kufeli kwa bandari ya Bagamoyo lazima kuwe na wasi wasi
Hivi lini Mtanganyika asiyeweza kuwa balozi wa nyumba kumi au karani Zanzibar anaweza kuandika mkataba unaohusu Zanzibar bila Zbar kupiga mayowe!
Muhimu hapa Mbarawa ajiuzulu nafasi, ameleta tafrani kubwa sana! Watanganyika hawana imani naye
Ili kumpa rais nafasi , Mbarawa step down! Hatuna imani na wewe kabisa na tukisoma mkataba ndiyo kabisa
JokaKuu
Akili zile zile zilizokemewa na Mwalimu Nyerere, akili za chuki dhidi ya wazanzibari. Tunasahau kuwa wakiondoka hao wazenji adui mpya wa kubaguliwa atakuwa ni wa kabila la jirani yako na jirani yangu.Erythrocyte ugonile.
Waziri anayeshabikia huu mkataba kausha damu Ni mzanzibari.
Katibu mkuu wake ambaye nae Ni signatory wa mkataba kausha damu Ni mzanzibari.
Hawa wazanzibari wamekuja kuleta maendeleo huku bara , maendeleo ambayo kule kwao hawayataki. Wangeyataka na bandari ya Pemba ingekuwamo.
Halafu mibunge sijui imepewa nini inashabikia wakati Kuna watu wanachekelea all the way to the bank.
Katiba ni maandishi tu yanayofuatwa, tutumie na busara na hekima zetu katika kutafuta suluhisho...Katiba ndio iliyotenga yapi ya muungano, yapi ya Tanganyika, na yapi ya Zanzibar.
..Sasa labda useme Katiba ni ya kibaguzi. Lakini Wale tunaosisitiza sheria ifuatwe hatustahili lawama.
Uzanzibar siyo kinga ya kufanyia uhalifuAkili zile zile zilizokemewa na Mwalimu Nyerere, akili za chuki dhidi ya wazanzibari. Tunasahau kuwa wakiondoka hao wazenji adui mpya wa kubaguliwa atakuwa ni wa kabila la jirani yako na jirani yangu.
Uhalifu tunaofanya sisi wa huku bara ni mbaya kuliko huo wanaofanya wazenji.Uzanzibar siyo kinga ya kufanyia uhalifu
Katiba ni maandishi tu yanayofuatwa, tutumie na busara na hekima zetu katika kutafuta suluhisho.
JPM angeendelea kuwa hai mpaka baada ya 2025 hakuna mtu au taasisi ambayo ingeongelea suala la uzanzibari na utanganyika.
Kuna siasa za wivu zinazojificha katika huu msukumo wa chuki dhidi ya wazenji. Kuna watu wanaona kama vile wamenyang'anywa tonge mdomoni, ghafla tu mambo yote yamebadilika na zile fursa walizozizoea zimewakimbia.
Wanacheka mbele ya watu lakini mioyoni wanafuta machozi.
Wanaowachukua mawaziri kutoka huko Zenji wanatazama maslahi mapana ya nchi na wanaweza kuwa na uchungu na nchi hii kuliko mimi na wewe...huwezi kuvunja katiba na sheria kwa kisingizio cha kutumia busara na hekima.
..katiba imeetenganisha mambo ya Tanganyika, Zanzibar, na muungano.
..Ni lazima tuyazingatie, na kama yanatukera suluhisho ni kwenda kwenye katiba ns kuyabadilisha, na si vinginevyo.
..chuki, ubaguzi, wizi, ukatili, na tabia nyingine za wanadamu, zote hizo zinapaswa kudhibitiwa na sheria zetu.
Wanaowachukua mawaziri kutoka huko Zenji wanatazama maslahi mapana ya nchi na wanaweza kuwa na uchungu na nchi hii kuliko mimi na wewe.
Katiba na sheria ni katika awamu ya sita inaonekana kuwa na umuhimu kwa sababu baadhi ya watu wa bara tunaishi na hasira mioyoni!...inawezekana.
..shilingi ina pande mbili.
..hivyo wanaweza kuwa wamefanya kwa kuzingatia maslahi binafsi.
..again, huwezi kukiuka katiba na sheria, kwa madai kwamba unatazama maslahi mapana au una uchungu na nchi.
Katiba na sheria ni katika awamu ya sita inaonekana kuwa na umuhimu kwa sababu baadhi ya watu wa bara tunaishi na hasira mioyoni!.
