Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

1. Dr. Jaffo..kisarawe
2. Mchengelwa..Rufiji
3. Ridhiwani..Chalinze
4. Ulega..mkuranga
5.kipanga..mafia
6.Jumaa Aweso
7.Ummy Mwalimu
8.George Mkuchika
9. January Makamba
10.Nape Nauye
11. Masauni Masauni
12. Mwanaidi Hamis
13. Hamis Hamis
14. Makame Mbarawa
15. Mbaruk
16. Chande
 
Arusha kwa sad HV hawana wasomo was kuweleweka sad kina gamb unawapa uwazir au unaibu au kina pallanyo ,Fred lowasa ,Noel limbris amabaye awez ata kuchangia hoja hpn mpk wapeleke wasom kwa kwrl
Fred Lowassa sio msomi? Mrisho Gambo sio msomi?
Edward Lekaita wa Kiteto(Manyara), sio msomi?
 
Hahahah!!!!SUKUMA GANG kaz wanayo
 
Ni upendeleo huo tunaoukataa. Kuwepo kwa KMK na MR isifanye mkoa mzima wa Kigoma ndio utoe asilimia kubwa ya senior civil servants katika nchi.
 
Mwl JKN aliasisis hilo muambie huyo, hakuwepo kipindi mwalimu akisagana na vichwa punde tu baada ya Uhuru kiasi cha kuwabambika wengine uhaini, hawa wa sasa wanaenzi tu, Dotto James mpwa wa JPM alipewa funguo za hazina, kisha yule cha pombe kitwanga akapewa wizara bahati mbaya akasaliti

"ukinizingua tunazinguana"
 
Ni upendeleo huo tunaoukataa. Kuwepo kwa KMK na MR isifanye mkoa mzima wa Kigoma ndio utoe asilimia kubwa ya senior civil servants katika nchi.
Kwani nyinyi Dodoma si mna Mavunde, Kijaji na Ndejembi Haikuwatosha? Kabudi alieamua kuasi ubabani bora wamemuengua
 
Kagera,Kilimanjaro,Mbeya,hata wasipopewa waziri hata mmoja,uchumi wa nchi hii umeshikwa na jamii kutoka hiyo mikoa,Hizo jamii zipo kila sekta,mapato,Bandari,un,kwenye biashara,usafiri,mazao,mawasiliano,uhandisi,huko sekta binafsi,Elimu ya juu,
Kila intake inayoingia vyuoni,watoto kutoka hiyo mikoa ndio wengi,ndio wenye Elimu kubwa na nzuri,Wana nguvu za pesa,na connections,huko pwani,Lindi,Mtwara hata wakijaza baraza Zima kwa miaka 50,hawawezi kuwapiku hao jamaa wa hiyo mikoa.
 
Lengo la mama ni kukwamisha bara kwa namna yoyote
 
Sukumas wanatoka kwenye reli taratiibu, kwa Sasa wameingia njia ya vumbi. Na mvua zimeanza lazima mzame kwenye tope shubaamitt
 
Tukiacha huo mkoa kuwa na mawaziri wengi .pia tuangalie maendeleo ya kila mkoa ni sawa??? Mkoa wa pwani una maendeleo sawa na mwanza.arusha.dodoma na dar zilizo na mawaziri wachache ????? Tuseme huu ulisahauliwa sana na hakuna mwanajamii forum anasema .tukiwa tunaketa ubaguzi tuseme yote tusiweke double standard.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Katiba mbovu sana. Kama Kenya Rais anateua mawazili kwa kubalance Kanda na jinsi ipo kwenye Katiba. Hiyo ndio picha halisi ya utaifa kuwakilishwa. Sasa huyu mama yeye anaangalia 2025.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

We achana na kenya. Hao bado sana kuwafikia Tz kwa kuwa stahili hazifanani. Usidanganyike na maeneo ya katiba mpya. In totality Tz Ni better sana. Social media zinawadanganya sana.
 
Hamna wakaushangaa sasa ni utawala wa team msoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…