Kua mwanaume inabdi uwe IQ kubwa sana mm nawez kukuonyesha Kila kitu kwako Cha uongo uongo kumbe nyuma ya pazia nin mamb makubwa nafanya ambayo ww mwenyew siwez kukwambia na hupaswi kujua kwaiy ww utakua unaishi unajua kabisa ni vya kwangu kumbe siyo
Hata kama nikikwambia mali zangu zote mama angu ndo anamiliki na ndo ananihudumia utanifanyeje?
Najua huwez kuondoka coz wanawake ni watu wa vitonga Nina magari ya kitosha nyumba Kila ila majina ni ya mama hunifanyi kitu chochote utaishia kulia lakin itakubid uvumilie kwa sabab nakuhifadhi hutak sepa na huambuliii chochote πŸ˜‚πŸ˜‚
 
alafu kweli mwanawane wala hunashida ya kuficha unamuweka wazi tuu hivi vitu vy mama sasa wewe kama wataka kusepa sepa tuu wala hamna shida kesho mbusus nyingine itakuja kuenjoy life
 
Matukio haya machache yataweza kutumika kama sababu ya kupelekea Mabinti zetu kutoolewa siku za usoni kwamaana wote watahesabika kama Gold Diggers tu.

Wanasahau Samaki Mmoja akioza anatupwa ili kutofanya wote waoze
Mtu wa uhakika uwa mama tu.. wanawake mda wowote anakuwa chochote maana hujaziliwa nae damu ingine hiyo
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…