Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oy yule mchepuko anaendeleaje yule wa mwisho wa mwaka yule 🤔Usifikiri wanawake wote ni wadangaji kama huyo manzi ukielewa Hili huwezi kutoa comment kama hiyo
Mzito Leonardo DiCaprio ni level za juu sana huwezi kumlinganisha na huyu dogo. Kwa upande wangu huyu Achraf ni mpuuzi sana unaingia vipi kimahusiano ya muda mrefu na mwanamke aliyekuzidi miaka 12? Kituko zaidi kamzalisha watoto wawili.UONGOZI WA JUU KABISA KATAA NDOA.
1. Ashraf Hakimi (Mwenyekiti)
2. Cristiano Ronaldo (Katibu)
3. Leonardo DiCaprio (Mweka Hazina)
4. Diamond Platnumz (Mjumbe Wa kamati Tendaji)
Utajakufa mkuuu hawa viumbe sio wa kuendekeza kabisaKwel akili za wanawake zinafanana, yn bado unaona jamaa amekosea sana ila mwanamke ameonewa kwamba ilitakiwa apewe mali.? Duh nyie wanawake hapana aisee
Akianani 😁😁Dicaprio hata mtoto hataki ni bata tu 😀
Hii ni sehemu huru ya majadiliano. Acha matusi. Sina shahada. Nina busara tu. Digrii sio busara. Kwa taarifa yako. Mahakama imebaini tu. Haijatoa uamuzi.Wabongo mna ujuaji wa kifala kwahiyo ww unaijua sheria kuliko majaji wa mahakama ya Ufaransa?
Haya tuambie una shahada ngapi za sheria mpaka unakuja kuwakosoa majaji wa kifaransa.
Na ana watoto tayariHata akiwa single huduma si anakuwa anapata au? Tena ni cheap kuliko hata angekuwa kaoa.
We ni au basi,,,,,,,,,,,.......Mzito Leonardo DiCaprio ni level za juu sana huwezi kumlinganisha na huyu dogo. Kwa upande wangu huyu Achraf ni mpuuzi sana unaingia vipi kimahusiano ya muda mrefu na mwanamke aliyekuzidi miaka 12? Kituko zaidi kazaa nae watoto wawili.
Alijifanya ticha wa mapenzidr. mwaka anatamani hili tukio la hakimi lingetokea kabla la kasheshe lake na queen.
Unajua ni mkataba gan waliingia na mama?kama jamaa aliona mam yake alitumiq gharama kubwa kumlea na ameamua kurudisha fadhila kwa kuchukua mshahara wake utamlazimisha kuwa sio sahihi?Hapo tatizo ni mahakama. Kama mishahara ilikuwa inaenda kwa mama yake. Mahakama ilitakiwa kujirisha kuwa mishahara inaenda kwa mama yake. Ilikuwa ni sababu tosha kuwa mama yake alikuwa ni kipitishio na kifichio cha hela hizo. Kwa hiyo jamaa alifanya makusudi alijua anamficha mkewe. Huo ndio ungekuwa unayanyasaji mkubwa zaidi. Mahakama ingeamua fedha za mama ni za jamaa.
Mahakama ilitakiwa kuhoji. Hela za mama anazioata kwa kazi gani anayoifanya. Vinginevyo ni utakatishaji wa kumfucha mke.
Jamani siungi mkono tabia za wanawake kutolewa na kuachika ili kudai mali.
Simjui huyu.unaonekana unaweza kumsaidia emmanuel eboue kudai mali zake.
Alikua teenager hastahili kulaumiwa,Mzito Leonardo DiCaprio ni level za juu sana huwezi kumlinganisha na huyu dogo. Kwa upande wangu huyu Achraf ni mpuuzi sana unaingia vipi kimahusiano ya muda mrefu na mwanamke aliyekuzidi miaka 12? Kituko zaidi kamzalisha watoto wawili.
Weka akiba ya maneno,una dada wewe,shangazi,mama zako.je mama yako asingeolewa wewe ungezaliwa???ukiwa na pesa zama hizi usijiroge ukaoa, tembeza kirungu tu, wanawake wengi wa kizazi hiki ni majini wenye muonekano wa umbo la ki binaadamu
Hakuna kitu kama hicho,Hapa Kuna mwamba mwingine japo Alisha tangulia mbele za haki Mzee Mengi alimsoma slay queen akili akajua mchezo ulivo akamuandalia barua ya mirathi fake na sign fake demu hakushtukia mchezo, akajipanga akajua kauaga umasikini duu lilimkuta jambo mahakamani Hana hamu kaamua akale tu upepo wa dubenga.
Inamaana jack hakupata chochote?Hapa Kuna mwamba mwingine japo Alisha tangulia mbele za haki Mzee Mengi alimsoma slay queen akili akajua mchezo ulivo akamuandalia barua ya mirathi fake na sign fake demu hakushtukia mchezo, akajipanga akajua kauaga umasikini duu lilimkuta jambo mahakamani Hana hamu kaamua akale tu upepo wa dubenga.
Yupi huyo?Oy yule mchepuko anaendeleaje yule wa mwisho wa mwaka yule 🤔
sasa usipende kutoa verdict kama una mawanda finyu ya uelewa wa masuala tofauti tofauti kwenye nyanja mbalimbali.Simjui huyu.