BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
vifungu vya sheria vya huko unavijua????Hapo tatizo ni mahakama. Kama mishahara ilikuwa inaenda kwa mama yake. Mahakama ilitakiwa kujirisha kuwa mishahara inaenda kwa mama yake. Ilikuwa ni sababu tosha kuwa mama yake alikuwa ni kipitishio na kifichio cha hela hizo. Kwa hiyo jamaa alifanya makusudi alijua anamficha mkewe. Huo ndio ungekuwa unayanyasaji mkubwa zaidi. Mahakama ingeamua fedha za mama ni za jamaa.
Mahakama ilitakiwa kuhoji. Hela za mama anazioata kwa kazi gani anayoifanya. Vinginevyo ni utakatishaji wa kumfucha mke.
Jamani siungi mkono tabia za wanawake kutolewa na kuachika ili kudai mali.
Hapo sijui. Mtu akishaona anaonyeshwa upendo tu basi anajua kila kitu amemiliki.Inamaana miaka yote Mwanamke hajawai ona documents za Mali zao!!? Just anaibuka tu kudai bila evidence!!?
Lazima apate. Hawezi kukosa. Tena lazima ampate atakayemtaka.Hapati tena demu
Atapata demu anayepedwa na mamaakeLazima apate. Hawezi kukosa. Tena lazima ampate atakayemtaka.
Je kama amempa mama zawadi?? Kuna shida?? Yani mi mwanangu snipe zawadi mahakama ihamuru ninyang'anywe? Ama what if analipa deni kwa mama???vifungu vya sheria vya huko unavijua????
Hakuna SHERIA duniani inayomoangia mtoto kiasi Cha kumpa mama yake. Hata mama akiitwa hawez nyang'anywa zawadi. Tena na hivi huyo mwanamke hajazaa mtoiii, ndo baas tenaKumbuka hela amepata sheria ya spain au paris ....sio za morroco.....Ile transfer fund wana trace bibi anaitwa court aseme anapata wapi cash flow atasema kutoka mwanae ambae anafanya kazi ulaya .....kesi bado mbichi
Ikiwa Kuna watoto akimi atapangiwa bei ya kulipa. Halafu kumbuka dada ana Mali, what if zikigawanywa na zake??Unafikiria amepaa akadondoka ulaya ? Mafanikio yako laizma tunachangia na watu .....hizo hasira tu lakini ukweli upo dada anastahiki chake ....na wana mtoto piaa ....hapo utasemaje ? Child support kwa sana lazima
Kaoa mzungu sijui wa nchi gani aseeeeeeeeeeeeeeeeGueye kafanya nn tena
Atagawana mali zipi hali ya kuwa Hakmi hana mali ? Au watagawana mali za mkewe?Hata Mimi nashangaa wabongo wanavyoshangiria hiyo kesi Mali lazima zitagawanywa ni swala LA muda tu.
Lakini kumbuka hao ni waarabu hivyo hawawezi fanana tamafuni na ww.umeona eh? yan hio picha ya pili imenipa ukakasi kidogo, hata ningekua mimi mwanangu wa kiume na busu la aina hio hapana
Dada acha kukufuru mtu atalalaje na mama yake aisee?Ukute wanakulanaa hawa, afu mie sikujua km Hakim ana mke na watoto, hivi mkewe alikua anajisikiaje akiona mumewe na mama mkwe wana kiss tena hadharani, woiiiiiiiii
Had aibuuu km sio uchurooo, hakim na mama ake wanakulana hawaa.
Uyo ni team upinde asikuumize kichwa wameshalaaniwa awa kwaiyo kila kitu kibaya wao wanaona sawaDada acha kukufuru mtu atalalaje na mama yake aisee?
Alafu hao ni waarabu sio waafrika kama nyinyi hivyo hamuwezi fanana tamaduni kama za kwako.
Mfano Urusi wana utamaduni wa kusalimiana kwa kupigana mabusu midomoni tena wanaume kwa wanaume , lakini huku ukifanya hivyo watu wanaweza hata kukutenga.