luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
- Thread starter
-
- #81
Wanakimbia maisha wakati ndio Mkoa wenye makazi Safi ya kisasa vijijini kuliko mkoa wowote? Mtawanyiko WA watu WA Kilimanjaro ni kutokana na elimu na biasharaWazee wengi kwa sababu vijana wengi wanakimbia maisha ya vijijini.
Wanakimbia au wamesoma wapo Kila mahali ndani na nje ya nchiKinachozungumzwa ni parcentage ya wazee siyo idadi. Kwa mantiki hiyo idadi ya vijana hadi watoto imetiliwa maanani. Mkoa wa Dar una wazee wengi kuliko Kilimanjaro. Lakini ukija kuangalia hao wazee ni asilimia ngapi utakuta Kilimanjaro wana asilimia kubwa ya wazee kuliko Dar. Maana yake nini? Inaweza kumaanisha kuwa Kilimanjaro vijana wanakimbia.
NaamMmiliki mwenza wa JF Maiko Mushi ni wa huko huko duuuh ebwanawee
Kuna Jamaa alikua anaipamba Mwanza hivi nikapanga Safari mpaka Mwanza nilichokiona picha linaanzia Stand ya Nyegezi nikatoka nikaenda mpaka Nyamhongolo Stand km unaenda Kisesa nikarudi mpaka Buzuruga baada ya hapo sikubari tena Maneno ya kuambiwa na mtu mtandaoni Kilimanjaro nimefika Ila sikukaa sana nikaondoka sema Jamaa punguza majisifu watu watapiga Safari wakapige picha1:Wewe umeishia darasa la nne hujui kitu
Kwahyo vijana wangekuwepo ingeondoa idadi ya wazee hao?(madhara ya kutokwenda shule haya)
2:Vijana au watu wengi wa Kilimanjaro either ni wasomi au wafanya biashara hivyo mtawanyiko haukwepeki,kila eneo nchi hii na hata nchi za nje nyingi tu hukosi mtu wa Kilimanjaro tena wakiwa vizuri economically (sijui kama unaelewa lugha ya malkia maana ulikimbia umande)
3😛ole kwa wivu nikikwambia Kilimanjaro ni mwalimu wa kila idara, life style,makazi bora,elimu,uchumi imara nk ndivyo vinaipaisha Kilimanjaro
Usiandike jambo usilolijuaMaelezo sahihi yanatakiwa kuwa, Kilimanjaro ndio mkoa unaongoza kuwa na rundo kubwa la wazee waliorudi na kutelekezwa, huku wakiishi na vijana rejects ambao walikimbia mikoa mingine Hali ikawa ngumu wakarudi.
Rombo ni wilaya katika Mkoa WA Kilimanjaro,mashati ni tarafa ndani ya wilaya ya romboRombo IPO Mashati au Kilimanjaro?
ExactlyNafikiri Hali ya hewa, upatikanaji wa aina nyingi za vyakula hasa matunda, miundombinu ya huduma za afya n.k.
👍🔹 Ulaji wa Nguruwe ✅✅✅✅✅💯
🔹 Unywaji wa Mbege✅✅✅✅✅💯
🔹 Ndoa ya Mume na MKE mmoja✅✅✅💯
🔹 Imani thabiti ya ✝️✝️✝️✝️✝️
🔹Ulaji wa vyakula vya asili💯
Kilimanjaro imejengwa vijijini kuliko mjini,NBS wanatutanabaisha Kilimanjaro ndio Mkoa wenye makazi ya kisasa vijijini kwa 90%Kuna Jamaa alikua anaipamba Mwanza hivi nikapanga Safari mpaka Mwanza nilichokiona picha linaanzia Stand ya Nyegezi nikatoka nikaenda mpaka Nyamhongolo Stand km unaenda Kisesa nikarudi mpaka Buzuruga baada ya hapo sikubari tena Maneno ya kuambiwa na mtu mtandaoni Kilimanjaro nimefika Ila sikukaa sana nikaondoka sema Jamaa punguza majisifu watu watapiga Safari wakapige picha
Umemjibu vyemaUsiandike jambo usilolijua
Kilimanjaro wameendeleza makwao, huduma za kijamii, maji, umeme, hospitali, usafiri wa uhakika nk, nyumba za uhakika (self), hawana njaa njaa
kwa nini wazee wakimbilie kuwa ma housegirl/boy kwa watoto, wakati wanaweza kukaa nyumbani kwao raha mustarehe na kuishi maisha yake anayotaka na sio kupangiwa na mtu?
