Bonus ni kitu kidogo sana kwenye biashara au mkataba
Ni kitu ambacho kinatolewa kwa mapenzi kama motisha kuku encourage ili ufanye vizuri au hufanywa hivyo kama kivutio wengine waweze kuingia deal na hiyo kampuni
Bonus sio kitu cha lazima
Kwa upande mwingine ni kwamba SportPesa waliweza kusaini deal la mkataba na Yanga bila kuweka hizo bonus na bado wangeendelea kuhesabika kama wadhamini wakuu.
Na ndio maana ukiangalia katika mkataba waliokubaliana SportPesa na Yanga ilihusisha bonus ya ligi kuu na ASF, lakini hakukuwa na makubaliano yeyote ya maswala ya bonus kwenye mapinzduzi cup and still Yanga walivaa jezi yenye nembo ya SportPesa
Hiyo ni kwasababu
portPesa kanunua jezi, haijalishi ni mashindano gani Yanga anacheza lazima logo ya SportPesa iwekwe kiifuani, vinginevyo ni mpaka SportPesa mwenyewe aridhie