Hakuna mabumunda kwenye wabunge wetu. Haifai kutokuwa na regional representation kwenye baraza.Hiyo regional representation ni ipi? Umehesabu kila mkoa wapo wangapi? Tukikimbilia regional representation tunaweza kukosa watu sahihi tukaishia kupata mabumunda.
Ningefarijika kuona ukisema labda flani hafai kwa sababu hizi na hizi badala ya kusema regional representation.
Mkuu masopakyindi wewe ni miongoni mwa legend humu. Ni vyema ukaja na analysis iliyoshiba ili watu wajadili kwa weledi badala ya haka kauzi ulikokaokota huko twitter unakasukuma humu bila hata maelezo yaliyoshiba.Tulilaumu, tena sana.
Limetoka Sukuma Gang, sasa limeingia Zaramo Gang.
Hutaki hama nchiHakuna mabumunda kwenye wabunge wetu. Haifai kutokuwa na regional representation kwenye baraza.
Huo ndio ulikuwa mila, desturi na utamaduni wetu toka uhuru.
Msipuuzie kwa kupendeleana.
PointMkuu masopakyindi wewe ni miongoni mwa legend humu. Ni vyema ukaja na analysis iliyoshiba ili watu wajadili kwa weledi badala ya haka kauzi ulikokaokota huko twitter unakasukuma humu bila hata maelezo yaliyoshiba.
Soma lawama na uielewe, sijasema nani hafai.Hiyo regional representation ni ipi? Umehesabu kila mkoa wapo wangapi? Tukikimbilia regional representation tunaweza kukosa watu sahihi tukaishia kupata mabumunda.
Ningefarijika kuona ukisema labda flani hafai kwa sababu hizi na hizi badala ya kusema regional representation.
Maneno mengi ya nini?Mkuu masopakyindi wewe ni miongoni mwa legend humu. Ni vyema ukaja na analysis iliyoshiba ili watu wajadili kwa weledi badala ya haka kauzi ulikokaokota huko twitter unakasukuma humu bila hata maelezo yaliyoshiba.
Onyesha basi hiyo National representation imekosekana wapi? Tuna mikoa 31, hebu tuonyeshe mapungufu yapo wapi?Soma lawama na uielewe, sijasema nani hafai.
Baraza lazima li reflect NATIONAL representation.
Nothing kess.
Mmeanza kutafuta chochoko,
Enzi zile mbona Baraza lilijaa wasukuma na hatukusema[emoji4]
Mkuu hivi hapo mpya si ni mmoja tu au? Au tatizo ni huyo mmoja manake wengine walikuwepo na sikuona ukinena haya unayoyanena!!Tulilaumu, tena sana.
Limetoka Sukuma Gang, sasa limeingia Zaramo Gang.
Hujui kuwa Kikwete karudi madarakani?Pwani oyeee
1. Dr. Jaffo..kisarawe
2. Mchengelwa..Rufiji
3. Ridhiwani..Chalinze
4. Ulega..mkuranga
5.kipanga..mafia
Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?
Mama Samia hapa washauri wamekubambika.
Mkuu masopakyindi wewe ni miongoni mwa legend humu. Ni vyema ukaja na analysis iliyoshiba ili watu wajadili kwa weledi badala ya haka kauzi ulikokaokota huko twitter unakasukuma humu bila hata maelezo yaliyoshiba.
Wewe utakuwa ni mzaramoHiyo regional representation ni ipi? Umehesabu kila mkoa wapo wangapi? Tukikimbilia regional representation tunaweza kukosa watu sahihi tukaishia kupata mabumunda.
Ningefarijika kuona ukisema labda flani hafai kwa sababu hizi na hizi badala ya kusema regional representation.
Majority ni ukanda wa Pwani...kuanzia Tanga kwa Ummy, Dar, Pwani, Lindi hadi ZanzibarPwani oyeee
1. Dr. Jaffo..kisarawe
2. Mchengelwa..Rufiji
3. Ridhiwani..Chalinze
4. Ulega..mkuranga
5.kipanga..mafia
Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?
Mama Samia hapa washauri wamekubambika.
Hongereni Mmawia!Ulitaka na waziri kutoka Mbeya?
Baraza lina mawaziri na manaibu wangapi ?? Mgawanyiko wao kikanda upoje na mapendekezo yako ni yapi ili mh asidanganywe ??Pwani oyeee
1. Dr. Jaffo..kisarawe
2. Mchengelwa..Rufiji
3. Ridhiwani..Chalinze
4. Ulega..mkuranga
5.kipanga..mafia
Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?
Mama Samia hapa washauri wamekubambika.
Mkuu, hawa wanne walikuwepo, jana kaongezwa mmoja naona ndio imeleta nongwa! Shida ni Pwani au ni huyo aliyeongezwa?Wewe utakuwa ni mzaramo
MuhimuBaraza lina mawaziri na manaibu wangapi ?? Mgawanyiko wao kikanda upoje na mapendekezo yako ni yapi ili mh asidanganywe ??
Ielewe mada, mikoa iko 26 katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Ulitaka na waziri kutoka Mbeya?
Pwani oyeee
1. Dr. Jaffo..kisarawe
2. Mchengelwa..Rufiji
3. Ridhiwani..Chalinze
4. Ulega..mkuranga
5.kipanga..mafia
Hivi siku hizi uongozi wa nchi hakuna regional representation?
Mama Samia hapa washauri wamekubambika.