Watu wenye maisha yao wanapenda kuishi watakavyo na sio kwenda kuwa mayaya wa wajukuu
Sasa hapo Rombo kituo kuna Dada yenu mmoja aliniita nije niwasaidie kazi vijana huko wanashinda vilabuni tu mpaka Dada zenu wanatuita huko tuje tuwape support basi tulihamishia mpango mzima guest 1 amazing sana ulinzi wa kutosha CCTV km zote wiki 1 ni mwendo wa kuagiza Mbuzi choma tu wine kwa mbaaali sema hali ya hewa nzuri usiku kaubaridi fulani hivi sema nini Dada yenu alikuja akanizingua nikampiga chiniRombo ni wilaya katika Mkoa WA Kilimanjaro,mashati ni tarafa ndani ya wilaya ya rombo
Visit mashati
Visit Tarakea
visit Holili
Visit usseri
Visit Mkuu
Hizo zote ni miji midogo za rombo na zimechangamka Kweli sio ajabu wilaya ya rombo pekee ina matawi ya benki 5
(Nmb mkuu,crdb mkuu,nmb Tarakea,crdb Tarakea,nmb holili
)
Utapeli? Tapeli anaweza kumiliki Makampuni,kujenga majumba Kila mahali? MAANA mchaga akikaa mahali miaka 5 asijenge ni Nadra wewe Akili zako zinakutosha kuvaa msuli na kuanika má kende tuMaendeleo wapi? Wakati wazee hao ni mzigo ....Mnakaa kweny mikoa ya wtau kufanya utapeli mkizeeka mnarudi kwenu 😀 😀
Hahaha umenivunja mbavu mkuuNijuavyo mzee wa kichaga mwenye watoto 6 kuna uwezekano mmoja yupo tanroads, mwingine ni Dokta mloganzila na mwingine ni businessman na waliobaki ni walevi wa kutupwa, mzee kajengewa hekalu lina mbuzi, kuku, mashamba ya migomba n.k.
Mzee ana bima kubwa, ana bank account akikohoa tu KCMC maana hata nyumbani kuna Ndinga ya maana full tank na kiyoyozi, hivyo hakuna sababu ya kufa mapema.
Sasa njoo huku kwetu umanyemani, uziguani, ugogoni, undengelekoni mzee ana wake 3 na watoto kumi na tisa katika hao watatu ni wapiga lamri, wawili wagema mnazi, 6 ni walevi wa kufa mtu wanaotembelea ugali wa dochivele yaani ugali wa nyumbani, watatu wauza madafu, wawili fundi baiskeli, wawili ni bodaboda, wailobaki ni vibaka na wazee hawa wanaamini anayetoa riziki ni Mungu na wote waliishia la pili mwezi wa tatu lakini huko uchagani ukatae shule utakula mabuti ya UTOSI lakini huku kwetu hata usipoenda shule hakuna anaekuuliza.
Mzee hana bima kukicha anapiga uji au togwa, mchana ugali Ngogwe mchanganyiko na bahundred yaani bamia, kula nyama hadi tajiri jirani afe halafu mnataka aishi miaka 90? Unisamehe tu maana ndo uhalisia
DactGood news about kilimanjaro hawatelekezi wazee, na wastaafu wengi wa jamii hiyo kwa hiyari huchagua kurudi nyumbani
Good news about nyumbani kumejengeka, pesa inatumwa isitoshe na wahusika kila mwaka wanakuja. Mzee anapataje stress hapo
Sababu ni pombe,kitimoto na kuchapa kazi(Kusaka Pesa)Kama kichwa chá Habari kisemavyo,kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022,Mkoa WA Kilimanjaro unaongoza Kitaifa Kuwa na watu wenye umri WA miaka 65 na Zaidi na kufanya Kuwa kinara wa Mkoa wenye watu wanaoishi umri mrefu Zaidi
Je unadhani ninini sábabu ya watu WA Mkoa Huu kuishi umri mrefu?
Chanzo:Azam News
Mwanza ipi hiyo?Kilimanjaro imejengwa vijijini kuliko mjini,NBS wanatutanabaisha Kilimanjaro ndio Mkoa wenye makazi ya kisasa vijijini kwa 90%
Kilimanjaro 80% ya Kila Kaya ina maji na umeme(vijijini), Kilimanjaro hakuna nÿumba ya nyasi kabisa(nenda Kilimanjaro ukikuta nÿumba ya nyasi ya makazi nakupa m 1)
MWANZA ni mjini tu vijijini watu Wana share maji na ngombe
Vyovyote vile, lakini kuwa na asilimia kuwa ya wazee haimaanishi life expectancy ni kubwa kama ulivyotakak kuaminisha watu.Wanakimbia au wamesoma wapo Kila mahali ndani na nje ya nchi