Awamu ya tano na ya nne zilizoongozwa na watu wa bara hizi sheria na kanuni zilikuwepo, ila kwa makusudi tukaamua kuzifungia makabatini kama vile hazituhusu.
Huwezi kukiacha kipaji kimoja kipotee eti kwa kuogopa kuvunja katiba. Hizi ni sheria tu zinazoandikwa na sisi binadamu na siku zote zinaweza kuwekwa pembeni kulingana na mahitaji ya muda...tupinge uvunjifu wa Katiba na sheria bila kumuangalia mtu usoni.
..Mtanganyika akivunja Katiba akemewe na kuzomewa.
..Mzanzibari akivunja katiba na sheria naye akemewe na kuzomewa.
..Hatupaswi kuwa na muhali kwa wavunja katiba na sheria.
Huwezi kukiacha kipaji kimoja kipotee eti kwa kuogopa kuvunja katiba. Hizi ni sheria tu zinazoandikwa na sisi binadamu na siku zote zinaweza kuwekwa pembeni kulingana na mahitaji ya muda.
Charles Hillary yupo ikulu ya Zanzibar kwa kubebwa na uzoefu wake wa miaka 40 wa uandishi wa habari.
Mbarawa yupo katika baraza la mawaziri kwa elimu yake ya uhandisi na uwezo wake wa kazi.
napata wasiwasi kama hao waliopitisha walipata mafunzo ya JKTkuwafanya wawe wazalendoMiongoni mwa siri zilizofichuliwa leo kuhusu Mkataba wa kuiuzia kampuni ya Waarabu Bandari za Tanzania, imo habari kwamba Bandari zitakazohusika ni zile za Tanganyika Pekee, za Zanzibar hazitahusika.
Ikumbukwe kwamba Bandari ni miongoni mwa mambo ya Muungano, ikiwa kama jambo hili lina faida kwanini tunaitenga Zanzibar. Je, Wazanzibar hawataki faida?
Bali kitu pekee ambacho tumekiona ni kwamba Waziri Aliyesaini Mkataba huu anayeitwa Makame Mbarawa anatokea upande wa Zanzibar kama alivyo Rais Samia Suluhu Hassan.
Pia soma > Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
---
MAONI YA WADAU
Acheni kupotosha watu, Zanzibar ina utawala wake mambo yake hujadiliwa ndani ya baraza la wawakilishi, wana wizara yao ya mambo ya biashara sasa ni mwehu tu angetegemea bandari za Zanzibar zikajadiliwa ndani ya bunge letu. Siku wakiamua ziendeshwe kwa ushirikiano na mdau kutoka nje ni kimpango waoMiongoni mwa siri zilizofichuliwa leo kuhusu Mkataba wa kuiuzia kampuni ya Waarabu Bandari za Tanzania, imo habari kwamba Bandari zitakazohusika ni zile za Tanganyika Pekee, za Zanzibar hazitahusika.
Ikumbukwe kwamba Bandari ni miongoni mwa mambo ya Muungano, ikiwa kama jambo hili lina faida kwanini tunaitenga Zanzibar. Je, Wazanzibar hawataki faida?
Bali kitu pekee ambacho tumekiona ni kwamba Waziri Aliyesaini Mkataba huu anayeitwa Makame Mbarawa anatokea upande wa Zanzibar kama alivyo Rais Samia Suluhu Hassan.
Pia soma > Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
---
MAONI YA WADAU
mtabaki na mauwongo yenu hayo lakini mama anapiga kazi. Ni lini na kwa nani ATCL, TTCL, TRC zimebinafsishwa?A huge miscalculation by SSH. Watanzania (watanganyika) wameibiwa sana kwa mgongo wa ubinafsishaji, yaani serikali inatumia matrilioni kuwekeza kwenye kitu alafu mwisho wa siku wahuni wachache wanapiga dili na kuuziwa kwa bei za kutupa.
Imetokea tena na tena na tena, ATCL, TTCL, TRC, NBC, mashamba ya serikali, nyumba za serikali, viwanda vya serikali na mengine mengi. Bado CCM haijifunzi tu??
Watu wanamlaumu JPM kuwa alikuwa katili lakini bwana yule alikuwa na akili za kutatua changamoto, akiona sehemu kuna mapungufu basi anaumiza kichwa kuona taitizo ni nini, watu? Mifumo? Sheria? Kisha anajaribu kutatua.
Seriously?? Bila shaka utakuwa mtoto wa juzi kama hayo hauyajui.mtabaki na mauwongo yenu hayo lakini mama anapiga kazi. Ni lini na kwa nani ATCL, TTCL, TRC zimebinafsishwa?