MaCCM wote ni LAANAKUM, ila sukuma GANG wamezidi.Wamajisahaulisha kabisa......,[emoji16][emoji16]
Kwa hiyo kuwa na mawaziri ndio wanakuwa wamesoma?TEC hao hao,waliokaa kimya kipindi Bensaanane anatekwa,Tundu anapigwa mijeredi,[emoji16][emoji16]
...huku kijana wao wakimuita mtukufu St Peters.......
hata hivo si tumekubaliana watu wa pwani kazi kucheza ngoma tu na wala hawajasoma?[emoji3][emoji16][emoji16]
Sio kila mtu ni msukuma. Baraza la mawaziri liwe na sura ya kitaifa. Hilo nitalisema daima. Hata kama linakukeraWe umeona nani analalama?,si ni nyie majinga ya kusukuma,kuna wengine?
Hawatafanya chochote wataaharibu tu,kama Mchengerwa[emoji16][emoji16].........si hawajaenda shuleKwa hiyo kuwa na mawaziri ndio wanakuwa wamesoma?
Umuweke Rasta fari Jah mzee wa atake asitake,[emoji3][emoji16],umuweke kibajaji eti kisa sura ya kitaifa,umuweke babu Tale[emoji16][emoji16],eti ku-equalize mambo....mumerogwa ninyi?Sio kila mtu ni msukuma. Baraza la mawaziri liwe na sura ya kitaifa. Hilo nitalisema daima. Hata kama linakukera
Kwa hio Kikwete,JPM na Samia hawana akili?[emoji849][emoji125][emoji16]Utawala katika nchi hautakiwi kuwa na alignment iliyopinda pinda. Msiwafanye watu wajinga, eti hakuna faida ya kuwa na uwakilishi katika baraza la mawaziri.
Kina Nyerere, Mwinyi na Mkapa waliokuwa wakiheshimu hiyo kanuni walikuwa na akili sana tu.
Kwa hiyo majimbo yote ya mkoa wa Rukwa au Mkoa wa Morogoro au Mkoa wa Manayara una watu sampuli ya kibajaji? Utapaliwa wewe.Umuweke Rasta gari Jah mzee wa atake asitake,[emoji3][emoji16],umuweke kibajaji eti kisa sira ya kitaifa.....mumerogwa ninyi?
Mtu yeyote mbaguzi au anayetengeneza makundi, hana akili.Kwa hio Kikwete,JPM na Samia hawana akili?[emoji849][emoji125][emoji16]
Huyu Mzee mlàfi sanaHujui kuwa Kikwete karudi madarakani?
Si tulikubalina JPM atake asitake,ata awe maiti tutamuongezea muda?.......Katiba mbovu sana. Kama Kenya Rais anateua mawazili kwa kubalance Kanda na jinsi ipo kwenye Katiba. Hiyo ndio picha halisi ya utaifa kuwakilishwa. Sasa huyu mama yeye anaangalia 2025.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
JPM alichagua Mawaziri 3 wa pwani,huku mikoa mingine hawana hata mmoja,mama kaja kamalizia 2........lakini si tulikubaliana watu wa pwani hawajasoma na ni wavivu sana[emoji16][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125]Kwa hiyo majimbo yote ya mkoa wa Rukwa au Mkoa wa Morogoro au Mkoa wa Manayara una watu sampuli ya kibajaji? Utapaliwa wewe.
Pwani ndiyo ya mwisho. Kiuchumi shukuru Wasukuma na maasai kuleta kilimo na ufugaji. Wenyeji ni ngoma tu na kulawitianaJPM alichagua Mawaziri 3 wa pwani,huku mikoa mingine hawana hata mmoja,mama kaja kamalizia 2........lakini si tulikubaliana watu wa pwani hawajasoma na ni wavivu sana[emoji16][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125]
I am tired of this, something needs to be done urgently,1. Ridhiwani Kikwete Mbunge wa Chalinze
2. Mchengelwa Mbunge wa Rufiji
3. Jafo Mbunge wa Kisarawe
4. Kipanga Mbunge wa Mafia
5. Juma Ulega Mbunge wa Mkuranga
Je, upi mchango wa mkoa wa Pwani kwenye uchumi wa Tanzania? Upi mchango wa Pwani kwenye kura za Uchaguzi Tanzania? Upi mchango wa Wabunge Hawa kwenye mikakati ya Taifa?
Lakini pia nikimaliza kushangaa Pwani najiuliza ni kweli sub ya Mchengelwa pale ofisi ya RAIS Utumishi ni Jenister Mhagama? Kwamba Jenister akatatue changamoto za Utumishi nchini?
Sio washauri, ni yeye mwenyewe, yeye ndio anataka watu wa design ya mipasho mipasho,Pwani oyeee
1. Dr. Jaffo - kisarawe
2. Mchengelwa - Rufiji
3. Ridhiwani - Chalinze
4. Ulega - Mkuranga
5.kipanga - Mafia
Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?
Rais Samia hapa washauri wamekubambika.
Shangaa Leo Wagogo Wahehe wapogolo wote wanaitwa Wasukuma. Ukiwapinga Hawa wanakuita Msukuma. Mtume GangSio kila mtu ni msukuma. Baraza la mawaziri liwe na sura ya kitaifa. Hilo nitalisema daima. Hata kama linakukera
Twaarabu Gang. Baikoko GangSio washauri, ni yeye mwenyewe, yeye ndio anataka watu wa design ya mipasho mipasho,