Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

Mkoa wa Pwani watoa Mawaziri watano kwenye baraza jipya; ni bahati mbaya au ndiyo tuseme sasa zamu ya watu wa Pwani?

1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Una viwanda vingi baada ya Dar.
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Ni wakati wao
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?


Hapo zamani za kale kila waislam kuhoji kwann wanabaguliwa ktk teuzi.

Majibu mepesi yalikuwa nendeni shule, hamjasoma.

Lkn historian ni mwalimu.
Wakati Nyenyere wakurya walijazwa jeshini
Wakati wa mkapa wamakonde na wachaga walijazwa usalama na tra
Wakati wa Megaful sukuma gang ilitamalaki.

Swali la msingi ni je mkoa wa pwani na znz wana wasomi wengi ukilinganisha na mikoa mingine
Pwani 5
Znz 5
Au ndio tuseme
Kila zama na nabii wake
Kila zama na kitabu chake.

Lugha rahisi ni kuwa katiba ya sasa inampa ruhusa Raid kufanya upendeleo na ubaguzi.

Na ile ngonjera ya hawajasoma ni ya kuhalalisha ubaguzi
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Aliye teua Yuko huko huko unategemea nini? Hata hao watano ni wachache
 
Kagera,Kilimanjaro,Mbeya,hata wasipopewa waziri hata mmoja,uchumi wa nchi hii umeshikwa na jamii kutoka hiyo mikoa,Hizo jamii zipo kila sekta,mapato,Bandari,un,kwenye biashara,usafiri,mazao,mawasiliano,uhandisi,huko sekta binafsi,Elimu ya juu,
Kila intake inayoingia vyuoni,watoto kutoka hiyo mikoa ndio wengi,ndio wenye Elimu kubwa na nzuri,Wana nguvu za pesa,na connections,huko pwani,Lindi,Mtwara hata wakijaza baraza Zima kwa miaka 50,hawawezi kuwapiku hao jamaa wa hiyo mikoa.
Mutajua wenyewe sisi tunachofurahia mama kawaweka ndugu zetu wengi tena waislam safi.[emoji12]
 
Mashaka yangu mimi ni uwezo, weledi na Commitment ya wateule.
 
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze

2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji

3. Jafo Mbunge wa Kisarawe

4. Kipanga Mbunge wa Mafia

5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga

Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?

Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
"Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?"

Mkoa wa Pwani ndio unaongoza kwa kuwa ma viwanda vingi Tanzania hii hii.
 
Mbona mnang’ang’ania kwamba tuna mikoa 26? Mikoa mitano mnaipeleka nchi gani? Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina mikoa 31.
Kuke zanzibar wanapata waziri au naibu kwenye wizara tatu tu
 
Mkoa mzima wa Arusha kuna naibu waziri mmoja tu;
Mkoa mzima wa Manyara kuna naibu waziri mmoja tu.
Hivi mkoa wa Morogoro kuna naibu waziri hata mmoja?

Mkoa wa Tanga kuna mawaziri watatu.

Mkoa wa Pwani ndio kama alivyoonyesha mleta mada.

Hivi tunapeleka wapi nchi katika pande hizo za kisiasa?
Badala ya kurekebisha makosa tunaendeleza kwa kulipisa kisasi?
Tunataka kuwaachia watoto na wajukuu nchi ya namna gani?
Hata Baraza Zima watoke Tanga hakuna shida ilimradi wanachapa Kazi..

Kama mlichagua viazi tuwasaidiaje? Kama mlichagua wasaka Urais ndio nafasi ya kuwaacha wausake zaidi.
 
Enzi zile sasa
1. Bitteko-home kabisa
2. Kalemani- Wa sebuleni
3. Mabula- wa nyumbani
Achana na hao wa Shinyanga sijataka kuwajumuisha.
Na yanayopiga makelele zaizi ni masukuma gang ,hayawezi ona boriti kwenye jicho lao
 
Mikoa ya Rukwa na Morogoro haijapata waziri wala naibu hata mmoja. Kama yupo naomba nisahihishwe.
Unachukuaje mawaziri 3 kutoka mkoa wa Tanga, mawaziri na manaibu kutoka majimbo karibia yote ya mkoa wa Pwani
Lkn mikoa ya Morogoro na Rukwa haina hata naibu waziri?
Hilo baraza lina sura ya kitaifa kweli?
Je tutaathirika kwa lipi ikiwa tumekosa hao mawaziri na manaibu? Hata Songwe na Njombe hawapo kwani hapo tumekosa nini?
 
historia inatuambia watu wa pwani wanatuharibia nchi, hata sasa sioni wala sitarajii kuona tofauti
 
Back
Top Bottom