Ninalo jiuliza mimi mpaka mda huu vipi mke wa achraf hakimu ataendelea kudai taraka au mapenz yataendelea kama kawaid funika kombe mwana haramu apite
 
Fanya hivyo kama

1. Umezaliwa peke yako tu( Mama yako akifa inahesabika ni mali ya familia hivyo mgao unakua wa watoto wake wote,ikitokea umefariki kisha Mama yako yupo hai mkeo na watoto hawana vyao pale na mbaya nyumba ikiwa kwa jina la Mama yako ,mke na watoto wanaweza timuliwa hapo kama hawana maelewano mazuri na Mama mtu)

2. Mama yako sio mtu wa dini sana hasa muumini wa manabii na mitume. sadaka etc zitahusika kufilisi mali zako

3. Mama sio mtu wa vivoba na vikundi wala mpenda mikopo

4. Sio mtu wa sherehe kila kukicha,maisha ya mashindano.

5. Mama usipitwe(kila fashion yake)

6. Mtu wa mashosti,viben10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…