The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Una viwanda vingi baada ya Dar.1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Ni wakati wao1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Aliye teua Yuko huko huko unategemea nini? Hata hao watano ni wachache1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Mutajua wenyewe sisi tunachofurahia mama kawaweka ndugu zetu wengi tena waislam safi.[emoji12]Kagera,Kilimanjaro,Mbeya,hata wasipopewa waziri hata mmoja,uchumi wa nchi hii umeshikwa na jamii kutoka hiyo mikoa,Hizo jamii zipo kila sekta,mapato,Bandari,un,kwenye biashara,usafiri,mazao,mawasiliano,uhandisi,huko sekta binafsi,Elimu ya juu,
Kila intake inayoingia vyuoni,watoto kutoka hiyo mikoa ndio wengi,ndio wenye Elimu kubwa na nzuri,Wana nguvu za pesa,na connections,huko pwani,Lindi,Mtwara hata wakijaza baraza Zima kwa miaka 50,hawawezi kuwapiku hao jamaa wa hiyo mikoa.
"Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?"1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Nimecheka kwa sauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pwani haina airport, ngoja tuone nguvu zao
Kuke zanzibar wanapata waziri au naibu kwenye wizara tatu tuMbona mnang’ang’ania kwamba tuna mikoa 26? Mikoa mitano mnaipeleka nchi gani? Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina mikoa 31.
Tupe takwimuOngezea na hii; halafu kawang’oa wakristo tu ili Ajaze waislam
Tulilaumu, tena sana.
Limetoka Sukuma Gang, sasa limeingia Zaramo Gang.
Hata Baraza Zima watoke Tanga hakuna shida ilimradi wanachapa Kazi..Mkoa mzima wa Arusha kuna naibu waziri mmoja tu;
Mkoa mzima wa Manyara kuna naibu waziri mmoja tu.
Hivi mkoa wa Morogoro kuna naibu waziri hata mmoja?
Mkoa wa Tanga kuna mawaziri watatu.
Mkoa wa Pwani ndio kama alivyoonyesha mleta mada.
Hivi tunapeleka wapi nchi katika pande hizo za kisiasa?
Badala ya kurekebisha makosa tunaendeleza kwa kulipisa kisasi?
Tunataka kuwaachia watoto na wajukuu nchi ya namna gani?
Airport ipo singida? au mnatukomoa na tozo tuNimecheka kwa sauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Singida tuliwa na watatu sasa wamebaki wawili
Na yanayopiga makelele zaizi ni masukuma gang ,hayawezi ona boriti kwenye jicho laoEnzi zile sasa
1. Bitteko-home kabisa
2. Kalemani- Wa sebuleni
3. Mabula- wa nyumbani
Achana na hao wa Shinyanga sijataka kuwajumuisha.
Je tutaathirika kwa lipi ikiwa tumekosa hao mawaziri na manaibu? Hata Songwe na Njombe hawapo kwani hapo tumekosa nini?Mikoa ya Rukwa na Morogoro haijapata waziri wala naibu hata mmoja. Kama yupo naomba nisahihishwe.
Unachukuaje mawaziri 3 kutoka mkoa wa Tanga, mawaziri na manaibu kutoka majimbo karibia yote ya mkoa wa Pwani
Lkn mikoa ya Morogoro na Rukwa haina hata naibu waziri?
Hilo baraza lina sura ya kitaifa kweli?
Kufa,mimi nafurahi maana nasikia watu walifaidi Sana ngoja tuone.Nasikitika kuona naongozwa tena na jakaya kikwete, nina mkosi mie
Wakiwa Waislam au Wakristo wewe inakusaidia nini na kupunguza nini Kwa tusio wa dini ya mawaziri?Mama ana udini sanaaa...
Kajaza waislamu kibao
As for me ,siko tayari kuongozwa na masukuma,yametuonyesha yalivyo mapuuzi.historia inatuambia watu wa pwani wanatuharibia nchi, hata sasa sioni wala sitarajii kuona tofauti
Ulitaka liwe na dini gani wengi?Maana baraza lina waislam wengi