Mke wa Mchezaji Achraf Hakimi aambulia patupu baada ya kudai talaka akidhani atapata mali
Smahani mkuu, waislam mkitalakiana hamgawani mali? Mbona Achraf Hakimi ni muislamu?
Sheria za kiislamu zilivyo mume na mke wakitalikiana mke anaruhusiwa kupewa kitoka nyumba na sio kugawana nusu kwa nusu

Mume atampa kitu ambacho kitaweza kumuendesha maisha yke out of their marriage

Uyo kafanya ivo anajua kua anaishi kwnye nchi zinazofuata katiba ya nchi na sio sheria ya kiislamu kwaio kajiwahi mapemaaa kma ilivotokea apo
 
Huyu kamanda ametuheshimisha sana. Mwanamke atakayekubali kuishi na Achraf Hakimi huyo ndio atakuwa na mapenzi ya kweli kwake. Achana na haya ma-feminism mara sijui slay queen yanawaza tu pesa na mengine yameua wanaume wenzetu, washikaji zetu just because of money. Hata mimi sijui hatma yangu na wewe mwanaume mwenzangu anything can happen anytime ndio maana Mungu akasema tuishi nao kwa akili. "Wanawake ni matapeli katika ndoa"
 
Naona jamaaa kajitafutia kukaa single mpaka afe hakuna dem atamkubali tena washa sanda jamaa bahili mno[emoji38][emoji38]
Usifikiri wanawake wote ni wadangaji kama huyo manzi jamaa atapata vizuri tu na watakuja wengi hivi uoni Hili suala nilimewafurahisha hata wanawake ukipita mtandaoni.Atayepoteza ni huyo manzi kwanza itakuwa ni ngumu kwa mwanaume kumuoa mwanamke ambaye teyari ana watoto Cha pili ameonesha ni mwanamke ambaye yupo kimaslahi zaidi
 
Back
Top Bottom