Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Tanzania ina mikoa karibu 30, mawaziri ni kama 60. Mkoa mmoja kutoa 5 na mingine kuambulia 0, kilio cha ubaguzi, udini, ukanda, ukabila kitasikika. Na hasa katika nchi ambayo bunge limefunikwa na serikali, na kiongozi serikalini ana uamuzi wa kuhamisha fungu la mradi wa maendeleo toka eneo moja kwenda eneo jingine.
Nauliza hivi,kwani ukitoa Waziri na mwingine asitoe Waziri waliotoa watafaidikaje na wasiotoa wataathirikaje?

Natoa mfano ,mwaka ujao kuna mradi wa Tactic unaanza awamu ya kwanza ni miji na Manispaa 13 tuu zitakuwemo,Mbona Manispaa ya Sumbawanga itakuwemo ilhali hakuna hata Naibu wala Katibu Mkuu wala Waziri kutoka mkoa huu?

Hizo dhana za kipumbavu zinaendekezwa na wajinga,kwani mkoa wenye mawaziri wengi kuna nini cha maana cha kimaendeleo?
 
Wangekua Kanda ya Ziwa Mkoa mmoja Mawaziri wawili kungenuka hapa. Mfano Mkoa wa Mara hakuna Waziri tangu 2020 siyo issue. Mkoa wa simiyu 1 Shy hakuna Kuna naibu, Mwanza wamepata Waziri kamili awamu hii 1. Mkoa wa Geita 1 Waziri.

Pwani 5
Tanga 3.

Assalamualaikum
Kwa kutokuwa na mawaziri au Naibu wamepata hasara gani?
 
Hapa ndipo watu wanapotandikwa Kata Funua wanabaki wanashangaa huku wakiwa hawaamini

Yaani hadi kesho kuna watu wanamchukulia Samia "she's just a woman" anaepangiwa cha kufanya

Hivi mtu na akili yako unaamini kabisa SSH kama Rais atapangiwa baraza na mtu mwingine, na mtu mwingine mwenyewe ni mstaafu!!

Yaani watu hadi wanakuja kushtuka kwamba kumbe "tuna rais" na sio "rais mwanamke", wengi watakuwa wameumia sana...

Hivi zile story za "Hawa watu unatakiwa kuishi nao kwa akili" mnadhani zinaishia kwenye mapenzi tu?!
 
Hao wote ni mikoa tofauti. Wasukuma kuwa 4 Mawaziri ni sawa Sukumaland inamikoa mitano so ni eneo kubwa na watu wengi.
Sasa inakuaje itoe mawaziri wote hao kwenye kabila moja Kisa wanatoka mikoa tofauti ambayo nayo inakaliwa na kabila moja?.

Unaona ina make sense kwa mujibu wa hoja yako ya kimbuzi mbuzi?
 
Hapa ndipo watu wanapotandikwa Kata Funua wanabaki wanashangaa huku wakiwa hawaamini

Yaani hadi kesho kuna watu wanamchukulia Samia "she's just a woman" anaepangiwa cha kufanya

Hivi mtu na akili yako unaamini kabisa SSH kama Rais atapangiwa baraza na mtu mwingine, na mtu mwingine mwenyewe ni mstaafu!!

Yaani watu hadi wanakuja kushtuka kwamba kumbe "tuna rais" na sio "rais mwanamke", wengi watakuwa wameumia sana...

Hivi zile story za "Hawa watu unatakiwa kuishi nao kwa akili" mnadhani zinaishia kwenye mapenzi tu?!
Wapumbavu ni wengi Sana Nchi hii mkuu.
 
Kigoma nao sasa wasemeje maana wana Makamu wa Rais, wana Waziri wa kazi, wana Katibu mkuu kiongozi, wana katibu mkuu wizara ya Fedha, wana katibu mkuu wizara ya Maliasili na utalii kwa uchache tu. Inawezekana wana wengine siwakimhuku. Pwani kupata manaibu imekuwa nongwa? Uongozi hatuangilii wanatoka mkoa gani bali uwezo wao
NA hakuna cha maana cha maendeleo huko ,ndio maana wajinga unawapuuza tuu, mawaziri sio wawakilishi wa mikoa.
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Ndio maana tupo tulipo
Tunarudi nyuma sanaaaa
Kulipana fadhila
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Samia ni mdini na mbinafsi.Nchi imemshinda hii.
 
Madhara yake unayajua ila pengine hutaki kuongea wakati wa kula.
Madhara ni yapi? Akili visoda mna.shida..

Umeulizwa Kigoma ina kuanzia VP, mawaziri kama.wote,chief secretary,Makatibu Wakuu kibao ehee ina nini kikubwa kuizidi Rukwa au Njombe kusiko na mawaziri?
 
Madhara ni yapi? Akili visoda mna.shida..

Umeulizwa Kigoma ina kuanzia VP, mawaziri kama.wote,chief secretary,Makatibu Wakuu kibao ehee ina nini kikubwa kuizidi Rukwa au Njombe kusiko na mawaziri?
Kama haina faida, waachie basi.
 
Back
Top Bottom