Ana roho nzuri kwa sababu hajawanyima wanae mali bali amezitunza ziwafae baadaye.Jamaa ana roho ya ubinafsi mtu kakuzalia watoto wawili kwa nini mali andike za Mama yake😬😬
Kuna WANAUME Wana IQ KUBWA, MIMI MWENYEWE NISHAPANGA MIKAKATI MIKUBWA MNO, NILIYE NAYE HAJUI, KIKIUBWA AKIONDOKA AONDOKE HANA KITU NA IKIWEZEKANA NIMCHEKEDah huyo bibie nae aliishi nae vipi bila kuwa nae na mkakati wa Siri😬😬😬
walipopewa haki ya kumiliki mali ndipo mambo yote yalipoanzia kuharibika.Eti amiliki mali ya baba yake, na kwa kila mme atakakokwenda basi apate mgao wa mali. Kwa hiyo akizunguka wanaume 10 na akapata mgao wa mali toka wanaume 10, si tayari ni tajiri. Akimaliza mzunguko anarudi kwa baba nako anapata mgao na kutulia.Vijana mnao oa katika zama hizi za .com kuweni makini sana, waolewaji wamegeuza ndoa kuwa miradi ya kupigia pesa na kuchuma mali.
Ziwa la huyo dada linaonyesha kabisa ni tapeli 😂Hii picha ya ashraf hakimi na mkewe inasema mengi Sana[emoji4]View attachment 2587487
Jamaa sio bahili ila hiyo ni akili mingiTapeli anapokutana na bahili aliebobea... noted ✅✅
Basi basi usimalizie kusoma ...[emoji848]Mchumba haamini macho yake,
Mgao wake ulipaswa kua Euro mil. 70
Kitu Kama Dolla mil 100,
Sawa na almost billion 230 za kibongo
Kwa haraka haraka ,
Binti kuchanua mapaja miaka 5 tayar keshakua bilionea
Wakati kuna watu wanasoma udaktari miaka 5, ongezea wa 6 intern, bado miaka 2 ya adavance, miaka 4 olevel, miaka 7 primary na bado kwa mwezi wanalipwa mil 1.4[emoji4]
Yaani Mwanamke kiazi mbatata kweli ilibidi ajue mkakati wa Mumewe kabla 🤷🏼♀️sasa mbona wanisakama mie tuu. sema uzi umewafurahisha wakataa ndoa wote. leo tena wikend lazima tukaparty kwa niaba ya bwana ashraf.
ametoa fundisho moja zuri sana.
ila huyo mwanamke naye boya unatombwaje alafu hujui mali za mumeo zipo kwenye jina gani ....huyu nae bogus tuu kwanza ashraf alikosea ata kuoa mwanamke hana akili kabisa anajua kupanua mapaja tuu.
Wataenda kwa kibibi yao.Roho mbaya tu wewe unadhani kulea watoto kazi ndogo pengine kachangia kwenye hizo Mali😬
Nimejifunza jambo .Hapo atakua anadai child support tu ya watoto wao wawili na hapo kwa kua Ashraf hana mali itabidi wagawane pasu kwa pasu kwenye matunzo
ashraf nae bwana! sasa hapa alikuwa anagegeda nini? mifupa? 🤣 🤣 🤣 🤣Marriage is a Scam.View attachment 2587589
kiazi kweli kweli ila kwa kuwa roho yake ilikuwa tayari na jambo baya moyoni ndio hivyo yametokea ya kutokea.Yaani Mwanamke kiazi mbatata kweli ilibidi ajue mkakati wa Mumewe kabla 🤷🏼♀️